Ushauri: Upinzani ushughulike vipi na Lipumba

Ushauri: Upinzani ushughulike vipi na Lipumba

Sababu walisign MoU kati ya vyama washiriki wa UKAWA!!! Hivyo lazma matters zenye kuhudu uhai wa vyama ushughulikiwe pia na vyama washirika

Ndo maana hta wakati wa kampeni lipumba alipowatelekeza CUF mbona hulalamiki chadema walivyowashika mkono hadi cuf wakachanua bara kwa majimbo ya rekodi!!!
Dawa mahusi ya future ya UKAWA ni Maarim Sef kuhamia CHADEMA pamoja na wafuasi wake wote. Lengo la CUF Lipumba ni kumfukuza ktk muda mwafaka.
 
Kabla hata ya huu mgogoro cdm kilikuwa na nguvu kuliko Cuf hasa toka uchaguzi wa 2010.
Nguvu za kiume au za kisiasa?kama za kisiasa cuf walikuwa wapo serikalini huko zanzibari 2010-2015,chadema walikuwa wana nguvu gani hapo
 
Mkuu sisi tunazungumzia vyama vya siasa vya kiraia na sio kikundi cha kijeshi. Umewahi kuona ccm inajenga hoja za kisiasa zaidi ya kutumia jeshi kujibu hoja? Ccm ni chama cha kijeshi na sio chama cha siasa.
Off point mkuu tindo
 
Nguvu za kiume au za kisiasa?kama za kisiasa cuf walikuwa wapo serikalini huko zanzibari 2010-2015,chadema walikuwa wana nguvu gani hapo

Mkuu kuzungumzia serekali ya Znz hapa ni kama kuleta kichekesho tu. Znz yote ina wapiga kura wasiofikia laki 5, wakati jimbo la ubungo tu lina wapiga kura zaidi ya laki 5. Kwa kura walizokuwa nazo cdm kama wangeenda huko Znz basi wangetoa rais kabisa. Halafu kwa taarifa yako Znz ni jimbo tu lililovishwa kilemba cha ukoka cha kuitwa nchi. Maamuzi yote ya msingi yanafanywa na Tanganyika.
 
Hahahahahaha hv ukisema mwanasiasa jabari aliyebaki wa upinzani Tanganyika Lipumba ni number moja rudi maktaba kapekue ni mwanasiasa gani aliyeanzisha vuguvugu la kisiasa ambalo Dr Slaa alikuja kucopy na chadema kutake over 2010 - 2015 chini ya katibu mkuu Dr Slaa cjuh kama nafasi ya Dr slaa chadema walishaijaza? au bado ipo wazi

Hakuna mwanasiasa Tanganyika aliyefikia record ya Lipumba kuanzia kisiasa na kiharakati za kisiasa
Harakati gani za lipumba za maana ambazo kafanya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ushabiki wa kitoto hivi ukiweka track record ya mbowe na huyo lipumba mafanikio ya mbowe ndani ya miaka kumi utalinganisha na mafanikio ya uongozi wa lipumba unaofikia miaka 20 soon?????

Kwa ufupi licha ya madhaifu alionayo ila kiongozi imara zaid katika historia ya upinzani ni mbowe na dr slaa na seif ila hao kina lipumba hana cha maana alichofanya no wonder miaka 15 ya utawala wake walishindwa fikidha hata majimbo 5 bara nzima
mbowr yupo kwenye 'chama chetu mbadala'..ambacho wakati cuf ipo juu tulijitahid kukibeba hata kwa media ili cuf cha waswahili kipotee..hivyo tukajitahid sana kuipora majimbo cuf kuwavunja nguvu wafuasi
 
Hahahahahaha hv ukisema mwanasiasa jabari aliyebaki wa upinzani Tanganyika Lipumba ni number moja rudi maktaba kapekue ni mwanasiasa gani aliyeanzisha vuguvugu la kisiasa ambalo Dr Slaa alikuja kucopy na chadema kutake over 2010 - 2015 chini ya katibu mkuu Dr Slaa cjuh kama nafasi ya Dr slaa chadema walishaijaza? au bado ipo wazi

Hakuna mwanasiasa Tanganyika aliyefikia record ya Lipumba kuanzia kisiasa na kiharakati za kisiasa



Sababu walisign MoU kati ya vyama washiriki wa UKAWA!!! Hivyo lazma matters zenye kuhudu uhai wa vyama ushughulikiwe pia na vyama washirika

Ndo maana hta wakati wa kampeni lipumba alipowatelekeza CUF mbona hulalamiki chadema walivyowashika mkono hadi cuf wakachanua bara kwa majimbo ya rekodi!!!

