Ushauri wa bure tu kwa aliyefurumushwa

Ushauri wa bure tu kwa aliyefurumushwa

Nakuelewa Sana!
Wengi wetu wanamini matatizo ya binadamu kwa binadamu yanatatuliwa kwa miujiza miujiza!
La hasha... Tupo hai leo ili kutumia akili zetu kutengeneza na kutatua matatizo yanayotukabili!
Root cause ya matatizo ya Watanzania ni sisiemu... Cha ajabu wanaiogopa na kukimbilia kutatua makando kando ya tatizo lenyewe...!
Mwalimu JKN aliona mbali sana... Umaskini wa akili ni zaidi ya umaskini wowote ule!

Sasa kama nawe unajifanya Kujiamini hivi na huogopi mbona unatumia Fake / Anonymous ID na wala siyo Verified One? Acha na acheni Unafiki wa Kujifanya Wababe huku mkiwa nyuma ya Keyboards zenu wakati hata ninyi pia ni Makunguru ( Waoga ) kama tu walivyo Watanzania wengine.
 
Unamfundisha Morrison Kutembea Juu Ya Mpira?

Kwani huyu Mchezaji Bernard Morrison ( Mfurumushwji BM ) anajua kila Kitu kiasi kwamba hapaswi Kushauriwa au hata Kuelekezwa? Acheni Upuuzi tafadhali!
 
Sasa kama nawe unajifanya Kujiamini hivi na huogopi mbona unatumia Fake / Anonymous ID na wala siyo Verified One? Acha na acheni Unafiki wa Kujifanya Wababe huku mkiwa nyuma ya Keyboards zenu wakati hata ninyi pia ni Makunguru ( Waoga ) kama tu walivyo Watanzania wengine.
Hapana, kuna tofauti kubwa sana kati yangu na wewe unayeendelea kutaka kuwakandamiza waTanzania kwa kutumia vitisho waogope kuchukua hatua.

Alaa, nilikuwa sijaona majibu yako mengine kwenye mada hii. Kumbe wewe ni mpuuzi mmoja tu, kama li-robot hivi?

Sina mda wa kupoteza na watu kama nyie.
 
Nakuelewa Sana!
Wengi wetu wanamini matatizo ya binadamu kwa binadamu yanatatuliwa kwa miujiza ya Mungu!
La hasha... Tupo hai leo ili kutumia akili zetu kutengeneza na kutatua matatizo yanayotukabili!
Root cause ya matatizo ya Watanzania ni sisiemu... Cha ajabu wanaiogopa na kukimbilia kutatua makando kando ya tatizo lenyewe...!
Mwalimu JKN aliona mbali sana... Umaskini wa akili ni zaidi ya umaskini wowote ule!
Acha uongo,matatizo ya Tanzania na Africa kwa ujumla siyo vyama tawala ni ule mkutano wa Berlin conference 1885.Unaweza niambia inchi ipi ya kiafrica inatengeneza magari harafu inaenda kuuza America au ulaya?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukute mtu hujawahi kuongoza hata mbuzi au hata kuwa "monteresi" darasani kwenu lkn unamshauri Membe kuhusu uongozi...
 
Acha uongo,matatizo ya Tanzania na Africa kwa ujumla siyo vyama tawala ni ule mkutano wa Berlin conference 1885.Unaweza niambia inchi ipi ya kiafrica inatengeneza magari harafu inaenda kuuza America au ulaya?.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ungetuliza akili ungeelewa hoja yangu... Matatizo yote ulotaja yalisababishwa na watu... Hivyo ni lazima tujipange kukabiliana na hao watu!
Tatizo sisi tulivopokea dini tukaamini kuwa ndo suluhisho ya matatizo yetu!
Uchelewi kusikia kuwa fulani ni chaguo la Mungu wakati wote tunafahamu fika fojari zilizomfikisha hapo alipo!
Grow up young man!!
 
Acheni woga... Mbona li muvi ndo kama linaanza??
Ili nchi itoke hapa ilipo ni lazima haya ne mengine mengi tu yatokee...
Kukimbia si suluhisho!!
Kama humwogopi wala huogopi 'wafanyakazi' wake wasiojulikana, bali jitokeze mbele ya kamera na kumkosoa hadharani uipate fresh. Uwage umeaga kabisa kwa mke/mume na watoto na ikiwezekana gawa kabisa na urithi ndipo ualike wanahabari.
 
Mimi ni mTanzania tu, hayo ya CCM na utamaduni hayanihusu.

Niliyemjibu anazungumzia 'utamaduni wa CCM'.
Halafu unaingizaje utamaduni wa CCM kwa jambo linalotuhusu watanzania wote? Hivi huo utamaduni wa CCM tuliupitisha lini kwamba utumike kuamua nani wa kuiongoza nchi?
 
Kama humwogopi wala huogopi 'wafanyakazi' wake wasiojulikana, bali jitokeze mbele ya kamera na kumkosoa hadharani uipate fresh. Uwage umeaga kabisa kwa mke/mume na watoto na ikiwezekana gawa kabisa na urithi ndipo ualike wanahabari.

Usiamini katika kumuogopa binadamu mwenzako... Tupo kazini... Usiku na mchana tunapambana kuhakikisha madhila ya watu yanafikia ukomo... Yatachukua muda lakini ni lazima yataisha tu!!
 
Usiamini katika kumuogopa binadamu mwenzako... Tupo kazini... Usiku na mchana tunapambana kuhakikisha madhila ya watu yanafikia ukomo... Yatachukua muda lakini ni lazima yataisha tu!!
Mimi nitamvulia kofia "atakayemweza" Jiwe.
 
Halafu unaingizaje utamaduni wa CCM kwa jambo linalotuhusu watanzania wote? Hivi huo utamaduni wa CCM tuliupitisha lini kwamba utumike kuamua nani wa kuiongoza nchi?
Wewe ni mlevi au hujui kusoma na kuelewa!

Unakurupuka ku'quote' bila hata ya kuelewa kilichoandikwa?

Bure kabisa.
 
Mchungaji Mtikila alipokuwa anapigania haki kuwepo wagombea binafsi.Alipuuzwa sana na washika dola.
Jaji Warioba alipokazia umuhimu wa mapendekezo ya katiba mpya alibezwa na kuzabwa makofi Ubungo Plaza.
JK alipochomoa jina la Lowassa ili Membe apate afueni kinyume na taratibu za CCM,Membe aliambuliwa nafasi ya mwisho.Sasa Membe from no 5 analialia nini?
CCM ilimfukuza na kumvua vyeo vyote Raisi wa Zanzibar na makamu 1 wa Raisi serikali ya muungano Aboud Jumbe,itakuwa huyu mdogo kuliko piliton?
Wakulia wangekuwa akina Lowassa waliokatwa majina yao.
When things falls apart they are no longer at ease.
 
Back
Top Bottom