USHAURI: Simuelewi mume wangu

Asante sana nitaufanyia kazi ushauri wako
 
Ukipata muda mueleze laivu kama ikishindikana mwambie mshenga wake.
Ukishindwa kabisa tafute mtu mwenye hekima kama mimi muongee na kukata kiu Kiutu uzima na maisha yaendelee.

Nimesahau mpikie vyakula vyenye kutia nyege sio kila siku wali/sembe na nyama na mboga za majani.
Jiongeze binti.
 
Nigey namba yako nikusaidie Hilo ni tatizo dogo
 
Nyongeza ktk Comment yangu
Ongea naye pia afanye mazoezi ikiwezekana mfanye wote wewe unakuwa kama una msaport asione kama umempa Adhabu.

pia kama ukizungumea naye kwa upole na kimahaba mweleze kuna msaada wa Juis kama dawa .
Limao 3+ vitunguu maji 2 vikubwa au v3 vya wastani ukiweza usiweke maji au ukiweka ni kidogo sana atumie kwa siku 7 bila kuruka Asubuhi na jioni .
Hii husaidia Mzunguko wa damu uwe viziri kwani Uume hutegemea Damu kusimama .

Usidanganyike Mumeo hachepuki wanao chepuka home wanapiga shoo za maana kwani wanakuja kutafuta bao la 3 au la 4 kwako ambalo ni gumu mnoo kutoka na ukichukulia ameshapata mda/ gepu tangu atoke kwa mchepuko anakuwa bizuri sana kitandani.
pia Usafi kwako wewe + na Comment ya awali ni uhakika unatatua tatizo
Mungu akutangulie alliye mponyaji mkuu
 
Comment no 303 na 306.Asante .
Ikishindikana ntakupa Bure Dawa ya mitishamba ukiongea naye akikubali
kumbuka kila unapo ongea naye ni kwa upole unyenyekevu na kimahaba ,
kwani wanawake mkiwa na nyege huwa mnakuwa na hasira sana ambazo mtu kama huyo zinamwongezea ubovu zaidi
 
Hakuwa hivi na Kama angekuwa hivi nisingekubali anioe ningemkimbia mapema sana nisingetaka kujiingiza kwenye mateso

Nashauri ujiangalie wapi labda umekosa, au kumkwaza, au labda una mazingira gani yanayompa huo ugumu.

Ila Kuna wanaume wengine ni wa shenzy tu, mke hana kosa ila wanakuwa wakorofi tu kabisa bila sababu.

Jaribu pia afya, pengine Ana. Stds na anajua, na hataki muendelee kuambukizana na pia hataki kuliweka wazi.

These are possible reasons:

1. Mazingira yako na Tabia vinamkwaza sana mpaka a nakosa hamu na wewe.

2. Anapitia kipindi kigumu sana kifedha mpaka a nakosa Amani na ujasiri wa kujiamini.

3. Ni muhuni wa kutupa, maana hata kama Ana wanawake nje anapaswa pia kukuheshimu na kukupa Haki yako.

5. Anaumwa au Ana upungufu ambao wamfanya ajionee hana thaman au Ana under perform kwake, ila akitoka huko nje wanawake wanamsifia.

Hilo jambo sio LA kupuuza hata kidogo, tafuta namna mzungumze, ndoa haina maana kabisa kama hupati haki yako, na yeye uitaji wake nani anamtimizia.

Hii Dunia haipo fair, wakati sisi wengine tu nataka mzigo hata kila siku kutoka kwa wife, mwingine anaombwa na hafanyi, dah hatari hii.
 

Kubeti? Hiyo ni hobby mbaya sana
 
Njoo pm mpwa .......tupeane maujuzi........inawezekana anakataa kinacho mkataaa pia
 
We jamaa ujengewe mnara mkubwa kabisa pale Dodoma kwaajili ya ukumbusho wa vizazi vijavyo. Yaani umeongea mlele Safi Sana kijana na Hilo ndio Tatizo tu kwa vyovyote vile
 
Pole sana.uwemtulivu hiyo ni wako tuu.
 
Daah hili tatizo liko upande wangu yaani mimi ni kama mmeo alivyo sasa ...

Sijui ninachokiona ndicho na yeye anachokipitia

Wacha nikup majibu inbox
 
Tatizo we ni Miss Chuga.. Ungekuwa mzaramo au mtoto wa kimakonde au mtanga yasingetokea hayo..
 
mmmmh!!!
hapo tatizo kuu ni punyeto nyingi sana kwake alipokuwa kati umri wake mdogo na hajaacha anaendeleza hiyo kitu.Jaribu kumchunguza utakuja kunipa jibu kama mchepuko kwa nin anawahi kurudi nyumbani au ni mchelewaji ???
Acheni ujinga, nimepiga punyeto from age of 13 up to now, ndiyo kwanza nguvu zinazidi kuongezeka. Msifananishe nyeto na upuuzi. Huyo ana matatizo yake
 
We' ni lofa kmmae zako
 
Umeniboa sana wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…