Ushauri wa busara

Ushauri wa busara

Hapo mkuu n changamoto.hawa wanawake.Kwa sasa fata moyo wako tu ndugu utakachoamua
 
Yaan kosa la kwanza n kumwamin mwanamke aisee.Tuliza akili tu mkuu yaweke sawa kama anafaa kuwa ndan oa tu
 
Sema bora angeongea ukwel kwamba yy so bikira bhana hapo huez mwamini tena ila jitahid tu
 
Huyo mcchana nae kapumbaa bikra cnacckia zinauzwa kwanini acnunue akakumbambikia
 
Ulimpenda yeye au uliipenda bikira yake??
Inaonekana aliipenda bikra
Hate mm kuna kademu kalinidanganya kako kazima kaliniringia sana nikatumia kila mbinu
Mwisho nikatumia jini pesa
Akakubali ile siku nageiwa duuh
Nilimaka kwa mshangao
ilikuwa shimo la tewa
 
Pole sana... kwa kuaminishwa na kutegemea yaliyomo yamo na kukuta sivyo vile ulivyotarajia...

Maji yakishamwagika hayazoleki... piga moyo kondo mgange yajayo... though kashaweka doa katika mahusiano yenu kwa yeye kutokuasema ukweli...


Cc: mahondaw
 
(nje ya mada); mkopo wa ada 50% sh. 120000 huyo binti alikuwa anasoma kozi gan ya sh. 240000 ?

(ndani ya mada); nachokushauri ni kwamba "ukome kununua mbuzi kwenye gunia"
 
Dunia hii ina mambo walahi..yaan usikute jamaa lilokuwa linamla lilikuwa likikesha kwenye papuchi..halaf yy anasema mara moja 2....na mara zote mademu wanaosemaga tusifanye kitu mpaka ndoa kwa kigezo wao ni bikra ni wachache sana huwa ni wakwel ila asilimia kubwa ni waongo wakubwa
 
(nje ya mada); mkopo wa ada 50% sh. 120000 huyo binti alikuwa anasoma kozi gan ya sh. 240000 ?

(ndani ya mada); nachokushauri ni kwamba "ukome kununua mbuzi kwenye gunia"
Mzee sheria 150000/=
Halafu alikua hana boom ni Ada pekee
 
Muoe tu achana na mawazo potofu, mtarekebishana, ila mbona Mahari kubwa ivi
 
Muoe tu achana na mawazo potofu, mtarekebishana, ila mbona Mahari kubwa ivi
Mkuu....huyu binti kwao wastarabu sana na wazazi wake wanajua mwanao bado katulia na kuhusu mahari ndio maisha ya siku hizi
 
Dunia hii ina mambo walahi..yaan usikute jamaa lilokuwa linamla lilikuwa likikesha kwenye papuchi..halaf yy anasema mara moja 2....na mara zote mademu wanaosemaga tusifanye kitu mpaka ndoa kwa kigezo wao ni bikra ni wachache sana huwa ni wakwel ila asilimia kubwa ni waongo wakubwa
Mkuu nimeamini
 
Mkuu....huyu binti kwao wastarabu sana na wazazi wake wanajua mwanao bado katulia na kuhusu mahari ndio maisha ya siku hizi
Mmmh sawa mkuu ni Basi muoe tu changamoto zingine ni kawaida tu
 
Back
Top Bottom