Ushauri: Upinzani ushughulike vipi na Lipumba

Ushauri: Upinzani ushughulike vipi na Lipumba

Since kina zitto waingie bungeni plus wangwe na mdee na slaa waliipaisha sana chadema kwa hoja zao murua ingawa walikuwa wachache sana na 2005 ndio uchaguzi wa mwisho cuf kuwa na nguvu bara hasa baada ya mahita kuuaminisha umma kuwa cuf ni chama cha magaidi, waislam wa siasa kali na hivyo kupelekea umaarufu wao kushuka hasa bara kulikojaa makafiri kwank nadanganya??? Na toka hapo bara nzima ikahamia kwa chadema na ndio maana nkasema 2005-15 hivyo sijui unataka kukataa nni mkuu
chadema imepata umaarufu kupitia richmond,richmond ilkua 2005!?..si kwamba chagadema ilipata uungwaj mkono bure bali chuki kwa mkwere,hadu vikongwe wakaamuriwa kwenda kupiga kura au laa watatengwa..kama mfumo ulivyo media zikafanya kazi
 
Hatuna la maana???? Hivi bila upinzani hayo maufisadu yote ambayo magu anayatumbua mngeyajuaje????
Mkuu kuwapa darasa ambao inatosha kwao "kusoma na kuandika" inahitaji roho ngumu ya ziada! Walishafika ukomo wa kufikiri sasa hapo ndo unawachanganya wao wanadhani ufisadi umeibuliwa na MATUMBILI
 
chadema imepata umaarufu kupitia richmond,richmond ilkua 2005!?..si kwamba chagadema ilipata uungwaj mkono bure bali chuki kwa mkwere,hadu vikongwe wakaamuriwa kwenda kupiga kura au laa watatengwa..kama mfumo ulivyo media zikafanya kazi
Tunaposema ubaguzi ulianzishwa na unaenziwa na CCM na wanachama wake huwa hatueleweki! Kwa CUF walifikia hatua ya kuonesha visu vya kukatia nyanya ati ni vya kupindulia nchi ikinasibishwa na udini! Sijui hicho kisu kinazidi zi-smg na vifaru? akili za makinikia zinazorotesha hii nchi na mustakabali wake.
 
chadema imepata umaarufu kupitia richmond,richmond ilkua 2005!?..si kwamba chagadema ilipata uungwaj mkono bure bali chuki kwa mkwere,hadu vikongwe wakaamuriwa kwenda kupiga kura au laa watatengwa..kama mfumo ulivyo media zikafanya kazi
Tunabishana nini hasa mkuu kila mtu anajua baada ya uchaguzi mkuu wa 2005 cuf ilikufa bara na chadema ikazaliwa hilo liko wazi kabisa

Kuhusu kikwete alikuwa dhaifu sana kwenye utendaji kazi hivyo wapinzani wakaonekana serious kuliko yye maana walikuwa wanakuja na nondo kila siku ambazo hta kikwete alishindwa kuzishughulikia na ndio kiliwapa umaarufu sana chadema akisimama mdee au zitto basi kila mtu anataka kuskiliza maana ilikuwa ni hoja juu ya hoja hayo ya chuki kwa mkwere yametoka wapi??? Mbona magufuli chadema wanampinga sana wakati ni kafiri kama mbowe au lisu??? Au kwako wwe udini ni pale tu akipingwa mtu wa dini tofauti!!!!!

Kwa ufupi acha udini mkuu, hyo ajenda ilishakufa zamani sana na ndio ikifkaga hapo huwa namheshim sama mbowe na dk slaa
 
Mbona alivyowaambia waislamu wampigie kura Kikwete hakuitwa msaliti kwanini sasa ndiyo aitwe msaliti mwenye kutumika na ccm??
 
Acha ushabiki wa kitoto hivi ukiweka track record ya mbowe na huyo lipumba mafanikio ya mbowe ndani ya miaka kumi utalinganisha na mafanikio ya uongozi wa lipumba unaofikia miaka 20 soon?????

Kwa ufupi licha ya madhaifu alionayo ila kiongozi imara zaid katika historia ya upinzani ni mbowe na dr slaa na seif ila hao kina lipumba hana cha maana alichofanya no wonder miaka 15 ya utawala wake walishindwa fikidha hata majimbo 5 bara nzima

Lipumba na zitto wako kazini
 
aliyeijenga chadema ni zitto kwa hoja zake nzito na richmond..na hiyo ilikua 2007,kama umesahau tnachobishania inaonesha kumbukizi zako ni level za ngiri
Hahahahahahahahha nchi hii bhana kwahyo kabla ya zitto umesahau nondo za slaa na chacha wangwe??? We naona umeanza kujua siasa juzi tu...... kwa ufupi kuanzia kampeni za 2005 ndio chadema ilipoanza kusikika kitaifa zaidi sasa tunabishana nni??? Elewa hoja kwamba kabla ya 2005 mass media haikuwa kihivo kma miaka ya ssa hivo cuf haikupata coverage kihivo ila chadema imekuwa kipindi mass media ikiwa imeendelea sana hasa mitandao ya kijamii sasa hoja yako kuwa udini ndio ulisababisha vyombo vya habari visiibebe cuf hauna maana kabisa
 
Hahahahahahahahha nchi hii bhana kwahyo kabla ya zitto umesahau nondo za slaa na chacha wangwe??? We naona umeanza kujua siasa juzi tu...... kwa ufupi kuanzia kampeni za 2005 ndio chadema ilipoanza kusikika kitaifa zaidi sasa tunabishana nni??? Elewa hoja kwamba kabla ya 2005 mass media haikuwa kihivo kma miaka ya ssa hivo cuf haikupata coverage kihivo ila chadema imekuwa kipindi mass media ikiwa imeendelea sana hasa mitandao ya kijamii sasa hoja yako kuwa udini ndio ulisababisha vyombo vya habari visiibebe cuf hauna maana kabisa
Lakini mkuu huwezi kutenganisha cuf na udini tuseme ukweli tu.
 
