Ushauri wa bure kwa CHADEMA

Ushauri wa bure kwa CHADEMA

Nyie mnabishana na magammba wa kazi gani jamani; hao wameletwa humu na CCM kuenea propaganda, hata majina yao yanajieleza! Wanapigania matumbo yao. Kusema kweli Suala alilozungumzia mdau hapo juu ni kweli hasaa, tatizo chama hakina fedha za kutosha; kazi iliyopo ni kwetu ss wananchi kusaidia kujenga chama kwa njia ya kujitolea;

Yeah lazima kujitolea,lkn viongozi wanapaswa kuonyesha njia/kuanzisha utaratibu wa kuelekea huko. ccm ofisi zao zilijengwa wakati wa chama kimoja na kwa kutumia rasilimali za serikali/kodi za wananchi wote. CDM wanatakiwa kuibua mikakati ya ujenzi wa ofc wananchi watasupport tu.
 
Mliweza kumnunulia nyumba Slaa lakini ofisi inawashinda, mliweza kununua mikangafu ya mbowe lakini kodi ya vyumba viwili dodoma inawashinda. Leo hii mnataka mpewe nchi,si ndio hapo mtamuona Mbowe anapewa Chumba benki kuu.

contain malware signature.
 
CDM ingekuwa strategic wasingefanya mambo wanayofanya sana! Wangejikita kwenye kukuza chama..including kuimprove office zao

,the software you are installing have no digital signature, you may continue at your own risk!!!!
 
Salaam wanaJF!

Jambo nitakalolizungumzia si mara ya kwanza kwa jambo hili kusemwa humu JF na wadau mbalimbali. CHADEMA, kama chama kinachozidi kukua na kupata umaarufu hapa TZ, kinapaswa kianze kujiweka katika mazingira ya chama maarufu na kinachokubalika kweli.
Mazingira haya ninayoyasema yamejikita katika suala la ofisi za chama zenye hadhi ya CHADEMA ya sasa na ya badae (kama chama tawala). Kwa kweli ofisi za chama, tena hata za mkoa bado hazina hadhi ya CHADEMA. Mfano, ofisi ya chama pale mkoani Dodoma, ni aibu kwa chama. Si vyema CHADEMA kuwa na ofisi kama ile, kwanza ipo ndani ya kijichumba kimoja (kama frame za maduka kwenye stand za mabasi au za biashara); hakuna office stationary; hakuna hata secretary zaidi ya jamaa mmoja ambae ndie uwa anakaa pale. Pia ofisi za makao makuu nazo zimeshaongelewa sana na wadau; nazo hazina hadhi ya chama kwa sasa.
Hapa chama kinabidi kifanye jitihada kweli; hata kama ni kwa kuomba michango toka kwa wanachama, wapenzi na wakereketwa chama kifanye, ili 2015 chama kiwe angalau na ofisi nzuri katika miji mikubwa hapa TZ.
Hili suala chama kinapaswa hisilichukulie kana kwamba ni dogo; muonekano wa kiofisi nao una matter katika masuala ya kisiasa.

Hivyo mimi ninakishauri chama kifanye jitihada za haraka katika hili. Niko tayari kuchangia kwa ajili ya kufanikinisha zoezi hili.

NB: Pia uongozi wa chama naomba mjitahidi katika suala la mawasiliano na utoaji wa taarifa mbalimbali za chama; website ya chama imedorora sana. System administrators wajitahidi kuwa active and alive.

Natumaini viongozi wa chama watasikia ushauri wangu na kuuzingatia.
Kabla ya ushauri wako kwa chama kaka ungetafiti kwanza histoya ya kuanzishwa kwa Chama na hata sifa za wafadhili wa CHAMA. Chama kilianzishwa na familia, kikavuta wachache toka nje ili kupata umaarufu ila malengo yakiwa yaleyale bila ya waliovutwa kujielewa, Wafadhili wa chama unawajua? unajua sifa zao? hakika ofisi za CHADEMA siku zote lazima ziwe chache na mafichoni ili historia ichukue mkondo wake
 
Salaam wanaJF!

Jambo nitakalolizungumzia si mara ya kwanza kwa jambo hili kusemwa humu JF na wadau mbalimbali. CHADEMA, kama chama kinachozidi kukua na kupata umaarufu hapa TZ, kinapaswa kianze kujiweka katika mazingira ya chama maarufu na kinachokubalika kweli.
Mazingira haya ninayoyasema yamejikita katika suala la ofisi za chama zenye hadhi ya CHADEMA ya sasa na ya badae (kama chama tawala). Kwa kweli ofisi za chama, tena hata za mkoa bado hazina hadhi ya CHADEMA. Mfano, ofisi ya chama pale mkoani Dodoma, ni aibu kwa chama. Si vyema CHADEMA kuwa na ofisi kama ile, kwanza ipo ndani ya kijichumba kimoja (kama frame za maduka kwenye stand za mabasi au za biashara); hakuna office stationary; hakuna hata secretary zaidi ya jamaa mmoja ambae ndie uwa anakaa pale. Pia ofisi za makao makuu nazo zimeshaongelewa sana na wadau; nazo hazina hadhi ya chama kwa sasa.
Hapa chama kinabidi kifanye jitihada kweli; hata kama ni kwa kuomba michango toka kwa wanachama, wapenzi na wakereketwa chama kifanye, ili 2015 chama kiwe angalau na ofisi nzuri katika miji mikubwa hapa TZ.
Hili suala chama kinapaswa hisilichukulie kana kwamba ni dogo; muonekano wa kiofisi nao una matter katika masuala ya kisiasa.

