Umeme mgawo 16 hours na ukweli hakuna hope kabisa maana serikali iliyopo na records zake sana sana tatizo litaendelea kuongezeka kila siku,hii inafanya maisha yanazidi kuwa magumu maana hata watu kuangalia news kwenye TV au charging their cellphone tayari is a big deal bila kusahau hata kupika au kuhifadhi chakula chetu kwenye fridge ni issue tayari...nashauri watu waanze kufikiria kuweka solar panel kwenye nyumba zao kujiokoa na hili janga,wanaojenga au wenye nyumba wafanye solar power as necessary kama choo au jiko,kwa umeme bei mbaya na usioaminika kama wa TANESCO nafikiri investment ya solar panels ni cheap kuliko LUKU za hawa mafisadi,serkali nayo iondoe kodi zote za solar power na iweke guarantee kwenye loans zote za solar ili watu wapate mikopo ya kunua hizo solar panels,tuna jua TZ zaidi ya masaa 12 na miezi 12 yote kwa mwaka jua linawaka..think about it!