Ushauri: Shemeji anamshika makalio dada mbele yangu

Ushauri: Shemeji anamshika makalio dada mbele yangu

Habari wana JF

Mimi ni mmoja wa vijana wanaoishi kwa shemeji(mume wa Dada) baada ya kutoka nyumbani kwetu babati.

Nimekuwa nikiishi mahala hapa kwa takribani mwaka wa pili sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.

Tatizo kubwa ni huyu shemeji yangu ananiumiza roho kwa kufanya vitu ambayo kwa namba moja ama nyengine Mimi sipendezwi navyo.

Shemeji amekuwa na tabia ya kunioshea akiwa na dada yangu wa tumbo moja, amekuwa akimchezea dada makalio wakati Mimi naona kwa macho yangu mawili.

Hili swala linaniuma sana ukizingatia jamaa alitoa mahari kidogo tu isiyozidi laki nne katika harakati za kumuoa dada.

Hivi juzi wakati naenda jogging mida ya saa mbili usiku nimemkuta anakunywa mchuzi wa pweza sio siri niliumia sana, bado nilivyorudi hapo nyumbani nilimkuta anakula karanga mbichi.

Naombeni ushauri wanajamvi kabla sijachukua maamuzi magumu dhidi ya huyu shemeji yangu
Ubachela umenishinda, natafuta mke
Ubachela umenishinda, natafuta mke - JamiiForums

Acha kutusumbua na mada zako za ajabu ajabu.
Nahisi wewe na yule member anayejiita Sexless ni mtu mmoja
 
Hahaaa .. We jamaa hujielewi pumbav. We ulitaka amfanyeje? Usipoangalia atafanya nae mapenzi mbele yako. We msela bwege. Dunia pana pambana mtoto wa kiume usipende kubebwaaaa..
 
unamuonaje huyo dada wa kazi je naye anakuwepo sebuleni wakati dada yako anashikwa shikwa...au anakuwa jikoni...
Jikoni au chumbani kwake...Mara nyingi Dada anashikwa kalio na shemeji nikiwepo Mimi tu
 
kimbia hapo.IPO siku atakushika wewe Dada ako akiondoka.
Vipi Pentagon kibarua kimeota nyasi
 
Habari wana JF

Mimi ni mmoja wa vijana wanaoishi kwa shemeji(mume wa Dada) baada ya kutoka nyumbani kwetu babati.

Nimekuwa nikiishi mahala hapa kwa takribani mwaka wa pili sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.

Tatizo kubwa ni huyu shemeji yangu ananiumiza roho kwa kufanya vitu ambayo kwa namba moja ama nyengine Mimi sipendezwi navyo.

Shemeji amekuwa na tabia ya kunioshea akiwa na dada yangu wa tumbo moja, amekuwa akimchezea dada makalio wakati Mimi naona kwa macho yangu mawili.

Hili swala linaniuma sana ukizingatia jamaa alitoa mahari kidogo tu isiyozidi laki nne katika harakati za kumuoa dada.

Hivi juzi wakati naenda jogging mida ya saa mbili usiku nimemkuta anakunywa mchuzi wa pweza sio siri niliumia sana, bado nilivyorudi hapo nyumbani nilimkuta anakula karanga mbichi.

Naombeni ushauri wanajamvi kabla sijachukua maamuzi magumu dhidi ya huyu shemeji yangu
Anafuata ushauri. Dada yako ndio aliyemwambia anywe mchuzi wa pweza na karanga mbichi
 
Dah! dunia inakaribia mwisho,Mkuu unamuonea wivu dada ako!!,sasa kama dada ako hakushikwa matako na mume wake ashikwe na nani?au unataka ushikwe wewe,..

Mwache jamaa amfaidi dada ako huyo ni mkewe,acha amlie karanga na mchuzi wa pweza hayo yote ni moja katika mambo ya kumrizisha dada kimapenzi
 
Hahahaha


Nimekumbuka shemeji alikuwa anapenda kuja asbh sn j2 muda ambao mm na dada yake tunakazana inabidi asubiri mpk tumalize zoezi ndio tutoke
 
Jikoni au chumbani kwake...Mara nyingi Dada anashikwa kalio na shemeji nikiwepo Mimi tu
kwa maoni yako dada yako unamuonaje...je analo hilo tako au anaumizwa....je room yako na ya dada zinaelekea...je choo kipo ndani au njee...je hawajawahi ingia chooni pamoja ukasikia wanayoyafanya huko...maswali haya yatakupa faraja japo ni makali wewe endelea tu kujibu
 
Habari wana JF

Mimi ni mmoja wa vijana wanaoishi kwa shemeji(mume wa Dada) baada ya kutoka nyumbani kwetu babati.

Nimekuwa nikiishi mahala hapa kwa takribani mwaka wa pili sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.

Tatizo kubwa ni huyu shemeji yangu ananiumiza roho kwa kufanya vitu ambayo kwa namba moja ama nyengine Mimi sipendezwi navyo.

Shemeji amekuwa na tabia ya kunioshea akiwa na dada yangu wa tumbo moja, amekuwa akimchezea dada makalio wakati Mimi naona kwa macho yangu mawili.

Hili swala linaniuma sana ukizingatia jamaa alitoa mahari kidogo tu isiyozidi laki nne katika harakati za kumuoa dada.

Hivi juzi wakati naenda jogging mida ya saa mbili usiku nimemkuta anakunywa mchuzi wa pweza sio siri niliumia sana, bado nilivyorudi hapo nyumbani nilimkuta anakula karanga mbichi.

Naombeni ushauri wanajamvi kabla sijachukua maamuzi magumu dhidi ya huyu shemeji yangu
Akimaliza kula makalio ya dada ataanza na ya kwak
 
Habari wana JF

Mimi ni mmoja wa vijana wanaoishi kwa shemeji(mume wa Dada) baada ya kutoka nyumbani kwetu babati.

Nimekuwa nikiishi mahala hapa kwa takribani mwaka wa pili sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.

Tatizo kubwa ni huyu shemeji yangu ananiumiza roho kwa kufanya vitu ambayo kwa namba moja ama nyengine Mimi sipendezwi navyo.

Shemeji amekuwa na tabia ya kunioshea akiwa na dada yangu wa tumbo moja, amekuwa akimchezea dada makalio wakati Mimi naona kwa macho yangu mawili.

Hili swala linaniuma sana ukizingatia jamaa alitoa mahari kidogo tu isiyozidi laki nne katika harakati za kumuoa dada.

Hivi juzi wakati naenda jogging mida ya saa mbili usiku nimemkuta anakunywa mchuzi wa pweza sio siri niliumia sana, bado nilivyorudi hapo nyumbani nilimkuta anakula karanga mbichi.

Naombeni ushauri wanajamvi kabla sijachukua maamuzi magumu dhidi ya huyu shemeji yangu

Wewe mjinga sana.
Huyo ni mke wake na anamamlaka ya kufanya hayo yote. Je Dadako amelalamika kwako kuwa anateseka?

Habari za mahari, mchuzi wa pweza na karanga mbichi zinakuhusu nini?

Ushauri:
Mambo ya watu waachie wenyewe. Jitahidi utafute sehemu yakuishi/ujitegemee na si kumwekeavikwazo Dadako na Mume wake.
 
Back
Top Bottom