Ushauri wa bure tu kwa aliyefurumushwa

Ushauri wa bure tu kwa aliyefurumushwa

Mzukulu

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2020
Posts
1,401
Reaction score
2,643
1. Usiwajibu kwa haraka kama ambavyo nimeanza kuona unataka Kufanya hivyo
2. Acha Mihemuko ya Kuwaambia neno Umma ambao wengi Wao ni Wanafiki watupu
3. Jitafakari huku ukikikumbuka sana kile Kiapo chako cha Fani yako Kuu ya Njiwa / Chawa
4. Kuanzia sasa usiwaamini wote wanaokuzunguka kwani hao ndiyo wanakumaliza
5. Usiwaze kwenda upande wa Pili badala yake jikite katika Ujasiriamali au Pumzika tu kabisa
6. Jua ya kwamba kuna mahala umetegwa na wanajua utapaingia tu ili wakumalize vizuri
7. Kuanzia leo popote utakapokuwa jua mpo wengi hivyo ongeza mno umakini wako Kimaisha

Wenye kuona mbali kwa aina ile ya body language yako tu hasa ulipotoka Kuhojiwa Mji Mkuu wa Tanzania huku baada ya hapo ukiwa unajimwambafai hasa kwa ile Mikogo yako ya Kikusini na ile uliyokuja nayo kutokea nchini Canada na kuwepo muda mrefu katika docket yenye kukukutanisha na Wazungu na Wanadiplomasia kila mara tulijua tu kuwa usingepona kwani ulichokifanya kwa mbaya wako ambaye hapendi Dharau au Mtu mwingine kuwa juu yake kilichokutokea amekibariki vilivyo.

Yangu ni haya tu Mfurumushwaji (Mfukuzwaji) Mjeuri na Kiburi.
 
MEMBE TANGU WAKATI WANAKUHOJI NA KUKUFUKUZA CHAMA WAMEENDELEA KUKUFUATILIA SANA NYENDO ZAKO. NA KAMA INGEFAA UNGEENDA SEHEMU NYINGINE KABISA NJE YA TANZANIA UKAPUMZIKE KABISA. HUYU JAMAA MLIYEMKABIDHI CHAMA NA SILIKALI NI BALAA, NI NYOKA MKUBWA. ANAKULIA TIMING TU. ANAWEZA KUAGIZA UPOTEZWE KAMA ALIVYOAGIZA KWA TL
 
Kwa hiyo watamkolimba
MEMBE TANGU WAKATI WANAKUHOJI NA KUKUFUKUZA CHAMA WAMEENDELEA KUKUFUATILIA SANA NYENDO ZAKO. NA KAMA INGEFAA UNGEENDA SEHEMU NYINGINE KABISA NJE YA TANZANIA UKAPUMZIKE KABISA. HUYU JAMAA MLIYEMKABIDHI CHAMA NA SILIKALI NI BALAA, NI NYOKA MKUBWA. ANAKULIA TIMING TU. ANAWEZA KUAGIZA UPOTEZWE KAMA ALIVYOAGIZA KWA TL
 
Naona unamfundisha shehe kuswali
1. Usiwajibu kwa haraka kama ambavyo nimeanza kuona unataka Kufanya hivyo
2. Acha Mihemuko ya Kuwaambia neno Umma ambao wengi Wao ni Wanafiki watupu
3. Jitafakari huku ukikikumbuka sana kile Kiapo chako Fani yako Kuu ya Njiwa / Chawa
4. Kuanzia sasa usiwaamini wote wanaokuzunguka kwani hao ndiyo wanakumaliza
5. Usiwaze kwenda upande wa Pili badala yake jikite katika Ujasiriamali au Pumzika tu kabisa
6. Jua ya kwamba kuna mahala umetegwa na wanajua utapaingia tu ili wakumalize vizuri
7. Kuanzia leo popote utakapokuwa jua mpo wengi hivyo ongeza mno umakini wako Kimaisha

Wenye kuona mbali kwa aina ile ya body language yako tu hasa ulipotoka Kuhojiwa Mji Mkuu wa Tanzania huku baada ya hapo ukiwa unajimwambafai hasa kwa ile Mikogo yako ya Kikusini na ile uliyokuja nayo kutokea nchini Canada na kuwepo muda mrefu katika docket yenye kukukutanisha na Wazungu na Wanadiplomasia kila mara tulijua tu kuwa usingepona kwani ulichokifanya kwa mbaya wako ambaye hapendi Dharau au Mtu mwingine kuwa juu yake kilichokutokea amekibariki vilivyo.

