IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,715
- 8,119
....akili zetu watanzania tunazijua wenyewe mkuu-eti akae kimya kisa kafukuzwa ccm wakati yeye ni mwanasiasa.
...uoga wetu wa kipuuzi namna hii ccm haitatoka kamwe madarakani...wataendelea kutudharau na kusema sisi ndio chama kikongwe zaidi Africa kinachotawala as if kuna la maana wamelifanya nchi hii..pathetic
Sent using Jamii Forums mobile app
...uoga wetu wa kipuuzi namna hii ccm haitatoka kamwe madarakani...wataendelea kutudharau na kusema sisi ndio chama kikongwe zaidi Africa kinachotawala as if kuna la maana wamelifanya nchi hii..pathetic
Acheni woga... Mbona li muvi ndo kama linaanza??
Ili nchi itoke hapa ilipo ni lazima haya ne mengine mengi tu yatokee...
Kukimbia si suluhisho!!
Sent using Jamii Forums mobile app