Ushauri tafadhali, shemeji yangu simuelewi elewi

Ushauri tafadhali, shemeji yangu simuelewi elewi

Msandawe Halisi

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
647
Reaction score
351
Mwanzoni mwa mwaka huu, kaka yangu mpedwa kafugwa jela miaka 30 kwa kosa ambalo si vyema kuliweka wazi hapa jamvini.

Kaka alikuwa anauwezo kiasi fulani lakini kesi na muda aliokaa mahabusu ulimaliza pesa zake sana. Baada ya kuwa amehukumiwa ameiacha familia yake katika mazingira magumu. Nilicho fanya ni kumpa uwezo mke wake kaka yangu ambaye ana watoto naye 3.

Pamoja na yote nimekuwa natoa matumizi ya shule kwa watoto zangu. Ili mpaka hapo mama yao atakapo kuwa amesiama vyema nipunguze support.

Sasa kibembe ambacho kimenitokea jioni ya leo hii ndio hasa dhumuni la kuomba ushauri nifanyaje. Shemeji ameniambia anashukuru kwa kumjali na kujali familia yake. ila simtimizii haja zote kwa hiyo nani ampatie. Anamaanisha mambo yetu yalee, jamani simuelewi.
 
Mkuu bado mambo ya kurithishana yanaendelea
Swali muhimu wewe je umeoa kwanza au bado halafu ushauri ufuate
 
Mkuu kweli hilo ni jaribu kwako, ukianagalia kimsingi huyo shemeji yako anahitaji kugegedwa kwa sababu na yeye ni binadamu ana hisia, na miaka 30 kusubiri ni mingi sana. Kwa sababu una familia yako mwache atatimiziwa haja zake na jamaa wengine...!!
 
Mimi nipo above 30, sijaoa bado.

\Mkuu hapo naamini wewe una mchumba mtarajiwa na una matarajio ya kuwa na familia yako
kaka yako tayari ana watoto watatu na huyo mwanamke na sidhani kwa hali ilivyo ungependa wewe uingie kwa mke wa kaka yako au uendeleze familia ya kaka yako ila ungependa zaidi wewe uoe na uwe na familia yako
Heshimu mipaka yako kama mdogo wa kaka yako na shemeji kwa huyo mama
Kama una msimamo na mpango wa kuanzisha familia yako heshimu hilo na mwambie wazi kabisa natoa msaada kama mdogo mtu na kwa ajili ya watoto wa kaka yangu na kuhakikisha wewe unasimama kuweza kuisimamia familia yako na baada ya hapo ni lazima wewe kama wewe usimamie familia yako
Msaada unaotoa ni kwake kuweza kusimama na sio kutaka wewe uchukue nafasi ya kaka yako
Imagine may be kaka yako akatoka kwa msahama wa rais na akukute wewe umechukua nafasi yake na umelala na mke wake ni nini kitampata au hata wakati unaenda kumtembelea uende na mke wake tumbo hilo au ana mtoto wa nne na anaambiwa wazi ni wa mdogo wako huoni kuwa litamuumiza sana kaka yako
japo sheria ya ndoa inaryuhusu mwanamke kuolewa iwapo mume atafungwa kifungo kirefu sana usiruhusuliwe kwako labda useme huna tena mpango wa kuoa na utaichukulia familia ya kaka yako kama yako na kumchukua huyo mwanamke kuwa mke wako
 
\Mkuu hapo naamini wewe una mchumba mtarajiwa na una matarajio ya kuwa na familia yako
kaka yako tayari ana watoto watatu na huyo mwanamke na sidhani kwa hali ilivyo ungependa wewe uingie kwa mke wa kaka yako au uendeleze familia ya kaka yako ila ungependa zaidi wewe uoe na uwe na familia yako
Heshimu mipaka yako kama mdogo wa kaka yako na shemeji kwa huyo mama
Kama una msimamo na mpango wa kuanzisha familia yako heshimu hilo na mwambie wazi kabisa natoa msaada kama mdogo mtu na kwa ajili ya watoto wa kaka yangu na kuhakikisha wewe unasimama kuweza kuisimamia familia yako na baada ya hapo ni lazima wewe kama wewe usimamie familia yako
Msaada unaotoa ni kwake kuweza kusimama na sio kutaka wewe uchukue nafasi ya kaka yako
Imagine may be kaka yako akatoka kwa msahama wa rais na akukute wewe umechukua nafasi yake na umelala na mke wake ni nini kitampata au hata wakati unaenda kumtembelea uende na mke wake tumbo hilo au ana mtoto wa nne na anaambiwa wazi ni wa mdogo wako huoni kuwa litamuumiza sana kaka yako
japo sheria ya ndoa inaryuhusu mwanamke kuolewa iwapo mume atafungwa kifungo kirefu sana usiruhusuliwe kwako labda useme huna tena mpango wa kuoa na utaichukulia familia ya kaka yako kama yako na kumchukua huyo mwanamke kuwa mke wako
Asante mkuu!
 
