Ushauri unahitajika

Mbona nikikusoma vizuri sioni case yeyote?....Hebu JISIMAMIE mwenyewe..ruhusu AKILI yako imchague umtakaye na HUsiishi kwa kuwafurahisha wengine..BTW kwa huyu mtoto nikikusoma mbona inaonekana kama mmeshaenda extra miles?? (like kugegedana!)..All in all akili za kuambiwa changanya na za kwako!!..Uchaguzi mwema!!!
 
ukijitambua utafanya maamzi mazuri sana. ninachoelewa mahusiano ni ya wewe na yule unayetaka awe wako kimapenzi au hata kimaisha jaribu kufikiria sana usitumike kama asali au chambo lakini mwisho wake wanakuja kukuacha solemba
 
Habari zenu ndugu wapendwa wana MMU wote,

Kwa heshima na taadhima naomba kuwashirikisha mambo yangu wawili yanayohusiana na mahusiano kwa ushauri zaidi na majadiliano,
Case no 1..
Kuna kijana anadai ananipenda lakn nimemkatalia kwa sababu haiwezekani kuwa nae (we are not compatible at all at all)..Age much older than him na mambo mengine.Lakini reaction yake ni kuwa yeye kama akifa saa yoyote basi mimi ndio chanzo na kama wakipeleleza watajua mimi ndio chanzo..Nilikuwa nachukulia utani lakn sasa naona huu wimbo wa kufa unazidi..sijaelewa kama anatania tu au yupo serious lakn ninavyomuona akili zake dakika mbili mbele...Asije akafanya kweli afu nikawa sababu... Nishaurini ni handle vipi hii issue.

Case no 2.
Kuna babu mtu mzima above 60 ananing'ang'ania niwe kwenye familia yake kama mke/mkwe.. Ilianza wakati naanza kazi na nikamkuta hapo ofisini.Alikuwa anaonyesha dalili za ku care lakn sikumpa nafasi ya kuropoka... Baadae sijui alikata tamaa au vipi akaoa yani akafunga ndoa na mke aliyekuwa anaishi nae.Baada ya hilo akaja baba mwingine wa hapo ofisini na kunieleza jinsi huyo babu alivyokuwa anajigamba kuwa ni lazima anioe na alinifanyia hata dawa(kwa mganga) iliyoshindikana anyway.Nilimuita na kumuuliza habari hizo mbele ya mleta habari na hakukana/alikubali..Juzi kati kaibuka tena akidai kuwa ni mpango wa Mungu niwe naye...Ndipo nilimuuliza kama ana mpango mke wake afe ndio anioe(ndoa ni mpaka kifo kitenganishe).Alishtuka kwa maneno hayo na akageuza kibao na kusema kuwa kama yeye imeshindikana basi ni LAZIMA mtoto wake anioe.Akaongeza kuwa nitake nisitake lazima niingie kwenye familia yake..Sijamuelewa huyu mzee ana nini na mimi? na anaringia nini.Ninavyomuona ni kama hatanii na anachoongea. Naombeni ushauri na maombi ikiwezekana ili aniwache nipumue...

With reference from case no 1; Kiukweli msikilize vizuri huyo mtu dada, kama kweli ana nia ya dhati na kama upo single, basi mpe nafasi, kupenda kunauma wazee. Jiulize, kwa nini ang'ang'anie kwakwo tu? Lazima kuna kitu kaona kwako na hajaona kwa wengine. Na bahati mbaya kama hayo aliyokwambia yakimkuta, na hata kama itokee kwa sababu nyengine tofauti, hivi itakuaje......utaishi kwa mawazo wewee.......Yani ungejua maumivu wanaume tunayopata kwa kumpenda msicha kwa thati halafu anazingua.......kwa kuwa nafahamu maumivu ya haya mambo, mimi naomba kumtetea huyu kijana mwenzangu huyu.........please accept his request.....ila msikilize kwanza.


PLEASE THINK AGAIN AND GET LISTENING TO THESE FEW WORDS BY MARK ANTHONY (I Need you, with lyrics)



From the day that I met you girl
I knew that your love would be
Everything that I ever wanted in my life
From the moment you spoke my name
I new everything had changed
Because of you I felt my life would be complete

[refrain]
Oh baby I need you
For the rest of my life girl I need you
To make everything right girl
I love you
And I'll never deny that I need you

Nothing matters but you my love
And only God above
Could be the one to know exactly how I feel
I could die in your arms right now
Knowing that you somehow
Would take my soul and keep it deep inside your heart

[repeat refrain]

Girl your love to me feels just like magic
When you smile you have total control
You have power like nothing Ive felt before
Ive let all of my feelings show
Cuz I want you to know that.. I need you

I need you, for the rest of my life girl
I need you, say that you'll be my wife oh
I love you, wont you marry me marry me
Oh I need you (nobody but you)
Oooh I need you, for the rest of my life
Oh I need you (nobody but you)
Wont you marry me marry me
I love you, I really need ya baby (I really need nobody but you)
I need you
Girl I really need need you girl I really need you need you (I need you)
Oohhh baby I love you (I love you)
I need you, girl I really need ya need ya oh baby
Wont you marry me (I need you)
Wont you marry me marry me
I love you.. oohh ..
I need you. (I really need nobody but you)
 
Last edited by a moderator:
wote ndo wale wale shosti wangu Kongosho anawaita ma psych hamna mwenye mapenzi hapo wote wamiliki tu hao!watakutesa ufe!
yani sia ajabu walishajiapiza na damu za viganja vyao kabisa laizima nimege yule matokeo yale wakishakupata utateswa mpka maji uite mma!
kwa ushauri zaidi mPM Gaijin

Au mimi... o_O
 
Pole sana, ni changamoto za maisha. Kuwa makini na watu unaopenda kuongea nao, usiruhusu hali ya watu kukuzoea sana ndio hufikia mtu kuongea analotaka kwa kuwa wameshakujua ulivyo.
 
