Ushauri wa Askofu Dullu kwa wastaafu serikalini kukubali kustaafu, mkafanye biashara na kulipa kodi kihalali, mmeupokeaje?

Ushauri wa Askofu Dullu kwa wastaafu serikalini kukubali kustaafu, mkafanye biashara na kulipa kodi kihalali, mmeupokeaje?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
25,938
Reaction score
41,098
Hellow!

Ushauri huu ni mzuri, Hawa wastaafu wa Tra kwa mfano, wakistaafu, wafungue pia biashara zile zile walizokuwa wakiwabana wenzao walipe, nao iwahusu.

Ameshauri wastaafu serikalini ifike mahali wakubali kustaafu, Serikali ina washauri wake, wastaafu kujileta mbele ya viongozi wetu kwa gia ya kutoa ushauri hii hakubaliki.

Amewashauri wakafungue biashara na kulipa Kodi kihalali Ili nchi ipate mapato.

Ushauri huu naona ni mzuri maana Hawa wanasiasa wana ukwasi mkubwa kuliko Hawa matajiri walipa Kodi tuwajuao.

NB: Ujumbe huu haumuhusu Mzee Warioba, Butiku na wastaafu wengine wenye kushauri kwa haki.

Swali: Ushauri huu wa Askofu mmeupokeaje?

Nawasilisha 🙏
 
Hellow!

Ushauri huu ni mzuri, Hawa wastaafu wa Tra kwa mfano, wakistaafu, wafungue pia biashara zile zile walizokuwa wakiwabana wenzao walipe, nao iwahusu.

Ameshauri wastaafu serikalini ifike mahali wakubali kustaafu, Serikali ina washauri wake, wastaafu kujiletea mbele ya viongozi wetu kwa gia ya kutoa ushauri hii hakubaliki.

Amewashauri wakafungue biashara na kulipa Kodi kihalali Ili nchi ipate mapato.

Ushauri huu naona ni mzuri maana Hawa wanasiasa wana ukwasi mkubwa kuliko Hawa matajiri walipa Kodi tuwajuao.

Swali: Ushauri huu wa Askofu mmeupokeaje?

Nawasilisha 🙏
KATAA WAHUNI, OKOA TANGANYIKA.
 
Katika watu ambao kazi yao kupokea sadaka tu sio kutoa ni mapadre na maaskofu wa kanisa katoliki akiwemo huyo Dalu

Kazi yao ibada kupokea tu sadaka na kwenda kula huoni hata siku moja chombo cha sadaka wakipelekewa na wao watoe.Wasivyo na haya wao kupokea tu
Hawatoi ni kupokea na kuzila tu

Hizo sadaka ambazo wao huzila bila kulipia kodi wazitumie kuanzisha biashara za kulipa kodi badala ya kuzira tu bila wao kutotoa sadaka

Unaona wametakata tu kwa sadaka lakini wao hawatoi hata mia ya sadaka

Ni wakati sasa pesa wanazopewa mapadri na maaskofu katoliki TRA ianze kuwakata kodi kama wafanyakazi wengine wa serikali na sekta binafsi
 
Katika watu ambao kazi yao kupokea sadaka tu sio kutoa ni mapadre na maaskofu wa kanisa katoliki akiwemo huyo Dalu

Kazi yao ibada kupokea tu sadaka na kwenda kula huoni hata siku chombo cha sadaka wakipelekewa na wao watoe
Hawatoi ni kupokea na kuzira tu

Hizo sadaka ambazo wao huzira bila kulipia kodi wazitumie kuanzisha biashara za kulipa kodi badala ya kuzira tu bila wao kutotoa sadaka

Unaona wametakata tu kwa sadaka lakini wao hawatoi hata mia ya sadaka

Ni wakati sasa pesa wanazopewa mapadri na maaskofu katoliki TRA ianze kuwakata kodi kama wafanyakazi wengine wa serikali na sekta binafsi
Kuzira ndio Nini?

Unawashauri Nini wanasiasa waliogoma kustaafu,

Jikite kwenye mada 🙏
 
Hellow!

Ushauri huu ni mzuri, Hawa wastaafu wa Tra kwa mfano, wakistaafu, wafungue pia biashara zile zile walizokuwa wakiwabana wenzao walipe, nao iwahusu.

Ameshauri wastaafu serikalini ifike mahali wakubali kustaafu, Serikali ina washauri wake, wastaafu kujileta mbele ya viongozi wetu kwa gia ya kutoa ushauri hii hakubaliki.

Amewashauri wakafungue biashara na kulipa Kodi kihalali Ili nchi ipate mapato.

Ushauri huu naona ni mzuri maana Hawa wanasiasa wana ukwasi mkubwa kuliko Hawa matajiri walipa Kodi tuwajuao.

NB: Ujumbe huu haumuhusu Mzee Warioba, Butiku na wastaafu wengine wenye kushauri kwa haki.

Swali: Ushauri huu wa Askofu mmeupokeaje?

Nawasilisha 🙏
Imekaa poa sana , mzee wa Msoga nimkute TRA kesho aisee
 
Katika watu ambao kazi yao kupokea sadaka tu sio kutoa ni mapadre na maaskofu wa kanisa katoliki akiwemo huyo Dalu

Kazi yao ibada kupokea tu sadaka na kwenda kula huoni hata siku chombo cha sadaka wakipelekewa na wao watoe
Hawatoi ni kupokea na kuzira tu

Hizo sadaka ambazo wao huzira bila kulipia kodi wazitumie kuanzisha biashara za kulipa kodi badala ya kuzira tu bila wao kutotoa sadaka

Unaona wametakata tu kwa sadaka lakini wao hawatoi hata mia ya sadaka

Ni wakati sasa pesa wanazopewa mapadri na maaskofu katoliki TRA ianze kuwakata kodi kama wafanyakazi wengine wa serikali na sekta binafsi
Hawa watumishi wanategemezwa na sadaka wanazotoa waamini. Hawafanyi biashara sasa walipe kodi gani? Kumbuka waamini ambao ni waajiriwa au wafanya biashara tayari wameshalipa kodi, kile kinacho baki ndio wanafanya matumizi yao ikiwa ni pomoja na kutoa sadaka, zaka nk.
 
Hellow!

Ushauri huu ni mzuri, Hawa wastaafu wa Tra kwa mfano, wakistaafu, wafungue pia biashara zile zile walizokuwa wakiwabana wenzao walipe, nao iwahusu.

Ameshauri wastaafu serikalini ifike mahali wakubali kustaafu, Serikali ina washauri wake, wastaafu kujileta mbele ya viongozi wetu kwa gia ya kutoa ushauri hii hakubaliki.

Amewashauri wakafungue biashara na kulipa Kodi kihalali Ili nchi ipate mapato.

Ushauri huu naona ni mzuri maana Hawa wanasiasa wana ukwasi mkubwa kuliko Hawa matajiri walipa Kodi tuwajuao.

NB: Ujumbe huu haumuhusu Mzee Warioba, Butiku na wastaafu wengine wenye kushauri kwa haki.

Swali: Ushauri huu wa Askofu mmeupokeaje?

Nawasilisha 🙏
Ya kaisali apewe kaisali
 
Kuna kitu nakiona kinakuja maana ukipata tatizo unatakiwa ujue chanzo kwanza ndio ushughulike na tatizo.
 
Back
Top Bottom