Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 6,339
- 8,227
Wapi dadavua wakurungwa tupate dealkuleee
Wapi dadavua wakurungwa tupate dealkuleee
Tukemee hili pepo la hela, tooka, toka 😀Nataka hela mchagga mie
Hakika cuteNusu ya hekima ni kunyamaza na kukaa kimya. Ipo nguvu Katika kunyamaza, kuepusha mambo mengine yapite. Wanawake wenzangu huwezi kushindana na mwanaume aliye kudonoa (aliekuvua nguo) ingawa haibakigi alama.
wanawake wenzangu tujifunze kunyamaza haswaa kukaa kimya napo ni jibu tena jibu baya haswaa maana unamuumiza mtu kisaikolojia hajui jinsi ya kukuattack tena kwa vile umemlia bati kwa kutokumjibu chochote kwa yale anayosema juu yako.
Nimesema haya kutokana na yanayoendelea kwa Kajala na Harmonize, ingawa hayanihusu ila tujifunze hili kupitia hawa.
Karibuni tule Ugali dagaa.
Aah wapi 😀😀😀sio shida zangu mimiMamdogo, isije ikawa na wewe una mdomo..!!!
Mamdogo hujajibu swali. Una mdomo?Aah wapi 😀😀😀sio shida zangu mimi
nayo utasema imeisha nikaribishe na vingine vinavyolika🙄Nimekaribia mgeni
It's dinner timecha mchana kimeisha
Umejibowa au cjaona😂Mamdogo hujajibu swali. Una mdomo?
Ndiwooo dyadyaaa!!!Kukaa kimya siyo kwa Mwanamke tu kisa umevuliwa chupi...
Hata Mwanaume kukaa kimya ni salama sana na kunakuepusha mengi....
Mbona mimi namwambia huyu Mtoto wa Mtu....akikasirika namwambiaga "Unataka kunipiga sasa..nipige niko hapa"Anacheka tu..



nimecheka had baas.Wanawake gani wakae kimya..?
Kama ni hawa walioongea na nyoka utasubiri sana...![]()





Kwahiyo umekula dagaa lako kauzu ili uje kutuchamba? Haya tuambie tusishindane nao kitu gani?


Wanawake gani wakae kimya..?
Kama ni hawa walioongea na nyoka utasubiri sana...![]()




😆😆😆🥺Ndiwooo dyadyaaa!!!