Halafu tunamlipa JOSEPHINE 7.2M kila mwezi! Badala ya kujenga ofisi?
Chadema hakipo kwa ajili ya kufanya siasa ni kampuni ya wachagga waliolenga kugawana ruzuku ya chama, mtapata taabu bure kupanua midomo kama mi..ndu! ..ku..
mods vip tena?
Ruzuku yote wanagawana kwa kulipana mishahara mikubwa na kununua fuso zilizotumika za mbowe kwa milioni mia tano!
CCM ina hela, na salima ni 1st lady, CDM ni njaa halafu Josephine ni kicheche, lazima ujue kutofautishakwani Salima na WAMA hawalipwi na magamba?
Sasa wakiondoka wachaga atabaki nani?Wakiondoka wachaga na Chama kiwe kitaasisi Chadema itajenga ofsi zake ndani ya mwaka mmoja!
Ni ushauri mzuri sana lakini angalau wapambanaji muchukue kadi na muwe mnalipa ada.
Kwa kufanya hilo itasaidia kutatua matatizo kama hayo ya ofisi.
CDM ingekuwa strategic wasingefanya mambo wanayofanya sana! Wangejikita kwenye kukuza chama..including kuimprove office zaoHuoni kwamba hizo operations ndizo zinazidi kuwaumbua ninyi CCM.CDM are always strategic,thats why always mtacheza ngoma ya CDM.
Maneno kama haya hayawezi kushawishi hata kijijini ambako watu hawajawahi kuona mlango wa darasa,sembuse JF?Wafadhili wa Magwanda wamewaambia Chadema wasitumie hata shilingi kujenga ofisi na badala yake hela yote waitumie kuratibu maandamano na kununulia tindikali.
Halafu tunamlipa JOSEPHINE 7.2M kila mwezi! Badala ya kujenga ofisi?
wewe acha siasa za ujima, propaganda hiyo ishapitwa na wakati, kwa sasa propaganda dhaifu ya hijab ndo inatumika nayo ndo hiyoo inapitwa na wakati! usitoe hoja kama vile mk*nd* wako haujachambwa!Chadema hakipo kwa ajili ya kufanya siasa ni kampuni ya wachagga waliolenga kugawana ruzuku ya chama, mtapata taabu bure kupanua midomo kama mi..ndu!
CCM ina hela, na salima ni 1st lady, CDM ni njaa halafu Josephine ni kicheche, lazima ujue kutofautisha
Chadema wako kimaslahi yao zaidi! Hawaangalii future, viongozi wao ni walafi na wana uchu wa madaraka sana.
Wanatumia hela nyingi sana kwenye maandamano yao na operations mbalimbali ambazo hazina tija!
Ushauri wako ni mzuri..lakini ni kama umempigia mbuzi gitaa