Acha ushabiki wa kitoto hivi ukiweka track record ya mbowe na huyo lipumba mafanikio ya mbowe ndani ya miaka kumi utalinganisha na mafanikio ya uongozi wa lipumba unaofikia miaka 20 soon?????

Kwa ufupi licha ya madhaifu alionayo ila kiongozi imara zaid katika historia ya upinzani ni mbowe na dr slaa na seif ila hao kina lipumba hana cha maana alichofanya no wonder miaka 15 ya utawala wake walishindwa fikidha hata majimbo 5 bara nzima


Lipumba hakuwahi kujenga chama chake nyumbani kwake anakotokea.

Hana hata kiti kimoja cha Ubunge nyumbani kwao Tabora.
Kama nyumbani kwao peke yake hawamkubali iweje watu wa maeneo mengine wamkubali,?

Lipumba angekua na busara angesubiri uchaguzi ndani chama chake ukifika achukue Form za kugombea uenyekiti kwa kuwa alikua ameshajiuzulu na kubakia kama mwanachama wa kawaida.
 
Huwezi kuelewa kwani tayari umeufunga mlango wako wa fahamu kwa ushabiki wa Ki-CCM.
Unapiga zumari la Chadema dhidi ya Cuf halafu unashangaa kwanini watu hawachezi. Cdm haijawahi kuwa na mapenzi na Cuf. Ukawa haipo na ilikuwa magumashi tu , ambaye aaamini yuko usingizini na hataamka labda mpaka parapanda la ufufuo wa bwana.
Ewe Kilewella mwenye akili nyingi tuambie hapa kwenye kadamnasi, Kwanini Julius Mtatiro leo sio Mbunge??!
 
Hatuna la maana???? Hivi bila upinzani hayo maufisadu yote ambayo magu anayatumbua mngeyajuaje????


Muulize tu akutajie ni mwana CCM yupi mabali na Kigwangala, Bashe, Deo Filikunjombe na Serukamba ambaye amewahi kutaja ufisadi na wizi wa mikataba mibovu.

Na matokeo take walikuwa wanaitwa wasaliti na mara nyingi walikua wakikemewa vikali.

Wengine wote ndani ya CCM ni ama walishiriki au kunyamazia au kuunga mkuno sera na mikataba mibovu ya kifisadi.

Hua nawashangaa sana hata viongozi waandamizi wa serikali ya CCM kwani nawaona wawili tu waliowahi kuwa na misimamo mikali dhidi ya waliokua wanakiuka sheria.
Ni Rais wa sasa na Dr. Kigwangala pekee.

Wengine wote ni bendera fuata upepo. Ukija upepo wa kifisadi wapo wanaufuata kwa vigelelegele na ukija tofauti wanabadili njia yao na kugeuka.


Kuhusu Lipumba na Dr.Slaa ni kwamba Kama sio Ujanja wa mbowe na Maalim Seif. Dr. Slaa na Lipumba kamwe wasingeweza kuachiana nafasi ya urais. Mana Lipumba siku zote yeye anajiona bora na msomi Profesa asiyeweza kuongozwa na mtuwenye elimu chini ya ile ya kwake.
Kama Lipumba angebaki UKAWA usingeweza kuingia kwenye uchaguzi ukiwa na umoja ule waliokuwa nao pamoja na changamoto zilizijitokeza kama zile za Chadema kushindwa kwachia Mtatiro jimbo la Segerea na hatimaye wakakosa wote. Ule ulikua ni udhaifu mkubwa upande wa Chadema.
 
