- Thread starter
- #21
Nilimpenda yeye ila Sikuwahi kuhoji yeye tu kwa hofu yake akasema Bikra ila nimeona Muongo hapo sasa ndio shidaUlimpenda yeye au uliipenda bikira yake??
Nilimpenda yeye ila Sikuwahi kuhoji yeye tu kwa hofu yake akasema Bikra ila nimeona Muongo hapo sasa ndio shidaUlimpenda yeye au uliipenda bikira yake??
Mzee baba uongo mapema yote hii kweli ndoa itadumuYa kwenye ndoa ni zaidi ya hili jikakamue Mzee baba.
Nilimpenda yeye ila Sikuwahi kuhoji yeye tu kwa hofu yake akasema Bikra ila nimeona Muongo hapo sasa ndio shida
Mimi sikuwa na shida na Bikra yake shida suala la uongo wake hapo sasa ndio kigugumizi mana tuliwahi kufarakana mwanzoni kisha suala la uongo wake hapo na hili limeongezea ndio kashesheMoyo wako ndio unaamua, lakini pengine alishaona kutumika tena hakufai atulie asubiri ndoa, kaona wewe ni muoaji umeshagundua hilo utafanya nn??
Kama ulimpenda yeye bas tambua mapenzi na ndoa ni zaidi ya bikira, kama anasifa unaona anafaa kua mke muoe tu
Kufanya Mara moja Ndo uongo wetu😂😂😂😂😂Mkuu....hapo kwenye kudanganya sio mara moja mara nyingi tuu tulikua tunagombana kwa maana alikua anapenda kutumia simu kidogo kucharti mara kwa mara Nikimuuliza huwa unacharti na nani Anajibu kwa usanii tuu....
Na sms zake sijamjibu anazoomba msamaha kuwa alifanya mara moja tu na jamaa wake aliyemtoa Bikra. .
Ila mimi naona kabisa hapa kuna makinikia hapo ndio tatizo
Hahaaa....kama mazuri vile aisee yani mtu anasali kabisa halafu anaongopa aisee yani sijui niamue nini mana hata sijuiKufanya Mara moja Ndo uongo wetu![]()
MuacheHahaaa....kama mazuri vile aisee yani mtu anasali kabisa halafu anaongopa aisee yani sijui niamue nini mana hata sijui
Pole Sana mzee...Hao viumbe usijekuwaamini tenaa....!!!Mkuu....hapo kwenye kudanganya sio mara moja mara nyingi tuu tulikua tunagombana kwa maana alikua anapenda kutumia simu kidogo kucharti mara kwa mara Nikimuuliza huwa unacharti na nani Anajibu kwa usanii tuu....
Na sms zake sijamjibu anazoomba msamaha kuwa alifanya mara moja tu na jamaa wake aliyemtoa Bikra. .
Ila mimi naona kabisa hapa kuna makinikia hapo ndio tatizo
Asante kwa ushauri wakoMu
Muache
Mimi sikuwa na shida na Bikra yake shida suala la uongo wake hapo sasa ndio kigugumizi mana tuliwahi kufarakana mwanzoni kisha suala la uongo wake hapo na hili limeongezea ndio kasheshe
Asante kwa ushauri wakoLabda nikuulizee kuhusiana na hayo yote juu kwenye moyo wako bado unampenda? If yes samehe endelea na process za ndoa naamini ukimuweka chini ukamueleza atakuelewa na kujirekebisha
If no humpendi chukulia ile pesa umetoa sadaka na mwambie kua humuhitaji tena. Vikao na mengineyo unaweza kuistopisha
Asante sanaa Madam kwa ushauri wakoKama hauko na amani naye mwache tu apate iliyo riziki yake, muda bado upo usije kuja ingia ndoani na majuto ukaiona ndoa chungu
Hahaa....Hapana uwezo wa zaidi ya moja ninao ila hata yeye anajua kuwa tabia zake za uongoIsije kuwa umeamua kutumia hicho kigezo kama sababu iliokufanya uishie goli moja tu ili mtoto mzur asikuone mchovu!!!!!
Kaa nae mfanye mahojiano mawili matatu juu ya hiloHahaa....Hapana uwezo wa zaidi ya moja ninao ila hata yeye anajua kuwa tabia zake za uongo
Mkuu...Hiyo B...
yeye kaniomba msamaha kuwa huyo jamaa aluyemtoa Bikra kuwa ndio alifanya naye mara moja tu ila mimi naona makinikia kabisa