Hivyo mimi ninakishauri chama kifanye jitihada za haraka katika hili. Niko tayari kuchangia kwa ajili ya kufanikinisha zoezi hili.

NB: Pia uongozi wa chama naomba mjitahidi katika suala la mawasiliano na utoaji wa taarifa mbalimbali za chama; website ya chama imedorora sana. System administrators wajitahidi kuwa active and alive.

Natumaini viongozi wa chama watasikia ushauri wangu na kuuzingatia.
kama MBOWE alikataa shangingi kama kiongozi wa upinzani bungeni ni dhahiri kwamba tatizo siyo fedha, bali matumizi. weka vipesa vyako unavyotaka kuchangia kwenye SACCOS iliyoko karibu nawe ili baadaye mkopo uongezeke ya CHADEMA na MBOYE wanayajua wenyewe. Samahani naomba kujua hivi hata gari la CHAMA nalo alilikataa au lenyewe halitumii pesa za walipa kodi?
 
Kabla ya ushauri wako kwa chama kaka ungetafiti kwanza histoya ya kuanzishwa kwa Chama na hata sifa za wafadhili wa CHAMA. Chama kilianzishwa na familia, kikavuta wachache toka nje ili kupata umaarufu ila malengo yakiwa yaleyale bila ya waliovutwa kujielewa, Wafadhili wa chama unawajua? unajua sifa zao? hakika ofisi za CHADEMA siku zote lazima ziwe chache na mafichoni ili historia ichukue mkondo wake
Nyumba anayoishi SLAA na makao makuu ya chama KINONDNI kipi kina hadhi?.
 
Je uwepo wa majengo maridadi na yenye hadhi kwa chama cha magamba umesaidia jinsi gani kuleta maendeleo na kuondoa madhira wanayopata wananchi wetu walio na magumu mengi yanayowakabili.
Ufahari wa majengo sio utendaji, kitabu hakihukumiwi tokana na jarida lake la juu.
 
Ushauri mzuri japo linahitaji muda na umakini
CCM wanatumia majengo yaliyojengwa na watanzania enzi za mwalimu
sidhani kama unaweza kupata majengo yenye hadhi yaliyojengwa na CCM toka 1992
kama yapo yatakuwa machache sana
tuamini kuwa Regia keshaiona na ataifanyia kazi
 
Ushauri mzuri sana mkuu, lakini naona muhimu kwanza chama kiimarike katika fikra za watanzania na baadae uboreshaji wa miundo mbinu, believe me CDM wakianza kuhamasiha ujenzi wa ofisi this tyme kutazuka hoja ya kuwa wamesahau shida za watanzania na kuanza kujenga ofisi za kifahari,kukmuka Kenya upinzani ulichukua nchi bila kuwa hata na ofisi za mikoa,tujipange kwanza kutapa uungwaji mkono katika fikra za mtanzania(hasa wa vijijini) ili ukombozi wa kweli uje,chama imara sio majengo na ofisi nzuri bali sera safi viongozi makini na usimamizi dhabiti katika kutekeleza sera.
 
Ushauri mzuri ndhani muhusika mkuu atakuwa amepita hapa na kuuchukua kama changamoto za chama
 
CDM ingekuwa strategic wasingefanya mambo wanayofanya sana! Wangejikita kwenye kukuza chama..including kuimprove office zao

Sasa hivi ni kupambana na ufisadi kwanza halafu ofisi baadae ... kwa nini wakae washinde oficin wakati wananchi wana matatizo chungu nzima?
 
ni ushauri mzuri sana ni swala la vipambele kumba chama kimetoka kwenye kampeni mwishoni mwa mwaka jana, tegemea chama kuwa na madeni na katika ruzuku nijuavyo mimi huwa wanatoa kulingana jimbo lilivyo patakura lakini kama wenyeji wasehemu husika tukiongozwa la viongozi wetu tukiamua tunaweza kuharakisha badala ya kusubili makao makuu au pesa ya gawio..

Mkuu hivi pesa za walipakodi zinazotolewa kwa vyama vya siasa yaani ruzuku inatakiwa ifanye kazi gani? Mimi najua moja ya kazi ni kuimarisha vyama ili tuwe na demokrasia makini. Pia naamini ya kwamba chama kikiwa na ofisi zinazoeleweka ni sehemu ya kukiimarisha hicho chama kwani wanachama watakuwa na uhakika wa kuhudumiwa na ofisi za chama chao. Ruzuku inapogeuka kuwa ni pesa ya kulipia madeni na kulipia magari chakavu ambayo baadhi ya wanachama walijitolea kwa ajili ya kampeni naona kama haki haitendeki. Wale wenzangu na mimi ambao tulijitolea vibajaj vyetu na vikaishia kwenye kampeni tutafaidika vipi, si heri tujengewe ofisi basi.
 
Wafadhili wa Magwanda wamewaambia Chadema wasitumie hata shilingi kujenga ofisi na badala yake hela yote waitumie kuratibu maandamano na kununulia tindikali.

Ivi una miaka pungufu ya 50 wewe?
 
Chadema wako kimaslahi yao zaidi! Hawaangalii future, viongozi wao ni walafi na wana uchu wa madaraka sana.
Wanatumia hela nyingi sana kwenye maandamano yao na operations mbalimbali ambazo hazina tija!
Ushauri wako ni mzuri..lakini ni kama umempigia mbuzi gitaa
Rejao Inaomekana Mwigullu Nchemba alishakutembelea nyumbani kwako shauri zako wewe unakalia key board tu. Any way ndiyo makubaliana mliyokubaliana, akitoka Igunga atakujaza minoti.
 
Back
Top Bottom