Kama unamtu serious humu mwambie asiwe anajirahisisha , kama unajua unamtu punguza kuishi humu kama single lady au single man jitoe humu, maana sasa wengine ila sio mie , wanajua waliohumu wapo free kumbe kashikwa.
Unajua bisa mtu wako anasoma unatongoza humu mtu mwingine inakera . Hata kama ukimuhakikishia haupo na mtu humu kama hujipi mipaka sio fresh.
Mwisho pendeni kutopotezea mtu muda kumdanganya yupo mwenyewe , onesha upo na mtu , jieshimu acha kutongoza au kutongozwa kila kitu kiwe na mipaka . Good evening
Asiogope,kwa mtoto wa kike ni kawaida,ata waliopo kwa ndoa wanatongozwa,na mwanaume anajua kabisa huyu ni mke wa mtu lkn anakutongoza,,,,,sembuse humu watu hatujuani,
Asiogope,kwa mtoto wa kike ni kawaida,ata waliopo kwa ndoa wanatongozwa,na mwanaume anajua kabisa huyu ni mke wa mtu lkn anakutongoza,,,,,sembuse humu watu hatujuani,