Man Thom
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 732
- 902
Sawa nakubaliana na wewe lakini kwa maelezo ya mtoa post kwa undani inaonesha bado ana mapenzi ya dhati na huyo anayemuita mpenzi wake ndio maana akaja jukwaani hapa kuomba ushauri, sasa kwa nini asimtafute tena face to face kujua msimamo wake upo vp kuhusu mahusiano yao ya kimapenzi, mi nadhani kukimbia kwenda kuishi ughaibuni ni kujitafutia ugonjwa wa moyo tu! Mkuu let us just face the reality hah hahAmini nakwambia ukifos utapata magonjwa coz hajui nn anafanya huko aliko