Ushauri wa bure kwa sisi wanawake

Ushauri wa bure kwa sisi wanawake

Nusu ya hekima ni kunyamaza na kukaa kimya. Ipo nguvu Katika kunyamaza, kuepusha mambo mengine yapite. Wanawake wenzangu huwezi kushindana na mwanaume aliye kudonoa (aliekuvua nguo) ingawa haibakigi alama.

wanawake wenzangu tujifunze kunyamaza haswaa kukaa kimya napo ni jibu tena jibu baya haswaa maana unamuumiza mtu kisaikolojia hajui jinsi ya kukuattack tena kwa vile umemlia bati kwa kutokumjibu chochote kwa yale anayosema juu yako.

Nimesema haya kutokana na yanayoendelea kwa Kajala na Harmonize, ingawa hayanihusu ila tujifunze hili kupitia hawa.

Karibuni tule Ugali dagaa.
Kumbe dagaa la mwanza tamu lkn linawasha balaa hasa utapokutana na ule ugali unaofanana na lami ndio kama hivi😂😂
 
Nusu ya hekima ni kunyamaza na kukaa kimya. Ipo nguvu Katika kunyamaza, kuepusha mambo mengine yapite. Wanawake wenzangu huwezi kushindana na mwanaume aliye kudonoa (aliekuvua nguo) ingawa haibakigi alama.

wanawake wenzangu tujifunze kunyamaza haswaa kukaa kimya napo ni jibu tena jibu baya haswaa maana unamuumiza mtu kisaikolojia hajui jinsi ya kukuattack tena kwa vile umemlia bati kwa kutokumjibu chochote kwa yale anayosema juu yako.

Nimesema haya kutokana na yanayoendelea kwa Kajala na Harmonize, ingawa hayanihusu ila tujifunze hili kupitia hawa.

Karibuni tule Ugali dagaa.
Anahoja asikilizwe
 
Msisahau yule wa juzi kati na yeye alijiresi akasema nipige uone, kada wa chama akamng'oa meno kwa plaizi..
Ohooo.... kaeni kwa step
 
Back
Top Bottom