Lakini mkuu huwezi kutenganisha cuf na udini tuseme ukweli tu.
Hapana zaidi sema kwamba ilianzia zanzibar na kusambaa pwani sababu kuna muingiliano kati ya wazenji na mikoa jirani kma dar mtwara lindi tanga n.k ndio maana na kma mnavyojua 99% ya zenji ni waislam hivyo mkajenga impression hivo.... hapana kma ingekuwa hivo mtatiro asingewahi pata uongozi wa juu zaidi wa chama

Kwa ufupi chama kilianzia huko ila kimetapakaa tanzania nzima hata kwenye mikoa yenye majority christians cuf imefika kma kagera mwanza n.k hivo si kweli kuwa kuna uhusiano kati ya uislam na cuf zaidi kuna uhusiano kati ya zanzibar na cuf hivo tusiliangalie kwa kidini ila at least tuliangalie kwa jihlcho la ngome za CUF kuwa mikoa ya pwani kma ilivo chadema wakati inaanza ilikuwa popular kaskazini
 
Hapana zaidi sema kwamba ilianzia zanzibar na kusambaa pwani sababu kuna muingiliano kati ya wazenji na mikoa jirani kma dar mtwara lindi tanga n.k ndio maana na kma mnavyojua 99% ya zenji ni waislam hivyo mkajenga impression hivo.... hapana kma ingekuwa hivo mtatiro asingewahi pata uongozi wa juu zaidi wa chama

Kwa ufupi chama kilianzia huko ila kimetapakaa tanzania nzima hata kwenye mikoa yenye majority christians cuf imefika kma kagera mwanza n.k hivo si kweli kuwa kuna uhusiano kati ya uislam na cuf zaidi kuna uhusiano kati ya zanzibar na cuf hivo tusiliangalie kwa kidini ila at least tuliangalie kwa jihlcho la ngome za CUF kuwa mikoa ya pwani kma ilivo chadema wakati inaanza ilikuwa popular kaskazini
Mkuu kwa nje unaweza kusema hivyo ila kwanda ndani cuf huwezi kuitenganisha na udini, lile tukio la Lipumba kuwaambia waislamu wampigie kura Kikwete ile ndiyo sura ya cuf ilivyo.

Malalamiko ya siku zote ya waislamu matumaini yao yapo kwa cuf kuwa ndiyo inaweza kuyaondoa.
 
Sababu walisign MoU kati ya vyama washiriki wa UKAWA!!! Hivyo lazma matters zenye kuhudu uhai wa vyama ushughulikiwe pia na vyama washirika

Ndo maana hta wakati wa kampeni lipumba alipowatelekeza CUF mbona hulalamiki chadema walivyowashika mkono hadi cuf wakachanua bara kwa majimbo ya rekodi!!!
Katika hiyo unayoita MoU ndio kunakifungu cha uwezo wa kuingilia na kung'oa uongozi wa chama kingine. Yaani Umoja Wa Katiba ya Wananchi inauwezo na mamlaka ya kuamua nani awe kiongozi wa chama
 
Acha azigawe tu hakuna namna. Tanzania hatuna wapinzani wa maana Bali tuna wapinzani wanaokula matapishi. Mtu aliyepevuka na akiri zake timamu hawezi kupoteza muda hata kuwasikiliza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahahahahha nchi hii bhana kwahyo kabla ya zitto umesahau nondo za slaa na chacha wangwe??? We naona umeanza kujua siasa juzi tu...... kwa ufupi kuanzia kampeni za 2005 ndio chadema ilipoanza kusikika kitaifa zaidi sasa tunabishana nni??? Elewa hoja kwamba kabla ya 2005 mass media haikuwa kihivo kma miaka ya ssa hivo cuf haikupata coverage kihivo ila chadema imekuwa kipindi mass media ikiwa imeendelea sana hasa mitandao ya kijamii sasa hoja yako kuwa udini ndio ulisababisha vyombo vya habari visiibebe cuf hauna maana kabisa
unaposema hapakua na mass media ya kutosha unadanganya,palikua na redio ngapi,magazeti mangapi,tv ngapi!?..ile tv yenu ilikua inaonesha upande ambao hauna watu wengi kwenye mikutano ya cuf,lakini alasiri na dar leo kil siku walikua na habari ya chadema,nadhani umemuona mdini hapo anakwambia ngumu kutofautisha cuf na udini,hata wenye media ndo ulikua msimamo wao na pengine ulitoka madhabahuni,slaa na wangwe wamesikika baada ya chadema kurushwa sana,kubali tu pale chadema hapakua na mtu kama zito
 
ila unaweza kutenganisha chadema na kanisa..au udini ni akina ibra na sharif tu!!?
Mie siongei kisiasa mkuu naeleza kile kilichopo maana wengine hizi siasa tumewaachia wenyewe sie tunaangalia tu.
 
CUF hawana udini na huo ndiyo ukweli. Asilimia zaidi ya 95 ya Wazanzibar ni waislamu na huko ndiko CUF ilikoanzia. CUF Tanganyika ililetwa na kuimarishwa na Wapemba wa Buguruni na Tanga.
 
Back
Top Bottom