Yangu ni haya tu Mfurumushwaji (Mfukuzwaji) Mjeuri na Kiburi.

In God we Trust
 
Kalipwa malipo stahiki,akiendelea kukomaa anaongezwa malipo ya ziada
1. Usiwajibu kwa haraka kama ambavyo nimeanza kuona unataka Kufanya hivyo
2. Acha Mihemuko ya Kuwaambia neno Umma ambao wengi Wao ni Wanafiki watupu
3. Jitafakari huku ukikikumbuka sana kile Kiapo chako Fani yako Kuu ya Njiwa / Chawa
4. Kuanzia sasa usiwaamini wote wanaokuzunguka kwani hao ndiyo wanakumaliza
5. Usiwaze kwenda upande wa Pili badala yake jikite katika Ujasiriamali au Pumzika tu kabisa
6. Jua ya kwamba kuna mahala umetegwa na wanajua utapaingia tu ili wakumalize vizuri
7. Kuanzia leo popote utakapokuwa jua mpo wengi hivyo ongeza mno umakini wako Kimaisha

Wenye kuona mbali kwa aina ile ya body language yako tu hasa ulipotoka Kuhojiwa Mji Mkuu wa Tanzania huku baada ya hapo ukiwa unajimwambafai hasa kwa ile Mikogo yako ya Kikusini na ile uliyokuja nayo kutokea nchini Canada na kuwepo muda mrefu katika docket yenye kukukutanisha na Wazungu na Wanadiplomasia kila mara tulijua tu kuwa usingepona kwani ulichokifanya kwa mbaya wako ambaye hapendi Dharau au Mtu mwingine kuwa juu yake kilichokutokea amekibariki vilivyo.

Yangu ni haya tu Mfurumushwaji (Mfukuzwaji) Mjeuri na Kiburi.
 
Ushauri murua.Ufanyiwe kazi.Ukikaa kimya pia ni silaha kubwa sana ,watateseka sana kukusubiri wapate pa kuanzia kutimiza ubaya walioupanga dhidi yako ikiwemo kukufungukia kesi tata.
Kwa kuwa umeahidi utasema, tweet " Nimeyasikia namshukuru Mungu kwa yote "

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aende upande wa pili kuchangamsha genge tena ikiwa ACT ndiyo itabamba sana!

Huu utamaduni watu wana miongo minne wanaulinda kwa gharama hiihii.
 
Summary ya uzi wako ndio kusema
"KUBALI TU, IT OS OVER"
 
Haya sarakasi zimeshaanza, tunasubiri watu wapewe pesa wakimbilie rwanda
 
MEMBE TANGU WAKATI WANAKUHOJI NA KUKUFUKUZA CHAMA WAMEENDELEA KUKUFUATILIA SANA NYENDO ZAKO. NA KAMA INGEFAA UNGEENDA SEHEMU NYINGINE KABISA NJE YA TANZANIA UKAPUMZIKE KABISA. HUYU JAMAA MLIYEMKABIDHI CHAMA NA SILIKALI NI BALAA, NI NYOKA MKUBWA. ANAKULIA TIMING TU. ANAWEZA KUAGIZA UPOTEZWE KAMA ALIVYOAGIZA KWA TL

Acheni woga... Mbona li muvi ndo kama linaanza??
Ili nchi itoke hapa ilipo ni lazima haya ne mengine mengi tu yatokee...
Kukimbia si suluhisho!!
 
Maji yameinjikwa tayari kwa ugari, ni uchaguzi kwa subtitle, kutangulia kukorogea unga au kusubiri maji yachemke. Best wishes.
 
Back
Top Bottom