Ushauri: Tatizo la kutojiamini

Ushauri: Tatizo la kutojiamini

Penda kuwa na marafiki mbali mbali na ukiwa nao funguka ongea mpaka upitilize, utajikuta unajiamini balaa

Sent from my HUAWEI MT7-L09 using JamiiForums mobile app
 
Tuliza akili, wazo mazuri, fanya kitu akili ikiwa na mawazo positive... You should learn and start to trust your self and guts...



Cc: mahondaw
Asante sana, nashukuru kwa ushauri mzuri

sent from my Brilliant Brain using JamiiForums Mobile app
 
ikiwa mpaka leo bado hujapata jibu basi mbinu ni moja tuu KUWA MBISHI HII itakusaidia kujiamin mfano kuna wanasheria wengi wazuri tuu ila kinachomsadia yule mwanasheria mmoja wa chama ni ubishi ndiyo maana anaonekana anajihamini lakini hakuna lolote pale.
Hahah, au sio, issue ni ubishi tu. Nitajaribu

sent from my Brilliant Brain using JamiiForums Mobile app
 
Penda kuwa na marafiki mbali mbali na ukiwa nao funguka ongea mpaka upitilize, utajikuta unajiamini balaa

Sent from my HUAWEI MT7-L09 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu

sent from my Brilliant Brain using JamiiForums Mobile app
 
Hapana sishiriki mchezo wowote ule mkuu

sent from my Brilliant Brain using JamiiForums Mobile app
Hii nayo inaweza kuwa sababu. Jitahidi kuhudhuria michezo hata kama hupendi hata kuangalia. Pia seminar za maada mbalimbali kusoma vitabu tofauti tofauti inaweza kuwa msaada

Kama na hapo utashindwa we nenda kabet tu
 
Habari wana forum,

Mimi ni kijana mwanafunzi wa chuo kimoja hapa TZ, kiukweli nimekuja hapa kuwaelezea tatizo langu linalonisibu hivi sasa. Kiukweli nina shida ya kukosa kujiamini kabisa kwenye mambo tofauti tofauti kama kielimu na maisha ya kawaida, mfano kama kipindi cha examination ninakua na wasi wasi hata kwenye namba yangu ya mtihani ninayoandika nahisi kama nitakuwa naikosea.

Ushauri ndugu nifanye nini kuliepuka hili tatizo maana linanipa shida sana.

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app

kitaalamu una tatizo yaani Low self esteem
LABDA tatizo linaweza kuwa baadhi ya haya
1. Childhood Trauma kuna majeraha ya nafsi uliyapata ulipokuwa mdogo
2.Una shida ya Msongo wa Mawazo
3.Magonjwa ya kisaikolojia kama OCD yaani obsessive Compulsory Disorder. kitu kimoja unaweza kirudiarudia kukifanya au kuhakikisha hata mara 10 au anxiety ambapo ndani yake kuna hofu labda testophobia wengine wanaiita exam fever
4. Familia yenu kuna mtu nae ana tatizo kama hilo labda babu mjomba nk
Ni mengi ya kubashiri
(NOTE; sikuhukumu lakini nikifahamu source ntaweza kusaidia ktk kuishinda tabia hyo
.......)
 
kitaalamu una tatizo yaani Low self esteem
LABDA tatizo linaweza kuwa baadhi ya haya
1. Childhood Trauma kuna majeraha ya nafsi uliyapata ulipokuwa mdogo
2.Una shida ya Msongo wa Mawazo
3.Magonjwa ya kisaikolojia kama OCD yaani obsessive Compulsory Disorder. kitu kimoja unaweza kirudiarudia kukifanya au kuhakikisha hata mara 10 au anxiety ambapo ndani yake kuna hofu labda testophobia wengine wanaiita exam fever
4. Familia yenu kuna mtu nae ana tatizo kama hilo labda babu mjomba nk
Ni mengi ya kubashiri
(NOTE; sikuhukumu lakini nikifahamu source ntaweza kusaidia ktk kuishinda tabia hyo
.......)
Ni kweli yote uliosema, hasa hilo la kurudia rudia kufanya jambo flani ili nilihakikishe kiukweli ndio linanifanya hata nidharaulike nionekane mjinga Mbele za watu. Kama juzi nlienda kusign Ada lakin baada ya katoka nje ikabid nirud tena kuhakikisha kama nimesign sahihi

sent from my Brilliant Brain using JamiiForums Mobile app
 
Ni kweli yote uliosema, hasa hilo la kurudia rudia kufanya jambo flani ili nilihakikishe kiukweli ndio linanifanya hata nidharaulike nionekane mjinga Mbele za watu. Kama juzi nlienda kusign Ada lakin baada ya katoka nje ikabid nirud tena kuhakikisha kama nimesign sahihi

sent from my Brilliant Brain using JamiiForums Mobile app
Oky muda wangu wakulala ndyo huu....ila ntext inbox your life na parenting style umepitia experience za utotoni na za kishule kesho ntajua wapi pa kuanzia ktk therapy

