Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,727
Wadau baada ya kwenda na kumaliza anger management classes, najihis niko tayari kumiliki kiguu cha kuku, ukijumlisha na hali ya nchi yetu inakokwenda, tija ya uhitaji inaongezeka.
Sasa apart from hearing from rap songs sina uelewa wa bunduki na wala ni pistol gani nzuri inapatikana hapa TZ.
Nzuri kwa maana, naweza beba kirahisi, haina jams, na risasi hupatikana kirahisi.
Hio hapo juu inaitwa .44 bulldog! Lil waynes pet!
Wenye uelewa naomba ushauri.
Sasa apart from hearing from rap songs sina uelewa wa bunduki na wala ni pistol gani nzuri inapatikana hapa TZ.
Nzuri kwa maana, naweza beba kirahisi, haina jams, na risasi hupatikana kirahisi.
Hio hapo juu inaitwa .44 bulldog! Lil waynes pet!
Wenye uelewa naomba ushauri.