Kweli kabisa, hakuna kinachoniudhi kama kufungua JF na kukuta Thread 3-4 zote zenye vichwa visivyokuwa na maana "Msaada", "Msaada Tafadhali", "Nimekwama.."
Naunga mkono hoja. Pengine moderators pia wanaweza kusadia sana katika hili hasa nikilihusianisha na suala la anayeanzisha thread kutokuwa/kutokupewa right ya ku edit title ya thread yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.