Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

I kind feel and understand you
Watanzania tuna tabia ya ku fake life sana
Jeff bezos kaachana na mke wake na ndoa yao imekaa kwa miaka 25
Me nadhani inabidi kujiangalia mwenyewe ndani ya moyo wako what you need usiangalie watu watanionaje watanichukuliaje
Jiangalie will you be able to live without her??
How much you love her?
Ikitokea mmeachana can you handle vitu kama kugawana mali na nn??
Who will take care of the kids?
Na maswali kibao ukiweza jijibu yote utaweza kuamua nn cha kufanya


Sent using Jamii Forums mobile app
I truly don't want this marriage. .it's nothe a source of happiness to us
 
Wakuu. ...samahani kwa wale nitawakwaza
nimekuwa kwa ndoa miaka 5 sasa.ila simpendi mke wangu.nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa ...aisee napata tabu sana.sasa hapa napata tabu sana.wadau.sielewi inakuwaje hapa....sasa sijui naomba ushauri au ndio nimepata, ndoà ya kokristo
Ulioa limbwata halafu kwanini humpendi ni baada ya limbwata kukaa miaka mitano likaisha au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu. ...samahani kwa wale nitawakwaza
nimekuwa kwa ndoa miaka 5 sasa.ila simpendi mke wangu.nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa ...aisee napata tabu sana.sasa hapa napata tabu sana.wadau.sielewi inakuwaje hapa....sasa sijui naomba ushauri au ndio nimepata, ndoà ya kokristo
weka wazi tabu gani unazipata?

'Gear yourself to solutions in every problem'
 
Halafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?

Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu

Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje
haha haa utazoea tu hivo hivo

'Gear yourself to solutions in every problem'
 
Wanawake yalitukuta humu duniani asee[emoji134]...MP sisi, kuzaa kwa uchungu sisi, kutafuta pesa kama wanaume sisi, kutukanwa sisi, ukewenza sisi tena na wanaume wenzetu yaan ni hakuna unafuu, kote kote mishale![emoji849]... jomoni tukimbilie wapi sana!

Ona na hii tena imeongezeka

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuleta dhambi duniani nyie, ngoja iwatafune tu hakuna namna..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake yalitukuta humu duniani asee[emoji134]...MP sisi, kuzaa kwa uchungu sisi, kutafuta pesa kama wanaume sisi, kutukanwa sisi, ukewenza sisi tena na wanaume wenzetu yaan ni hakuna unafuu, kote kote mishale![emoji849]... jomoni tukimbilie wapi sana!

Ona na hii tena imeongezeka

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu,,lakini wanawake ndo wa muhimu sana hapa duniani
wewe unathamani kubwa kuliko utajiri wote wa ulimwengu huu

You were born unique for a reason
hakuna sababu ya kukata tamaa




'Gear yourself to solutions in every problem'
 
Huu ni moja kati ya threads za mleta mada.

Mimi namshauri akasome alichokiandika humo!


- KANA -
Na yeye kaja kulialia
 
Guys I am facing the same tratgy, mi pia nina umri wa ndoa miaka 5 but tulianza kuishi kama wazazi kabla ya kuoana. Shida ilianza mwaka wa 3wa ndoa. Actually nlikuwa nishadate waschana si zaidi ya wa 3 ndo huyu akawa wa 3. Miaka mitatu ya kuishi wote nlianza kupangiwa mgegedo once per week na mm ndo nlikuwa nina dam bado changa 33yrrs, she was 26. Nlianza kuchepuka but nlikuwa naumia sana moyoni. Pia nlikuwa na mipango ya maendeleo so sikutaka nitumie hela kuhonga. Taratibu nikazoea hadinikaonani haki yangu. Ilianza kupita mwezi bila mgegedo na hatimae miezi3 na kuna kipindi tunakata 3moths kasoro. Sasa tu a 10yrs. Nimechepuka na wanawake wengi tu. Alishanikamata na sms marakadhaa, and huwa nakuwa mbogo,na kwavile ni mwanamke huwa ananywea, kinachoniuma ss nahitaji kupata mtu mwenye uchungu na maisha ili awemchepuko permanent and hata kamanawekeza kwake nijue kuna faida. Nimechoka kuwa cha wote aiseee, tofautini kuwa mi wife nampenda, na siko tayarikumwacha, japo huwa namwambia kama ameniona malaya basi tuachane
Now this is serious...hii chain hii

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Guys I am facing the same tratgy, mi pia nina umri wa ndoa miaka 5 but tulianza kuishi kama wazazi kabla ya kuoana. Shida ilianza mwaka wa 3wa ndoa. Actually nlikuwa nishadate waschana si zaidi ya wa 3 ndo huyu akawa wa 3. Miaka mitatu ya kuishi wote nlianza kupangiwa mgegedo once per week na mm ndo nlikuwa nina dam bado changa 33yrrs, she was 26. Nlianza kuchepuka but nlikuwa naumia sana moyoni. Pia nlikuwa na mipango ya maendeleo so sikutaka nitumie hela kuhonga. Taratibu nikazoea hadinikaonani haki yangu. Ilianza kupita mwezi bila mgegedo na hatimae miezi3 na kuna kipindi tunakata 3moths kasoro. Sasa tu a 10yrs. Nimechepuka na wanawake wengi tu. Alishanikamata na sms marakadhaa, and huwa nakuwa mbogo,na kwavile ni mwanamke huwa ananywea, kinachoniuma ss nahitaji kupata mtu mwenye uchungu na maisha ili awemchepuko permanent and hata kamanawekeza kwake nijue kuna faida. Nimechoka kuwa cha wote aiseee, tofautini kuwa mi wife nampenda, na siko tayarikumwacha, japo huwa namwambia kama ameniona malaya basi tuachane
Huu nao ni uzi ungeweza kuitegemea...what's wrong with marriage...ni kuwa zamani watu walikuwa hawasemi au matatizo haya yalikuwa machache...I find your problem bigger than of the original post

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Back
Top Bottom