Ushauri: Upinzani ushughulike vipi na Lipumba

Ushauri: Upinzani ushughulike vipi na Lipumba

Katika hiyo unayoita MoU ndio kunakifungu cha uwezo wa kuingilia na kung'oa uongozi wa chama kingine. Yaani Umoja Wa Katiba ya Wananchi inauwezo na mamlaka ya kuamua nani awe kiongozi wa chama
Maalim alibaki loyal kwa cuf na chama kizima kuanzia baraza kuu mpaka kamati ya uongozi vilibaki ukawa hivyo kitendo cha lipumba kurudi kwa vurugu na seif kuwaeleza wanaukawa wenzake WAMPE MSAADA maana pia walipambana pamoja dhidi ya ccm kipindi chote cha uchaguzi wakati lipumba akinywa juisi kigali je ulitaka chadema wamtose maalim??? Ulitaka chadema wapingane na maamuzi ya baraza kuu la cuf kutomtambua lipumba??? Hivi lawama inarudi vp kwa chadema wakati lipumba alivuruga kikao cuf ikamtimua je kuna uhusiano gani na chadema kutaka kuiua cuf???? Mbona mambo ya ajabu sana haya
 
unaposema hapakua na mass media ya kutosha unadanganya,palikua na redio ngapi,magazeti mangapi,tv ngapi!?..ile tv yenu ilikua inaonesha upande ambao hauna watu wengi kwenye mikutano ya cuf,lakini alasiri na dar leo kil siku walikua na habari ya chadema,nadhani umemuona mdini hapo anakwambia ngumu kutofautisha cuf na udini,hata wenye media ndo ulikua msimamo wao na pengine ulitoka madhabahuni,slaa na wangwe wamesikika baada ya chadema kurushwa sana,kubali tu pale chadema hapakua na mtu kama zito
Embu acha udini mkuu yaani waandishi wa habari walisusia cuf kisa udini??? Ndio maana nkauliza kma ni udini mbona lipumba anapewa coverage sana wakati huu au hta maalim seif??? Hivi ina maana magazeti na tv zote ni za makafiri??? Embu acha ujinga bhana yaani kwa cuf udini ila kipindi wanampaisha zitto kabwe enzi hizo anaanza siasa za bungeni haukuona kuna udini ila udini ni pale tu unapokuwa muislam wa cuf kma ni udini mbona kikwete alipambwa sana na media wakati alikuwa muislam????

Acha udini mkuu ukweli ni kwamba cuf ilichafuliwa na ccm kwa kusingiziwa udini na ugaidi na pia hakukuwa na mitandao ya kijamii au magazeti na online tv kibao kma ssa hvi ambazo zingewapa coverage kubwa zaidi na ndio maana nikasema chadema nayo bila mass media isingewika sana maana hoja zao na mikutano ilikuwa inafanayika kipindi ambacho hta wakiwa kigoma basi dar tutaona au wakiwa mwanza wa huku ujiji tutaona ssa nashangaa iweje uingize udini hapo????
 
Maalim alibaki loyal kwa cuf na chama kizima kuanzia baraza kuu mpaka kamati ya uongozi vilibaki ukawa hivyo kitendo cha lipumba kurudi kwa vurugu na seif kuwaeleza wanaukawa wenzake WAMPE MSAADA maana pia walipambana pamoja dhidi ya ccm kipindi chote cha uchaguzi wakati lipumba akinywa juisi kigali je ulitaka chadema wamtose maalim??? Ulitaka chadema wapingane na maamuzi ya baraza kuu la cuf kutomtambua lipumba??? Hivi lawama inarudi vp kwa chadema wakati lipumba alivuruga kikao cuf ikamtimua je kuna uhusiano gani na chadema kutaka kuiua cuf???? Mbona mambo ya ajabu sana haya
Hayo yote yalifanyika kwa muongozo wa Katiba gani? Yaani huo u- royal na mabadiliko mengineyo ambayo hayamo ktk Katiba zao yalipata baraka kwa vikao gani vya vyama kutengua taratibu za kikatiba kuwezesha hayo kufanyika? Hapo ndio walipojikwaa wang'oe visiki wasijikwae kesho waiangalie walipodondokea.
 
