Ushauri unahitajika: Which country should he visit?

Hahahah umenikumbusha kitu Kuala Lumpur....hahah what's up Skillet...lol
 
mkuu, hapo ni lazima apunguze baadhi ya masharti.....either amuache mtoto au mkewe apambane na hali yake....wakifanya mchezo watajikuta wanapanda bombadia ...ni saa 1 na 30mn tuu unatua songwe hapo....... hapo hali ya hewa, umbali na budget zote zinabalance!
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

You made me laugh mkuu
 
Hiyo hapl nyumba fantastic na bei yake it's around $80 per night na breakfast included. Maana yake ni kwamba accommodation watapata kwa $500 for the whole week. Na flight zao kama nlivyoangalia Jana itawacost $1300 (return tickets) meals zao $ 300 for the whole week stay zilizobaki $400 watafanya taxi na excursions. Kwa hiyo inawezekana na budget sio ndogo kudaadeki
 
Ela yake ndogo sana hats nauli haitoshi
Mfano kama akienda turkey
Visa 400000
Flight go & return per kichwa USD 1400×2(mkewe) × watoto
Health insurance $ 600
Hotel per day 20$

Hivyo viela vyake aje tu huko moshi anywe mbege arudi au aonge dau angalau dollar 15000 ili anjoy maisha ya mbele
 
Ela yake ndogo sana dollar 2500 = tsh 5,000,000 so viela vidogo sana wala hafiki mahali
 
Wewe hata kusafiri hujawahi inaonyesha.

Acha uongo mkuu, ntakuwekea data hapa uumbuke
 
Mwambie aanze na utalii wa ndani kwanza. Kwa budget aliyonayo ataenda na familia yake Ngorongoro, Serengeti , Mikumi NK, na ataenjoy sana. Asisahau kwenda Zanzibar kuogela na dolphins.
 
Wewe hata kusafiri hujawahi inaonyesha.

Acha uongo mkuu, ntakuwekea data hapa uumbuke
Weka data zako mkuu hiyo pesa ni ndogo kwa nchi za ulaya na documents ndio zitakukataa hasa kwenye uombaji wa visa kama schengen visa na healthcare insurance
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…