Ushauri wa Baba unanikosesha usingizi

Ushauri wa Baba unanikosesha usingizi

Mie huo msemo esp hapa jf unanishangazaga sana...hv hayo magari yanayopita barabarani watu wake wanaishi sayari ipi??? Yaani watu wan mind za giza balaa...hao waliomaliza degree zao wanaishi sayari ipi? Si humu humu?
Hizo nyumba mnazoona watu wamejenga bungalows wanaishi jupiter au?
Yaani mie nashangaaga balaa... !
Kifupi jf kuna matycoon..kuna watu wanaishi kwenye mijumba mizuri na wanatembelea ndinga kali...wapo sana tu

Kweli kabisa mimi nilishajikatalia siku nyingi siji kubeba dhambi ya kujidanganya mwenyewe sababu ukisema una gari na hauna maana yake unajifanganya mwenyewe na ukisema una phd na hauna unajifanganya mwenyewe na dhambi haibebwi kirahisi hivyo, hela inatafutwa tuipambanie sa mtu utatembea kwa mguu na kwene midaladala mpaka lini ? aisee me ndio huwa sikubali hata iweje
 
Kweli kabisa mimi nilishajikatalia siku nyingi siji kubeba dhambi ya kujidanganya mwenyewe sababu ukisema una gari na hauna maana yake unajifanganya mwenyewe na ukisema una phd na hauna unajifanganya mwenyewe na dhambi haibebwi kirahisi hivyo, hela inatafutwa tuipambanie sa mtu utatembea kwa mguu na kwene midaladala mpaka lini ? aisee me ndio huwa sikubali hata iweje
Mie hata leo ww useme sijui unaendesha sijui ranger hata kama unadanganya its up to you unajibebesha mzigo mwenyeweee....hata useme una 2b kwa account n huna unajichosha mwenyewe as mie sidhuriki na kuathirika na utajiri wako
 
150M uandike Diproma, Ushauli...hizo statement za bank au hata Bank slips unaziandikaje Mura??
IMG_20210517_173343.jpg
 
Mkuu inawezekana wengi wana hivyo vitu na mimi huwa sion sababu ya mtu yeyote kufanganya kama ana gari na hana hilo gari sababu hivyo vitu vyote wanavyosema vinatafutika sikuiz gari hata milion 4 unapata mkuu sa mkuu ukiamua kuitafuta hela milion nne itakushinda ??
Mtu msomi anaandika diproma badala ya diplona huyu ni darasa la saba B
 
Hongera sana 150m zipo benk sio mchezo mkuu ooohhh labda kama uwe unatega samaki wa humu wanakuja PM sasa hivi
 
Anafahamu kuwa nina cash bank sio chini ya mia hamsini milioni nje ya vitega uchumi nilivyonavyo. Nimeamua nikueleze haya nikiwa hai imekuwa ni ndoto yake siku nyingi. wanaJF nishaulini nyie mungemujibu vipi? binafsi nilimwambia ninatafakari.
Duh upo series kabisa kwa utawala huu wa JPM ulihifadhi 149,000,000.00 bila TRA na BOT kukuuliza au Task force kuhoji ulikozipata
Muheshimu baba yako na msikilize mpe to 10,000,000/00 atanyamaza
kweli JF wote matajiri
 
Back
Top Bottom