^^
Timiza kwa uaminifu ili hisani yako ilipwe na Mola kwa njia aipendayo.
Ukifanya hilo utafuta wema wako na shitaka la dhamira litaishi nawe daima.
^^
 
Hapana, mi nakushauri usitoke nayo. Msaidie kama ndugu, ila heshimu mipaka ya msaada. You can give her AID and you get AIDS in return.
 
Dah! Watu tonatofautiana sana!
Miaka 30 ni mengi sana, na sidhani kama msamaha wa rais hu-apply kwa serious cases, na hata ukitoka umeshatumikia zaidi ya miaka 25!
Ingekuwa mm niko locked kwa miaka 30, nisingejiskia vibaya kuskia mdogo wangu anakula mke wangu, as well as anahudumia familia! Ale kwa heshima (kizani) na asile kwa matonge! Hata akiengeza mtoto poa tu!
Mh! Afadhali ya Mussa....!
Itaniumaje nikiskia anagongwa nje! Naweza kuandika taraka uko uko Sero!
Nje majangaaaa! Naamini mdogo wangu atakula kwa heshima na kumjali!
Jameni hivi ni sahihi kweli Amuache atoke nje!
Oh no! Nadhani huyo m/ke kachukua uamuzi sahihi!
 
khabariii nzito hii!!!!!!!!

ukiacha kupiga wewe akawa anapigwa nje kama mpira wa kona ,,,,,, itakuwa aibu pia kwa familia.

mtimizie tu hizo haja zake mpaka utakapooa mkuu.......
 
Mkuu kweli hilo ni jaribu kwako, ukianagalia kimsingi huyo shemeji yako anahitaji kugegedwa kwa sababu na yeye ni binadamu ana hisia, na miaka 30 kusubiri ni mingi sana. Kwa sababu una familia yako mwache atatimiziwa haja zake na jamaa wengine...!!


hana familia........
 
Ushauri wangu kwako ni huu.
Usimguse kabisa shemeji yako. Endelea kumsupport katika kila hali, endelea kiwasupport hao watoto wa kaka yako vizuri, lakini kumgegeda; kamwe, usimguse.

Ipo siku kaka yako atarudi home. Kama utakuwa umemgegeda vita kati yako na kaka yako itakuwa ni vita isiyokuwa na mwisho mpaka kutoweka kwenu juu ya uso wa dunia.
Mkuu, narudia tena USIMGUSE/USIMGEGEDE.
 
Mgegede damu isiende mbali maana ukimuacha watu watafanya yo halafu bro atakulaumu



Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
 
Shida yangu ushauri kisha nitapima faida zake. Nimgegede ama hapana.

Kaka yako ni ndugu yako wa tumbo moja la kuzaliwa. Kumgegeda mke wake ni sawa na kushiriki dhambi ya uzinzi ukizingatia huyo dada ameolewa na kaka yako. Uhalisia uliopo ni kwamba kifungo sio kifo. Angekuwa amekufa ingekua suala lingine lakini as long as bado yupo heshimu ndoa ya kaka yako.
Binafsi yako ungejisikiaje kama kaka yako angekuwa anakusaidia mkeo?
Mueleze shemeji yako uhalisia wa mambo na achana na ku entertain mazoea ya karibu sana na shemejio. Jitahidi uwe unamtembelea kaka yako mara kwa mara huko gerezani itakuwezesha kujiweka karibu na kaka yako na kumuonesha unampenda na pia umshirikishe jinsi unavyoendelea kusaidia familia yake. Atakuamini na kukupenda zaidi. Waswahili wana sema tenda wema uende zako. Do that and you will be fine before muumba wako hata kama jamii haitakuelewa.
Naamini kwa miaka hiyo uliyonayo una hekima toshelevu kufanya linalostahili. Anza kufikiria kuoa sasa. Umri unaenda.

Angalizo: Tendo la ndoa pasipo kuwa ndani ya ndoa ni dhambi na kuharibu mahusiano yako na Mungu wako. Vitabu vyote vya dini vinakataza tendo hilo. Wewe ni nani hata ulifanye. Dont say we didnt warn you. Umekuja mwenyewe kuomba ushauri. There it is.
 
Hivi wafungwa hawaruhusiwi kupyara wake zao uko magerezani?
 
Back
Top Bottom