Hayo yote yalifanyika kwa muongozo wa Katiba gani? Yaani huo u- royal na mabadiliko mengineyo ambayo hayamo ktk Katiba zao yalipata baraka kwa vikao gani vya vyama kutengua taratibu za kikatiba kuwezesha hayo kufanyika? Hapo ndio walipojikwaa wang'oe visiki wasijikwae kesho waiangalie walipodondokea.
Mkuu lipumba na maalim wote walikuwa CUF na UKAWA ghafla lipumba akaacha cuf na vuguvugu ya UKAWA hivyo ikabaki

CUF UKAWA = LIPUMBA NO UKAWA
MAALIM kiongozi = Lipumba sio kiongozi

Hivyo maalim akabaki cuf na cuf ikabaki ukawa isipokuwa LIPUMBA

Maalim akshirikiana na cuf kweye uchaguzi huku lipumba kajitenga

Cuf ikashirikiana na ukawa huku lipumba kajitenga

Uchaguzi ukaisha maalim na cuf na ukawa wakashangilia na kulia kwa pamoja huku lipumba hayupo

Kwenye kudai haki ya maalim zenji chadema walitimuliwa bungeni kisa kushirikiana na cuf kumzomea mhaini dk shein huku lipumna akiwa pembeni hakusaidia lolote na wakati wote chadema wakimsuppoort seif haikuonekana wanaingilia mambo ya cuf

Kweye uchaguzi wa marudio lisu alipinga uhuni huo hadi kupelekea kulala selo na gazeti la mawio kufungiwa huku lipumba akiwa kimya ila hakuna aliyeona chadema imeingilia uhuru wa cuf

Ghafla lipumba anarudi kinyume na utaratibu hadi chama kinagawanyika seif kma kawaida anawashirikisha wanaukawa wenzake kma alivyowashirikisha kususia uchaguzi wa marudio, kudai haki yake n.k cha kushangaza walipomsaidia mwenzao kma huko nyuma eti ndio WAMEINGILIA MAMBO YA NDANI YA CUF NA WANATAKA KUIUA

Hapa ndipo sielewi kabisa...... nyie mnaomtetea lipumba na kuwalaumu chadema mje hapa mtusaidie kivp huko nyuma tulimpomsupport seif hamkuona tunataka kuiua cuf ila kipindi anatuomba tushirikiane naye kuepuka uvamizi wa lipumba basi chadema ndio inakuwa mchawi wa cuf hivi huu undumilakuwili unawasaidia nni
 
Unarudia hekaya zilezile, hazifuti ukweli yote hayo yalifanyika bila taratibu za kikatiba kufuatwa ndiyo maana Maalimu Leo anakwama sababu huo UKAWA hauna mashiko kisheria ulikuwa uhuni wa kutafuta kuingia Ikulu. Unayoyaona ni madhara ya UKAWA usio meno
 
Unarudia hekaya zilezile, hazifuti ukweli yote hayo yalifanyika bila taratibu za kikatiba kufuatwa ndiyo maana Maalimu Leo anakwama sababu huo UKAWA hauna mashiko kisheria ulikuwa uhuni wa kutafuta kuingia Ikulu. Unayoyaona ni madhara ya UKAWA usio meno
Maalimu hajakwama kwa sababu ya Katiba ya CUF bali amezuiwa na CCM ambao wanatumia mfumo kuhalalisha uhalifu wa Lipumba. Kwa mfano leo kukiitishwa mkutano Mkuu na Maalim seif bila Lipumba utaona mabomu yanavyorushwa.

zitto junior ana hoja jibu hoja zake acha kuziita ni Hekaya.
 
Embu acha udini mkuu yaani waandishi wa habari walisusia cuf kisa udini??? Ndio maana nkauliza kma ni udini mbona lipumba anapewa coverage sana wakati huu au hta maalim seif??? Hivi ina maana magazeti na tv zote ni za makafiri??? Embu acha ujinga bhana yaani kwa cuf udini ila kipindi wanampaisha zitto kabwe enzi hizo anaanza siasa za bungeni haukuona kuna udini ila udini ni pale tu unapokuwa muislam wa cuf kma ni udini mbona kikwete alipambwa sana na media wakati alikuwa muislam????

Acha udini mkuu ukweli ni kwamba cuf ilichafuliwa na ccm kwa kusingiziwa udini na ugaidi na pia hakukuwa na mitandao ya kijamii au magazeti na online tv kibao kma ssa hvi ambazo zingewapa coverage kubwa zaidi na ndio maana nikasema chadema nayo bila mass media isingewika sana maana hoja zao na mikutano ilikuwa inafanayika kipindi ambacho hta wakiwa kigoma basi dar tutaona au wakiwa mwanza wa huku ujiji tutaona ssa nashangaa iweje uingize udini hapo????
kwa sasa wanatumika..kwa manufaa ya wanaowatumia..mfumo ulifanya kazi
 
Maalimu hajakwama kwa sababu ya Katiba ya CUF bali amezuiwa na CCM ambao wanatumia mfumo kuhalalisha uhalifu wa Lipumba. Kwa mfano leo kukiitishwa mkutano Mkuu na Maalim seif bila Lipumba utaona mabomu yanavyorushwa.

zitto junior ana hoja jibu hoja yake acha kuziita ni Hekaya.
Juzi ameitisha Baraza Kuu la Uongozi na Kamati Kuu sijasikia hilo Bomu na matamko yao yame expire sababu limetoka tamko la watu waliokats tamaa ati "Inshallah tunamuachia Mungu"

Chadema muinusuru CUF kwa kumshauri Lowassa, kama alivyofanya kumpoteza Maalim na Babu Duni arudi kuwakalisha Maalim na Lipumba waelewane. Ninyi wapiga debe mnashabikia ugomvi msiouelewa. Chanzo Lowassa, "penye udhia alipenyeza Rupia" tena upande mmoja wa Maalimu na Duni.
 
Juzi ameitisha Baraza Kuu la Uongozi na Kamati Kuu sijasikia hilo Bomu na matamko yao yame expire sababu limetoka tamko la watu waliokats tamaa ati "Inshallah tunamuachia Mungu"

Chadema muinusuru CUF kwa kumshauri Lowassa, kama alivyofanya kumpoteza Maalim na Babu Duni arudi kuwakalisha Maalim na Lipumba waelewane. Ninyi wapiga debe mnashabikia ugomvi msiouelewa. Chanzo Lowassa, "penye udhia alipenyeza Rupia" tena upande mmoja wa Maalimu na Duni.
CUF hakuna udhia kwa ivo hakuna haja ya kupenyeza rupia. Mcha Mungu yeyote yule lazima aamini kwamba Mungu atafanya kilicho sawa kuliko wanadamu. Maalimu na wenzake ni wacha Mungu wanaoshindana na watu wasio na hofu na Mungu.
 
CUF hakuna udhia kwa ivo hakuna haja ya kupenyeza rupia. Mcha Mungu yeyote yule lazima aamini kwamba Mungu atafanya kilicho sawa kuliko wanadamu. Maalimu na wenzake ni wacha Mungu wanaoshindana na watu wasio na hofu na Mungu.
Hao unaowaita wacha Mungu ndio hao hao wanaowadanganya wanachama wao "Baada ya siku tatu nakabidhiwa nchi" wanachama waugulia siku inakuwa miezi, wakiulizwa "bado kidooogo mambo yanakuwa!!!!" Waliohadaa wakaenda Chadema sababu ya uchaguzi na kurejea CUF wakiulizwa "Kule kila mtu anasharubu" nimeamua kurudi, lakini leo "wenye sharubu" wanaisemea na kuipigania CUF Maalim anashangilia kama hakuwa yeye na kashfa zile.
 
Hao unaowaita wacha Mungu ndio hao hao wanaowadanganya wanachama wao "Baada ya siku tatu nakabidhiwa nchi" wanachama waugulia siku inakuwa miezi, wakiulizwa "bado kidooogo mambo yanakuwa!!!!" Waliohadaa wakaenda Chadema sababu ya uchaguzi na kurejea CUF wakiulizwa "Kule kila mtu anasharubu" nimeamua kurudi, lakini leo "wenye sharubu" wanaisemea na kuipigania CUF Maalim anashangilia kama hakuwa yeye na kashfa zile.
Wanasiasa hubadilika kutokana na wakati. Huoni CCM walisema kwamba fedha za Tegeta Escrow si za Umma lakini leo wanasema ni za Umma!
 
