Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
1}chagua kozi ambayo unaipenda kwa dhati kutoka moyoni,usichague kozi just ili na wewe uje kuonekana uko chuo kikuu,kumbuka hyo ndio future yako so fanya maamuzi sahihi.
2}usichague vyuo kwa kufuata mkumbo,angalia kwanza marks zako kama hazijakaa fresh usikimbilie kuomba vyuo vyenye competition kubwa kama udsm,sua au muhimbili,hii iliwatokea wengi last year wakajikuta wanapelekwa vyuo ambavyo havikua machaguo yao,so kama marks zako hazijakaa fresh usifuate mkumbo kwa kuchagua hvo vyuo vyenye ushndani.
3}kama nyumbani kwenu hamko fresh kiuchumi,chagua kozi zilizopewa priority mfano ualimu,udaktari na uhandisi otherwise ukichagua kozi nyngne kuna kupata mkopo au kukosa.
4}kama hauna princple mbili,usijisumbue kuapply,utaliwa pesa yako bure,mwaka jana wengi wameliwa kwa kutokujua.
5}kama unaona matokeo yako co mazuri kivile,basi nakushauri uapply sehemu mbili yani tcu na wkt huo huo omba na diploma either ya ualimu au yoyote unayoipenda ili hata tcu wasipokuchagua unakua una alternative nyingne kuliko kukaa home na kupoteza muda.
Ni hayo tu kwa leo.asanteni
2}usichague vyuo kwa kufuata mkumbo,angalia kwanza marks zako kama hazijakaa fresh usikimbilie kuomba vyuo vyenye competition kubwa kama udsm,sua au muhimbili,hii iliwatokea wengi last year wakajikuta wanapelekwa vyuo ambavyo havikua machaguo yao,so kama marks zako hazijakaa fresh usifuate mkumbo kwa kuchagua hvo vyuo vyenye ushndani.
3}kama nyumbani kwenu hamko fresh kiuchumi,chagua kozi zilizopewa priority mfano ualimu,udaktari na uhandisi otherwise ukichagua kozi nyngne kuna kupata mkopo au kukosa.
4}kama hauna princple mbili,usijisumbue kuapply,utaliwa pesa yako bure,mwaka jana wengi wameliwa kwa kutokujua.
5}kama unaona matokeo yako co mazuri kivile,basi nakushauri uapply sehemu mbili yani tcu na wkt huo huo omba na diploma either ya ualimu au yoyote unayoipenda ili hata tcu wasipokuchagua unakua una alternative nyingne kuliko kukaa home na kupoteza muda.
Ni hayo tu kwa leo.asanteni