Mabreka
JF-Expert Member
- Aug 29, 2012
- 709
- 207
nimependa michango yako, inaelekea ww ni mtaaalam wa magarIpsum/Gaia ya mwaka gani?
Ipsum na Gaia zinafanana sana, tofauti kubwa ipo tu kwenye mwonekano wake. Kuna zenye 2,000cc na 2,400cc kutegemeana na mwaka. Za miaka ya nyuma kidogo nyingi zina engine ya 3S ambayo ndio inatumika kwenye RAV4 (za zamani).
Opa ni nzuri pia, ingawa ipo chini sana. Huwezi itumia kwenye barabara mbovu mbovu. Opa inatumia engine ileile kama ya Runx au IST na ipo poa kabisa. Ni VVTi.
Kuna watu wanasema OPA ni mayai sana (so delicate) but me binafsi sina uhakika na hilo.