Ushauri wa busara

Ushauri wa busara

(nje ya mada); mkopo wa ada 50% sh. 120000 huyo binti alikuwa anasoma kozi gan ya sh. 240000 ?

(ndani ya mada); nachokushauri ni kwamba "ukome kununua mbuzi kwenye gunia"
Hahahah we jamaa kichaa hahahah
 
Nikushauri kitu bro. Ahirisha masuala ya ndoa kwa sasa, ikiwezekana jipe muda wa kutafakari na kumchunguza upya, ukisha jiridhisha, unaweza kufunga naye ndoa, usifanye uamuzi wa haraka bro
Sawasawa mkuu
 
Sawasawa mkuu
Nikupe uzoefu
Kuna muda tunaogopa kuwa wazi kwa tunaowapenda kwa hofu ya kumpoteza.
Ndoa siyo sex pekee kuna mambo mengi ndani yake

Zungumza nae mpe ukweli wako msikilize na mfikie muafaka.
 
Nikupe uzoefu
Kuna muda tunaogopa kuwa wazi kwa tunaowapenda kwa hofu ya kumpoteza.
Ndoa siyo sex pekee kuna mambo mengi ndani yake

Zungumza nae mpe ukweli wako msikilize na mfikie muafaka.
Kwanini uogope mana mimi mtu akiwa open ndio naona safi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi kweli ukaenda kutoa mahari (kununua bikra) kwa 3.5m.....mkabageini kama mko mnadani....😎😎....zigo kuja getoo holaaaaaa.......nna mashaka na wewe......unatoa mahari kabla hujagonga???? kosa kuu..........hivi kwanza unaijua bikra??
ulitaka ukute kitu nyaaaaaaatu.....tight.......hivi unajua unatenda dhambi........na umeigharamia 3.5m...... wacha ada ulizomlipia......nakushauri umuoe...kwa gharami zote hizo..usimuache..pesa ngumu...ila kampime kila kitu,, mpaka chuchu......😉
 
hivi kweli ukaenda kutoa mahari (kununua bikra) kwa 3.5m.....mkabageini kama mko mnadani....😎😎....zigo kuja getoo holaaaaaa.......nna mashaka na wewe......unatoa mahari kabla hujagonga???? kosa kuu..........hivi kwanza unaijua bikra??
ulitaka ukute kitu nyaaaaaaatu.....tight.......hivi unajua unatenda dhambi........na umeigharamia 3.5m...... wacha ada ulizomlipia......nakushauri umuoe...kwa gharami zote hizo..usimuache..pesa ngumu...ila kampime kila kitu,, mpaka chuchu......😉
Mkuu sio kuoa Bikra bali the way jinsi yeye alivyojicommit kwangu kuwa hamna sex mpaka ndoa alijua mimi ntashindwa kuvumilia na sijawahi hata mgusa titi dini sana alikua mwisilamu swala tano ila akaja hadi kubadili Dini kwa sababu yangu mwisho wa siku nimeona uongo mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msamee tu mkuu hakuna aliyokamilika unaweza ukamuacha huyo aligokudanganya hivyo ukakutana na balaa kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbaya zaidi tangu tukio litokee mpaka leo zaidi ya mwezi anaomba msamaha lakini sababu ya kosa hasemi ndio shida hapo na mimi nimwembia kuwa Ukisema sababu ya kusema uongo ndio ntatoa decision

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikupe uzoefu
Kuna muda tunaogopa kuwa wazi kwa tunaowapenda kwa hofu ya kumpoteza.
Ndoa siyo sex pekee kuna mambo mengi ndani yake

Zungumza nae mpe ukweli wako msikilize na mfikie muafaka.
Kwanini muogope kuwa wazi hamjui kama itawagharimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baadhi ya wanawake wapo hivi:-
~kuna mtu anayemsomesha tu

~kuna anamchekesha na kumfuraisha tu

~kuna anayemuwezesha kiuchumi tu

~kuna anayemgegeda tu

~kuna handsome wa show off

~kuna wa outing tu

~kuna wa kumtatulia matatzo yake madogo madogo

~etc


Kati ya hao wanaume, ataekua ana sifa nyingi.ndie ataebeba jiko.

Hongera mkuu kwa kupata jiko...

Wako ktk ujenzi wa taifa
Satan
 
Hivi zile mada za kusema usimsomeshe mwanamke asiye ndugu yako ili uje umuoe huwa hamzisomi?? Kumsomesha mwanamke asiye ngudu yako ruksa tu kama unatoa msaada kibin adamu pasipo kutegemea lolote mbeleni. Sasa hapa unahuzunika na mambo mawili naona,
1. Ada yako uliyomsaidia
2. Umekuta mambo sio
Hapo kama kweli unampenda hayo hayajalishi kitu, kama ana tabia njema, anakupenda pia, mnaelewana... Ndugu huyo oa.
3. Mahari ya mil 3 aliyotoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Plus ukubwa wa mahari lazima uumie ndg yangu coz wht you ordered is not wht you get.
Pole sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sanaa sio mchezo aisee Parefu ila kwa maisha ya siku hizi sio Parefu sana mana maisha yamepanda sana ila nimeumizwa na uongo wake halafu mbaya zaidi hadi leo zaidi ya mwezi anaomba msamaha lakini sababu ya kosa hasemi ndio shida hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom