ushauri tafadhali,kwa wataalamu

ushauri tafadhali,kwa wataalamu

nyilaegenge

Senior Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
198
Reaction score
105
mimi ni kijana wa miaka 25,nilikuwa sijawahi kufanya mapenzi mpaka nahitimu masomo ya chuo kikuu.nimeanza kazi sasa na nimepata mpenzi lakin tatizo ni kwamba napiz haraka kama dk. moja tu nikiingza na hata ninapoenda awamu nyingne hali ni iyo iyo.mdada anajitahd kunipa moyo ila sasa wadau mnaojua nisaidieni ndugu.
 
fanya mazoezi ya viungo,punguza mawazo,hiyo kitu yako itazoea siku moja vuta wife weka ndani,mengine yatabaki hiatorie,best lucky!
 
mimi ni kijana wa miaka 25,nilikuwa sijawahi kufanya mapenzi mpaka nahitimu masomo ya chuo kikuu.nimeanza kazi sasa na nimepata mpenzi lakin tatizo ni kwamba napiz haraka kama dk. moja tu nikiingza na hata ninapoenda awamu nyingne hali ni iyo iyo.mdada anajitahd kunipa moyo ila sasa wadau mnaojua nisaidieni ndugu.

Kama mdada anajitahidi kukupa moyo, basi tulia nae na hakuna haja ya kuja kuomba ushauri huku kwani hiyo ni hali ya kawaida na ulienae ameridhika
 
Fanya kila mara kwa mda mrefu na Punguza wasiwasi..nashauri uwe una lala nae Mwenzio hata wiki nzima...
 
tatizo ni kwamba napiz haraka kama dk. moja tu nikiingza na hata ninapoenda awamu nyingne hali ni iyo iyo.mdada anajitahd kunipa moyo ila sasa wadau mnaojua nisaidieni ndugu.

Unataka tukusaidie kukupa ushauri wa namna ya KUZINI??:angry:
 
Hizo ni kutu tu, ongeza idadi ya kunjunjana, baaada ya muda mambo yatakuwa stable.
 
Kama mdada anajitahidi kukupa moyo, basi tulia nae na hakuna haja ya kuja kuomba ushauri huku kwani hiyo ni hali ya kawaida na ulienae ameridhika

sidhani kama ni hali ya kawaida maana sipati raha yoyote
 
mimi ni kijana wa miaka 25,nilikuwa sijawahi kufanya mapenzi mpaka nahitimu masomo ya chuo kikuu.nimeanza kazi sasa na nimepata mpenzi lakin tatizo ni kwamba napiz haraka kama dk. moja tu nikiingza na hata ninapoenda awamu nyingne hali ni iyo iyo.mdada anajitahd kunipa moyo ila sasa wadau mnaojua nisaidieni ndugu.

Ngoja nikuitie kungwi/ngariba waje hakushauri Lara 1, Evelyn Salt, Miss Chaga, Masai Dada etc hawa wanajua matatizo ya vijana kama wewe ngoja waje.
 
Back
Top Bottom