Ushauri wa busara

Ushauri wa busara

Mmmh sawa mkuu ni Basi muoe tu changamoto zingine ni kawaida tu
Mkuu...tangu mtafaruko utokee hii week ya tatu ila huyu mwanamke hataki kusema kwanini alisema uongo nijue sababu ili nifanye decision yeye anaomba msamaha tyuu
 
Mkuu...tangu mtafaruko utokee hii week ya tatu ila huyu mwanamke hataki kusema kwanini alisema uongo nijue sababu ili nifanye decision yeye anaomba msamaha tyuu
Unataka akuambie nini mkuu, yeye Hapendi uzinzi, anajitunza ndo maana alikuambia hivo Ila kilichotokea hadi kuondoa bikra ni ajali tu mkuu kama ajali zingine
 
Unataka akuambie nini mkuu, yeye Hapendi uzinzi, anajitunza ndo maana alikuambia hivo Ila kilichotokea hadi kuondoa bikra ni ajali tu mkuu kama ajali zingine
Mkuu kama hapendi uzinzi si asingefanya kabisa mpaka ndoa mana kafanya kachoka ndio kaja kunidanganya mimi
 
Mkuu kama hapendi uzinzi si asingefanya kabisa mpaka ndoa mana kafanya kachoka ndio kaja kunidanganya mimi
Nimemwambia ni ajali tu kumbuka Shetani yupo kazini
 
Huwezi pika mboga bila kuonja so subira yako imekuponza tu
 
Duuu pole xana! Ila nakushauri ya kuwa kama una imani nae funga nae ndoa kwakuwa mmetoka mbali mno kumbuka gharama hadi ulipofikia ila kama yote utasahau fanya viseversa.
 
We sijui mgeni wa mahusiano au....so ni sawa uale na mtu ambaye hamatoana mu wapenzi tu . ..ila yuke ambaye mmepanga kuoana ndio hamkutani.....ndio balaa lake. .eti mpaka ndoa.....uongo wa kitoto huo....yani unasomeaha mchumba kabisaaambaye hata hujalala naye. Angalia uneingizwa mjini mwenzio mzoefu na katumika sana....sijui ulikiwa unadangamyika na nini..people act innocent. Pole sana
 
Imekula kwako aisee... Umebugi...hapo alikuwa analiwa kwingine we unamsubiro tu.....wenzio wanakula na chumvi na pilipili mpaka kashakuwa sugu
 
Kwenye maisha yangu,hakuna kitu sipendi kujua kuhusu historia ya mchumba namna gani aliishi nyuma,ni bikra au ametumika.Hayo hayanihusu kabisa maana nikiuliza najua nitadanganywa tu.Muhimu kiungo chake kipo active nakitumia,pia kamwe sipendi mchumba wa kunipa mashert tutafanya baada ya ndoa,huyo kwangu anakuwa amepoteza bahati yake,sina muda wa kusubiri kitu fulani kifanyike ndio tufanye yetu,mwili wangu upo active tupige kazi,kupangiana ni primitive thought na kudanganyanya tu,kwingine unatumika kwangu unaniwekea kizuizi.
 
A. Alitumiwa akajirekebisha sasa anataka awe nawe tu kwani kuna shida?

B. bikra zinatoka kwa namna nyingi sio kwa kufanya sex tu.

C. kujua kufanya au kuwa fundi hakuna uhusiano wa moja kwa moja na kuwa anafanyaga. wewe kuna mtu alikufundisha kuingiza na kuchochea??

Wewe ungeangalia mienendo ya mtoto ma sio kuanza kuwaza ya nyuma. ukiingia kwenye ndoa na haya mawazo utaishindwa.
Ww usimpambe mwenzio
Ndoa sio suluhisho la kukomesha Tabia ya kutembea na watu weni.
Bikra iliyotoka kwa namna tofauti na ngono ina tofaut kubwa na ile iliyotolewa kwa mashine.
Ufundi wa mtu katika jambo fulani huwa maradufu kwa kadiri anavyozidi kulifanya. Mtu hawezi kuwa mjuvi kitandani kama hafanyi fanyi mara kadhaa
Ukweli unapaswa useme hata kama ukiwa unaumiza.
 
Umeingizwa chaka kali sana...ila we ni mzembe kweli.....siamini sana katika tusifanye mpaka tuoanen japo ndio inatakiwa..siku hizo usanii...kwanza haina haja yabkisema tusifanye mpaka ndoa...ni automatic tu cpz of intimacy...ila ukiniambia hivo mi nadukua kwingine na ntajikuta naoa huko huko..maana siwezi oa bila intimacy passion na commitment
 
Umejuaje kama una uwezo wa zaid ya moja kama na ww hujatumika vya kutosha?? Wote mmetumika malizaneni tu vizur.
Mkuu mwanzo tuliwahi kwaruzana kwa sababu kuwa busy na simu ndogo anacharti sana
 
Yawezekana dem kweli ni bikra but biologically k yake haijawa complete sealed
Yap zipo bikra ambazo hazina hymen ila utaitofautishaje na iliyotumika? Njia ni moja tu DIAMETER yaani bikra zooote huwa na upenyo sawa Kadogooooooo.kuliko k iliyozoe MPINI
 
Hahaha hapo mwanaume anataka asahau na Mahari yake hahahaha ..anyway nipesa na muda je??

Ila hata mim ningekasirika sana, naningeenda kuwambia wazazi kua mwanenu nilotegemea sijayakuta.

Ivo basi, Mnirudishien asimia 75 ya pesa yangu, Izo zingine zibak kua za usiku mmoja.

Sema nn .. Uliwezaje kukaa miaka hiyo bila kumla??

Naww ulijuaje km katumikaa,inamaana ulikua unakula mademu sio ??

Sasa niivi..UKITAKA BIKRA HAKIKISHA NAWW NI BIKRA !! .

Kinyume nahapo kila mtu na msalaba wake.
Hapana kujua demu ni bikra sio mpaka ule nje .ila kujiongeza tu kuna kusoma elimu ya maumbile na vitu kama hivyo
 
Nikushauri kitu bro. Ahirisha masuala ya ndoa kwa sasa, ikiwezekana jipe muda wa kutafakari na kumchunguza upya, ukisha jiridhisha, unaweza kufunga naye ndoa, usifanye uamuzi wa haraka bro
 
Back
Top Bottom