Kihistoria Lipumba hakuwahi kuwa mwanasiasa bali alikuwa anatumiwa na chama cha siasa kufanikisha malengo yake ya kisiasa. Lakini kwa bahati mbaya sana chama kilichokuwa kinamtumia kwa mambo ya siasa kilidharau kumshughulikia kisiasa pale alipoonekana mwaka 2015 anataka kutumiwa kisiasa na CCM.

Leo Lipumba ni kikwazo kikubwa sana ndani ya CUF si kwa sababu ana nguvu za kisiasa (hajawahi kuwa nazo) bali ni kutokana na mwendelezo wake wa kutumika kisiasa dhidi ya CUF.Kwenye uchaguzi wa 2010 Lipumba alitumika kisiasa dhidi ya CHADEMA na kwa maneno yake mwenyewe ilikuwa ni "kuokoa jahazi lisizame". Leo ni zamu ya Lipumba kutumiwa na CCM dhidi ya CHADEMA.

Lakini la kujiuliza ni kwa nini siku zote hizo CUF walivumilia Lipumba kutumiwa kisiasa na CCM dhidi ya vyama vingine pinzani kwa CCM? Tangu Uchaguzi wa mwaka 1995 Lipumba alikuwa anapambana kugawa kura za wapinzani dhidi ya CCM. Inavoonekana Lipumba ana "kazi maalum" ya kuhahakikisha kwamba kura za wapinzani wa CCM haziunganiki kwa hali ama njia yoyote ile.

Ushauri wangu kwa vyama vya Upinzani hasa chama cha CUF na CHADEMA ambavyo ndiyo vinalengwa na CCM, kwa sasa vibadili mbinu za kupambana na Lipumba. Watendaji wa Serikali wanaomuunga mkono Lipumba hawafanyi hivyo kwa kuwa wanaamini kwamba Lipumba yuko sahihi, bali wanafanya hivo kwa kuwa hawana kingine cha kufanya kubakia kwenye ajira zao.

Kwanza kuwe na Mkakati wa pamoja tena yakinifu wa kupambana na wanaomtumia Lipumba na wanaosaidia CCM kumtumia Lipumba. Lipumba anapowafukuza wabunge anaamini kwamba CUF haitashinda uchaguzi ukirudiwa na CCM ndilo walitakalo. Lazima UKAWA wawe wamoja bila ya hivyo watapigwa!
Elewa hakina CUF tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasiasa hubadilika kutokana na wakati. Huoni CCM walisema kwamba fedha za Tegeta Escrow si za Umma lakini leo wanasema ni za Umma!
Naam sasa unaongea, Wanasiasa na ucha Mungu ni lila na fila wnachoangalia ni maslahi yao. Ndio maana hatuna viongozi tuna masultani wasiotaka kupisha wengine ati 'chama bado kichanga' miaka 22 sasa. Angalau wafuate Katiba zao.
 
Wanasiasa hubadilika kutokana na wakati. Huoni CCM walisema kwamba fedha za Tegeta Escrow si za Umma lakini leo wanasema ni za Umma!
Sasa kama hivyo ndivyo walivyo wanasiasa utasema kuna wenye hofu na mungu?
 
Sasa kama hivyo ndivyo walivyo wanasiasa utasema kuna wenye hofu na mungu?
Hofu ya Mungu haikuzuii kubadilika kutokana na wakati. Jee kama unamwambia mtu kwamba kwa siku hiyo hutatoka nje ya Nyumba, nyumba hiyo ikiwaka moto utaendelea kubaki ndani kisa ulisema kuwa hautatoka nje kwa siku hiyo?
 
Na wewe uliokunywa maji ya Chadema tukuseje? Au ulikuwa unasubiri akina mjumbe ndiyo tuu? Boriti yako kwenye jicho itaozea humohumo.
Sijaelewa kabisa ulichoandika hapa. Au ndiyo ulikuwa unapokea vocha yako ya Bando hapo Lumumba huku unaandika?
 
Back
Top Bottom