Sent from my Y4 using JamiiForums mobile app
 
Oky muda wangu wakulala ndyo huu....ila ntext inbox your life na parenting style umepitia experience za utotoni na za kishule kesho ntajua wapi pa kuanzia ktk therapy

Sent from my Y4 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu

sent from my Brilliant Brain using JamiiForums Mobile app
 
Habari wana forum,

Mimi ni kijana mwanafunzi wa chuo kimoja hapa TZ, kiukweli nimekuja hapa kuwaelezea tatizo langu linalonisibu hivi sasa. Kiukweli nina shida ya kukosa kujiamini kabisa kwenye mambo tofauti tofauti kama kielimu na maisha ya kawaida, mfano kama kipindi cha examination ninakua na wasi wasi hata kwenye namba yangu ya mtihani ninayoandika nahisi kama nitakuwa naikosea.

Ushauri ndugu nifanye nini kuliepuka hili tatizo maana linanipa shida sana.

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app

That is not the main reason, there is the truth within yourself, kama ulikulia makuuzi ya kukulalamikia kila mala, wazazi, kaka zako, dada zako, yaani kila kitu kitakuwa lawama tu. Kila jambo unaliangalia kwa négativité, maana katika kukua kwako hukupewa mtazamo chanya. kadri unavyokuwa unakuwa unapoteza ile nguvu chanya maana unachoambiwa utotoni ni negative tu. Hali hiyo inakupelekea kuwa na nguvu hasi, mwoga mwoga, hasira zisizo na kichwa wala miguu, chunguza watu waoga wengi ni wanakuwa na hasira sana wakichukia. Na hizo nguvu zinakufata popote, darasani unakuwa unaogopa kuongea, ukingoja daladala zinapita tu zote zimejaa, ila unashangaa mbele kidogo inasimama inabeba abiria, ukiwa kwenye foleni ya chalupa kinaisha kabala wewe hujapata.

Hata hizo negativite zigeuze positive, jifunze kushukuru kuliko kuhukum
Anza kuangalia mambo kwa mtazamo chanya, anza kujichanganya na watu wa rika mbalimbali, ongea mbele za watu hata kama utachekwa lakini ndio mwanzo wa kujifunza public speech.
Kinyume cha Love ni Chuki-Anza kujipenda, jikubari mwenyewe, penda vile ulivyo, kama uko kafupi, mrefu, mweusi tii au mweupe pee.,,..jikubari utaona nuru usoni kwako na maisha ya uwoga yatatoka taratibu. Na ukiweza kujipenda menyewe na kushukuru Mungu vile amekuumba, utaona unaweza wapenda wengine, namaanisha kupenda sio kujipendekeza, jipende na ujiheshim, utaheshim na kupenda jirani na marafiki na dunia kwa ujumla.
 
ikiwa mpaka leo bado hujapata jibu basi mbinu ni moja tuu KUWA MBISHI HII itakusaidia kujiamin mfano kuna wanasheria wengi wazuri tuu ila kinachomsadia yule mwanasheria mmoja wa chama fulani cha siasa nchini ni ubishi ndiyo maana anaonekana anajihamini lakini hakuna lolote pale.
Huwexi kuwa mbishi kama huna hoja upstairz....mie mbishi na full nondo kichwani so kila idara ukigusa nipo fresh....pia kiburi na kujiona you are the best while the rest are good and better.

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Sawa mkuu, ntajarb

sent from my Brilliant Brain using JamiiForums Mobile app
Achana na huo upuuzi dogo huna tatizo lolote....

karibu hapa jf ukomaze kipaji chako cha kujiamini. Na kama unadhani haujiamini basi umekosea...wasiojiamini hawathubutu kufungua acc ya jf...na hata wakifungua hawatoi uzi wowote...wao ni ndugu wasomaji wa nyuzi za wenzao...

wewe mbona uko vizuri tuu....sema tuanatakiwa kukukomoza kiasi ukiamua kuanzisha uzi wa 2+2=22 na sio 4 wanazuoni wa jf wanakaa kusubiri kwa jinsi utakavyowatuliza na kuelewa au hata wasipokuelewa poa tuu....

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom