reverse the statement .....logic will be the same
ndoa ni katika shida na raha! usimsaliti mumeo! sasa hivi nimegundua wanaume wengi wenye ya kufunction huwa wana wivu sana. Pole, muombe Mungu akusahaulishe sex! Mungu anaweza yote!
bora utoboke jicho kuliko hichii kiungo doh salalaaaaaaaaaaaaaaa
hujui ungekuwa huna jicho dushelelee inafanya kazi unazani mwanamke wako angekukimbia.Mhhh jamani yaani thamani ya dushe imezidi ya jicho????