Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,845
- 4,776
Moderator uzi huu ni kwaajili ya familia masikini na hauhusiani na ule wa jana.
Wakuu baada ya kutafakari nimeona TCRA wanatakiwa waje na kisimbuzi chao kitakachokuwa kikitupa local channels bure.
Mpaka sasa hao Startimes, Ting na Continental wenye leseni ya kutupa local channels bure hawafanyi hivyo na TCRA wapo kimya (nashawishika kusema TCRA INAWAOGOPA).
Sasa kwakuwa mlituahidi mtatupa channels bure nadhani imefika wakati mchukue jukumu la kuanzisha kisimbuzi chenu na mkiite TCRA Digital Tv na kitupe local channels bure, hao wengine mtajuana nao sisi tunataka local bure au turudisheni analogue HAIWEZEKANI MTUDANGANYE.
Wakuu baada ya kutafakari nimeona TCRA wanatakiwa waje na kisimbuzi chao kitakachokuwa kikitupa local channels bure.
Mpaka sasa hao Startimes, Ting na Continental wenye leseni ya kutupa local channels bure hawafanyi hivyo na TCRA wapo kimya (nashawishika kusema TCRA INAWAOGOPA).
Sasa kwakuwa mlituahidi mtatupa channels bure nadhani imefika wakati mchukue jukumu la kuanzisha kisimbuzi chenu na mkiite TCRA Digital Tv na kitupe local channels bure, hao wengine mtajuana nao sisi tunataka local bure au turudisheni analogue HAIWEZEKANI MTUDANGANYE.