Ushauri wa bure kwa Waislam

Status
Not open for further replies.

siku zote huwa unafikiri anticlockwise writing clockwise!

Daktari mmoja pale BUCHS na KCMC anagharimiwa sh 40mil mpaka kumaliza course, yeye analipia 20mil!

Hospitali za sadaka zetu mnatibiwa kwa rufaa ya gharama za chini, KWA NINI SERIKALI ISIFIDIE?
There is no free lunch

J.K. aliwaambia jengeni mahospitali na nyie halafu daini MOU kama ya Lowasa

USHAURI:
Gomeni kwenda vyuo na hospitali zetu makafiri, MOU itakufa yenyewe TENA ANZENI KESHO ili foleni zipungue mahospitali na vyuo vyetu mkajazane MUM
 

mkuu kwenye red ufafanuzi kidogo: mahakama za kadhi zitambuliwe au maamuzi yanayotoka mahakama ya kadhi yatambuliwe/yaheshimiwe na serikali?
 

Inakuaje mkuu hivi matusi kwako ni bora?
 
Mbona hakuna aya hapo inayoelezea mahakama ya kadhi mkuu? Nipe aya inayoonyesha hii mahakama mnayolilia..sio hadithi za muhukumu kwa haki.

Tumia akili kidogo Mkuu matumbo. Unapoambiwa muhukumiane kwa haki, Mnaenda kuhukumiana wapi na kwa sheria zipi?.
 
Huyo kafiri hapo juu humuoni sio?

Au na wewe una macho ya kigalatia!
Yanayotazama upande mmoja tu.
Soma uzi uone nani kaanza matusi. Sio kuniijia mimi km tunafahamiana.

sijatukana na huwa situkani, ni maelekezo ya mwamedi mtu akifa anakamuliwa kinyesi! TUSI LIPI?
 
sijatukana na huwa situkani, ni maelekezo ya mwamedi mtu akifa anakamuliwa kinyesi! TUSI LIPI?

Usiwe mjinga wa kutukana na kukashif watu na imani zao.
Kufanya hivyo ni kukaribisha kutukanwa ww wazani wako na imani yako.
 
Usiwe mjinga wa kutukana na kukashif watu na imani zao.
Kufanya hivyo ni kukaribisha kutukanwa ww wazani wako na imani yako.

TUSI LIPI? Kwani huwa hamkamui vinyesi mtu akifa? Hata kama mwanamke mnene mnakamua tu, tena wanaume
 

Kama mahakama ya kadhi ni ibada ebu tuwekee kifungu cha qurhan kinachoelezea uwepo wa mahakama hiyo. Asilimia kubwa ya waislam hawaijui vema dini yao, huo ndio ukweli. Issue hapa serikali isihusike kuunda chombo hicho kwa kuwa ni cha kidini? hiyo ndio spirit yetu sisi watz kwamba mambo ya dini yabaki kwa wenye dini wenyewe(je hili linahitaji degree kuelewa au ndio mwanzo wa waislamu kutaka machafuko kwa kisingizio cha kudai haki ya mahaka ya kadhi?) Mimi napata mashaka sana ndugu zangu hawa ni janga la dunia!!!
 
we unatembea nacho tumboni! FAIR SQUARE

Sisi tukienda haja kubwa tunanawa ila nyinyi mnajifuta na makaratas mkiulizwa mnasema maji yanaleta fangas na harufu mbaya teh teh teh kwel nyinyi majuha hiv maj na kinyes nini kinatoa harufu
 

tunasema mmiliki na siyo mjenzi! Banda langu la nguruwe lilijengwa na Fundi Hassan so niliite la Hassan?

We Tabular Rassa kweli
 
We are talking about Tanzania and not Kenya.


Kenya is not Tanzania


All of this is pertaining to Kenya's constitution and not Tanzania.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…