T-bane
Member
- Apr 17, 2017
- 79
- 159
Wadau, poleni na majukumu!
Naomba mnipe ushauri murua kabisa kulingana na uzoefu wenu uliotukuka kuhusu magari.
Mimi nataka kuagiza gari direct kutoka japani (sitaki kununulia yard za hapa Dar ). Naombeni ushauri wenu kuhusu ubora, uimara na ulaji wa mafuta katika magari yafuatayo:-
1. TOYOTA CAMI
2. SUZUKI Swift
Naomba mnipe ushauri murua kabisa kulingana na uzoefu wenu uliotukuka kuhusu magari.
Mimi nataka kuagiza gari direct kutoka japani (sitaki kununulia yard za hapa Dar ). Naombeni ushauri wenu kuhusu ubora, uimara na ulaji wa mafuta katika magari yafuatayo:-
1. TOYOTA CAMI
2. SUZUKI Swift