Acha ushabiki wa kitoto hivi ukiweka track record ya mbowe na huyo lipumba mafanikio ya mbowe ndani ya miaka kumi utalinganisha na mafanikio ya uongozi wa lipumba unaofikia miaka 20 soon?????
Ndugu siwez kukubishia coz ur junior nataka kukwambia mission ya chama chochote cha siasa ni kuongoza serikali for ur info Cuf tayali wameshatumia magari ya STK na ving'ora Zanzbar hayo ni mafanikio makubwa sana ya kisiasa kumbuka mafanikio hayo na Lipumba ameshiriki pia unatakiwa kujua kuna watu walikufa na wengine kukimbia nchi ktk harakat za kisiasa hasa CUF lipumba ni mwanasiasa aliyepata misukosuko ya serikali kuliko wanasiasa wote Tanganyika leo ingekuwa miaka ile ya 2000-2005 unadhani Lissu angeleta ujinga kwa Mkapa? acheni kuongea tu enz ya upinzani wa Cuf ulikuwj ni hatari sana kuliko leo chadema
Nimecheka sana uliposema Mbowe mpinzani duniani hakuna mpinzani mfanyabiashara na Africa hakuna mpinzani ambae ajaonja mahabusu au vipigo vya police
 
Nimecheka sana uliposema Mbowe mpinzani duniani hakuna mpinzani mfanyabiashara na Africa hakuna mpinzani ambae ajaonja mahabusu au vipigo vya police
Wakati mwingine mnapoandika mambo muwe mnaona aibu kidogo. Sasa kama ni kweli kwamba Afrika mtu hawezi kuwa mpinzani bila ya kupata vipigo toka kwa polisi unamaanisha nini. Unataka kusema kwamba Polisi wa Afrika wanawachukia viongozi wa vyama vya upinzani?

Ni kweli kuwa "duniani" hakuna mpinzani mfanyabiashara. Trump kabla ya kuwa Rais wa Marekani si alikuwa ni mpinzani tena mfanyabiashara? Au unazungumzia dunia ya CCM?
 
CUF, CDM na NCCR-MAGEUZI wakubali kuachana na egoism, ukubwa n.k. waunganishe vyama vyao ili kuing'oa ccm bila hivyo vyama vyao havitakuwa salama. Ccm na vyama tawala Africa mara nyingi unufaika na migogoro ndani ya vyama vya upinzani na utumia nafasi hiyo kuchomeka mamluki.
Lipumba alitumika sana uchaguzi wa 2010 kuinyima CDM kura kwa kete yake ya udini na aliyoyafanya kwenye uchaguzi wa 2015 wote tumeyashuhudia.
Mtu mwingine wa kuchunga kwenye siasa za upinzani nchini ni Zitto Kabwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabembe hiyo "Egoism" ndiyo sumu ambayo huitumia CCM dhidi ya Upinzani. Walisema Marando hafanani na Mrema, NCCR ikasambaratika. Zitto aliambiwa yeye ana akili sana kuliko wote CHADEMA akaleta vurugu akaondoka.

CCM wana utaalam wa kuwajaza ujinga watu wanaodhani wao wana "akili sana" na mwisho wa siku hugeuka kwa wanachama wenzao na kuwaambia "huyu jamaa anawadharau sana" na hapo ndipo migogoro huanza. Ile kauli mbiu " hakuna mtakachopoteza zaidi ya minyororo yenu" inawafaa sana UKAWA wakati huu.
 
Ni wakati sasa wakung'amua kila jambo kutoka huyu binadamu..!

Amekwisha hajijui tu, pole yake
 
Wakati mwingine mnapoandika mambo muwe mnaona aibu kidogo. Unataka kusemakwamba Polisi wa Afrika wanawachukia viongozi wa vyama vya upinzani?

Ni kweli kuwa "duniani" hakuna mpinzani mfanyabiashara. Trump kabla ya kuwa Rais wa Marekani si alikuwa ni mpinzani tena mfanyabiashara? Au unazungumzia dunia ya CCM?
Ndugu katika zone 4 za dunia kila zone kuna aina ya siasa zake kuanzia Asia,Wazungu, Waarabu na Waafrca so kila jamii inatafasri democrasia kwa maana yao wazungu hawana neno mpinzani waarabu wapinzani wanaita vyama vya kigaidi Asia hakuna wapinzani kabsa
Wazungu hakuna neno wapinzani coz vyama vyote vimewai kutawala so wanachogombea ni nani kuongoza serikali si kutawala kama ilivyo kwa Africa na ndio maana leo trump ambae hajawai kuwa hata mjumbe wa numba 10 leo ni rais je kwa democrasia ya Africa lingewezekana? mkuu usijifanye ujui democrasia ya Waafrica ikoje kuanzia level ya familia vyakula vzr anakula baba wazung vzr wanakula watoto
 
Back
Top Bottom