Ushauri unatakiwa huku

Ushauri unatakiwa huku

happiness win

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
2,461
Reaction score
1,394
Nimeikuta hii kwenye pm yangu. Huyu anaomba ushauri.

Niliolewa 2005 na kubahatika kupata watoto 2. Ndoa yangu ilikuwa tamu sana, tatizo mume wangu alipata ajali kazini, yeye fundi kwa kuchomelea kiwandani akaumia vibaya katika uume wake na sasa haufanyi kazi kabisa. Nimemuuguza na amepona na tunaendelea na maisha. Tatizo wivu, sina raha mwenzio inafikia hadi ananikagua akihisi nimetoka kufanywa. Hata kanisani haniruhusu kwenda nilikuwa nafanya biashara zangu Kariakoo sokoni amenizuia kwa sasa niko tu nyumbani ila biashara zinaendelea yeye anazisimamia vizuri tu. Sina raha mwenzako wivu umezidi nami ni binadamu najisikia kuwa na mtu je naweza dai talaka? najiuliza nitaanzia wapi? nisaidie ushauri tafadhali nashindwa kuwashirikisha ndugu katika hili wasije ona namnyanyapaa na kumtangazia kuwa hafanyi. au tuseme ungekuwa wewe ungefanyaje?
 
pole hakika huo ni mtihani kwako hivyo yapasa uwe mwangalifu na mtihani huu. waone wazee wa kanisa kama wewe ni mkristo ili wakupe ushauri dini inasema nini kwenye mtihani kama huu, vilevile kama ni muslim waone mashekhe pia wakupe muongozo. ukishapata muongozo, nadhani utakuwa kwenye nafasi nzuri ya kufanya maamuzi. unapowaona wazee nenda kwanza pekeyako hii itasaidia kuondoa jazba kwa mumeo kama mtamwambia mwende wote, ila ukipata majibu sasa waweza mgusia hili suala. hakika huu ni mtihani.
 
Mmmmmmmmmh! Hapo ni KUMUOMBA MUNGU TU!!!!!!!!!!!!!! Unadnani! Ukimuacha wewe mbaya hufai hata kwambolea! Kuendelea kukaa na kuwa abused nako utratra!

Ni kipindi cha mpito tu kitapita!
 
napita tu....will never come back.
 
hujafa hujaumbika!!naona nyumba imeuzwa hapo......mwambie amfanye kwa ORAL SEX na VIDOLE vinahusika tu kwa sana hadi AFIKE ORGASM
 
Mmmmmmmmmh! Hapo ni KUMUOMBA MUNGU TU!!!!!!!!!!!!!! Unadnani! Ukimuacha wewe mbaya hufai hata kwambolea! Kuendelea kukaa na kuwa abused nako utratra!

Ni kipindi cha mpito tu kitapita!

kitapitaje wakati mwenzake ndio hivyo tena naye yupo kwenye joto?
 
nalo hili jaribu.........kudai talaka ngumu ukifikiria ingekuwa wewe naye akutaliki ungefanyaje......kibinadamu ni ngumu kuamua utafanyaje labda likufike .......kwa hali hiyo anaweza kuchepuka lakini asichonge mzinga lol
 
ndoa ni katika shida na raha! usimsaliti mumeo! sasa hivi nimegundua wanaume wengi wenye ya kufunction huwa wana wivu sana. Pole, muombe Mungu akusahaulishe sex! Mungu anaweza yote!
 
Ingekuwa ni ndoa ya Kiislaam ungetowa wewe talaka.

Hii ya kidunia sijui, wataalaam watakuja kukusaidia.

Napenda kukupa nasaha, vyovyote itakavyokuwa, usitembee nje ya ndoa na utakapopewa talaka usitembee nje ya ndoa, hakikisha unaolewa tena.

Pia fikiri, kwa kuwa mmeshazaa na mumeo, mnaweza kutumia njia nyingi mbadala za kufanya "sex", si lazima hilo dudu lilisimame.
 
ndoa ni katika shida na raha! usimsaliti mumeo! sasa hivi nimegundua wanaume wengi wenye ya kufunction huwa wana wivu sana. Pole, muombe Mungu akusahaulishe sex! Mungu anaweza yote!
Kumsaliti kivipi sasa wakati mumewe hafanyi kazi tena?
Jifanye umeamua kuwa catholic nun tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom