Ushauri wa bure kwa sisi wanawake

Ushauri wa bure kwa sisi wanawake

Mimi ni mtu siwezi kuongea nikiona haina sababu ya kuongea halafu kuliwa sio kipya mtu akienda,aendreee tu haikuwa riziki anasema anaenda nibasi tu,aendee sina nguvu yakupigana. Ila akinijibu vibaya ndio nitamfunza,ila akienda aendee ila kama nimempenda sana basi naenda namuomba Mungu basi
 
Hayo yote yanaletwa na mahusiano uchwara yasiyokuwa na mbele wala nyuma njoeni tukae single wakuu
 
Mimi ni mtu siwezi kuongea nikiona haina sababu ya kuongea halafu kuliwa sio kipya mtu akienda,aendreee tu haikuwa riziki anasema anaenda nibasi tu,aendee sina nguvu yakupigana. Ila akinijibu vibaya ndio nitamfunza,ila akienda aendee ila kama nimempenda sana basi naenda namuomba Mungu basi
Jambo jema hivi na hisia zinaenda au nazo zinatoka😆
 
Hahahah yakakutoka maneno mazito hatari hiyo
Niliblock tu laini kake nilimsajiria kalikuwa na viakiba akawa anataka msaada nifungulie atoe Hela nikamwambia kuwa na adabu sikufungulii nenda kashitaki
 
Nusu ya hekima ni kunyamaza na kukaa kimya. Ipo nguvu Katika kunyamaza, kuepusha mambo mengine yapite. Wanawake wenzangu huwezi kushindana na mwanaume aliye kudonoa (aliekuvua nguo) ingawa haibakigi alama.

wanawake wenzangu tujifunze kunyamaza haswaa kukaa kimya napo ni jibu tena jibu baya haswaa maana unamuumiza mtu kisaikolojia hajui jinsi ya kukuattack tena kwa vile umemlia bati kwa kutokumjibu chochote kwa yale anayosema juu yako.

Nimesema haya kutokana na yanayoendelea kwa Kajala na Harmonize, ingawa hayanihusu ila tujifunze hili kupitia hawa.

Karibuni tule Ugali dagaa.
.......binafsi sifahamu huyo kajala kafanya nini lakini mimi nikupongeze wewe kwa neno lako la hekima sana kwa wenzio, na umeongea kwa busara na hisia hasa hiyo para ya kwanza na mwisho, inaonekana una utulivu fulani na brain maturity ya hali ya juu, safi Mtoto mzuri Adela.......
 
.......binafsi sifahamu huyo kajala kafanya nini lakini mimi nikupongeze wewe kwa neno lako la hekima sana kwa wenzio, na umeongea kwa busara na hisia hasa hiyo para ya kwanza na mwisho, inaonekana una utulivu fulani na brain maturity ya hali ya juu, safi Mtoto mzuri Adela.......
Shukrani mkuu
 
Back
Top Bottom