Zion daughter,,pamoja na kuwa sijui una msimamo upi wa kupenda au kupendwa! Nina ushauri huu
::
Katika CASE 1,,kuna jambo linasema,,ukitaka kumsaidia mtu aliyena tatizo unapaswa ushiriki tatizo lake.No matter humpendi huyo kijana mfariji,jifanye uko karibu yake,mliwaze wahenga walisema JINO NI PEMBE HALIMNYIMI MCHESHI.
::
Katika CASE 2..binafsi nina imani,wanawake mna akili linapokuja suala la kuwaweka sawa wanaume.Tena wanaojifanya wanawasaidia kwa agenda zilizojificha.Trust in your insitincs.
=
 
Suprise my plans have nothing to do na hii mikwara ya hawa watu kwa kuwa nimeshapima maji na kuona kina chake
kwani dada r u currently in a committed love relationship, wots ur plan abt this word love na mahusiano au bado upoupo sana
Kaunga dear sina hata tone la kupenda hapo...sometimes huwa nakereka sana to be honest na hata huwa nafikia kuona aibu na kujiuliza hivi hawa wameanzaje anzaje??
Kuna unaye mpenda kati yao au kwakuwa wameshow interest tu?
 
With reference from case no 1; Kiukweli msikilize vizuri huyo mtu dada, kama kweli ana nia ya dhati na kama upo single, basi mpe nafasi, kupenda kunauma wazee. Jiulize, kwa nini ang'ang'anie kwakwo tu? Lazima kuna kitu kaona kwako na hajaona kwa wengine. Na bahati mbaya kama hayo aliyokwambia yakimkuta, na hata kama itokee kwa sababu nyengine tofauti, hivi itakuaje......utaishi kwa mawazo wewee.......Yani ungejua maumivu wanaume tunayopata kwa kumpenda msicha kwa thati halafu anazingua.......kwa kuwa nafahamu maumivu ya haya mambo, mimi naomba kumtetea huyu kijana mwenzangu huyu.........please accept his request.....ila msikilize kwanza.


PLEASE THINK AGAIN AND GET LISTENING TO THESE FEW WORDS BY MARK ANTHONY (I Need you, with lyrics)




I need you. (I really need nobody but you)


Dspecial unayoongea ni kweli lakn dah!! hapa inabidi nijiangalie furaha yangu kwanza..Kukaa kwangu nadhani nitakuwa nimemsaidia sana..
 
Last edited by a moderator:
Dah aisee
case 1:we mchana live kama anaona kujiua rahisi.huyo hakufai hata kidogo siyo mwanaume hivi umeshakaa kufikiria mbeleni mpo wote umemuudhi sana atachukua uamuzi gani??
Hizo za kutishia kujiua za kizamani sana za kijijini matombo yeye analeta mjini ebooo.
Tupa kule endelea na maisha yako.
Case no 2:huyo mbabu bonge la witch hafai na yeye tupo kuleeeee.
Cha msingi hapo huna watu kabisaaaa anza safari ya kuwa mvumilivu kumpata wa kwako
kha mtoto wa kiume ajitishia kujiua???ooooo mamaaaaa
 
Kunaweza kukawa na case ya kufile kabisa tena inaweza ikawa ya harrasment na vitisho
lakini hapa tatizo linaweza kuwa ushahidi wa kumtia hatiani mtuhumiwa, maana kuna sehemu ameonesha hizi habari ana letewa na mtu mwingine, sasa linapo kuja swala la kuletewa habari ushahidi unaweza ukavurugika maana kuna kuongeza mwonyu(chumvi), na hapa huyo mzee anaweza akawa na nafasi ya kukana tuhuma!

Hapo ushahidi pekee ni wa kurecord sauti!

Kinyume na hapo akienda kumreport polisi huyo mzee ataitwa hata hakikana ataonywa.
kwanza huyu hivi hana case ya kufile kweli?
nahisi kuna grounds za kufungua kesi hapa!YAWE TU KISHERIA IF SO IS THE CASE?au mi na akili zangu za vitenzi ndo zinanielekza hviii?manake mwalimu wako naye amejaa vikumushi vishirikishi tu kichwani mweh!
 
case no 1: wanaotaka kujiua hua hawasemi my dear huyo ni danganya toto tu ili uogope hana lolote,na case nyingi za wanaojiua kwa sbb ya mapenzi ni wale waliokua kwenye mahusiano tayari na mmoja akamuacha mwenzie au kumsaliti but hili la kujiua hata kabla ya kujua uzuri wako ukwapi?lol napata tabu kumuamini
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom