Mwanamke mwili, mwanamke nyama siyo unalala na kamtu hadi usiku unaanza kukatafuta kumbe kamepoteana kwenye blanket.
Mwanamke nyama unaoa kamtu hakaeleweki hadi nyumbani wanashindwa kujua mama wa nyumba ni nani sipendi.
Mwanamke mnene ni hazina ya dunia hata mke wa Ibrahim alikuwa pande la mama.
Bravo sana kwenu mabonge Mungu awabariki mno. Hata nyie mamiss mbarikiwe ila si kwa kiwango cha hao wanene.
Sent using
Jamii Forums mobile app