Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,351
Mimi ni mtu siwezi kuongea nikiona haina sababu ya kuongea halafu kuliwa sio kipya mtu akienda,aendreee tu haikuwa riziki anasema anaenda nibasi tu,aendee sina nguvu yakupigana. Ila akinijibu vibaya ndio nitamfunza,ila akienda aendee ila kama nimempenda sana basi naenda namuomba Mungu basi

hatari hiyo


