TING Waigomea TCRA, wapuuza agizo la kuonesha Local Channels bure, TBC1 pia wameifungia!

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2010
4,762
4,576
Wamiliki wa kisimbuzi cha TING (Agape Television Network-ATN ) wameonesha ubabe wao baada ya kufungia local channels zote ikiwa ni pamoja na TBC1. Ikumbukwe kuwa TCRA ilitoa maelekezo kwa wamiliki wa Continental, Ting, Startimes na Digitek kuachia local channels bure. Tangu walipo toa agizo hilo, TING hawajatekeleza na wamefungia zote hadi channel yetu pendwa ya TBC1
Continental wao wametii na kuachia TBC1, ITV, CHANNEL TEN, STARTV na EATV. Channel ya UHAI TV pia inaonekana bure kwenye Continental na kufanya jumla ya channels zinazopatikana bila malipo kufikia 6
 
Waturudishe kwenye antenna zetu anaetaka kutumia kin'gamuzi atumie tusilazimishane digital wakati hiyo analogy tulikuwa hatupati shida kama hizi. Hii digital ni wizi ulohalalishwa na serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonesha umeumia sana channel yako pendwa kufungiwa maana sio kwa msisitizo huo.. Wataifungulia tu kuwa mpole itakuwa ni tatizo la kiufundi
 
hawa ZUKU si waliambiwa waache TBC? lakini leo jamaa wamenikatia duu hii TZ BWANA
 
Ving'amuzi havitabiriki, unanunua hiki kesho unaambiwa hakuonyeshi FTA channels, keshokutwa unanunua kile, mtondogoo unasikia kimefuta FTA, sasa tunaishi kama digidigi
 
Back
Top Bottom