Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Hivi EL huwa anapita mitaa hii?
Sasa kama hapiti basi ni kwa nini Pasco wa JF ametumia njia ndefu hivi kumfikishia ujumbe? Sio ange-PM au angewasiliana na Fred tu then msg ingemfikia Leigwanan......why lakini?
Sasa kama hapiti basi ni kwa nini Pasco wa JF ametumia njia ndefu hivi kumfikishia ujumbe? Sio ange-PM au angewasiliana na Fred tu then msg ingemfikia Leigwanan......why lakini?