Ushauri: Rais Samia teua wanawake kuwa watendaji wakuu wa TRA na Bandari ili kuleta ufanisi

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,313
12,613
TRA na Bandari ndiyo roho za uchumi, wanaume ni wezi sana.

Kama unataka mambo yanyooke pale wajaribu wanawake Wizara ya ujenzi na uchukuzi, TRA na Bandari, utaona nafuu kubwa itakavyopatikana. Wanaume wana ujasiri wa kijinga kabisa.

Wizara ya ujenzi weka watu kama Stella Manyanya na wenzake wa aina hiyo. Hutajutia kuwapa nafasi hizo.
 
TRA na Bandari ndiyo roho za uchumi, wanaume ni wezi sana.
Kama unataka mambo yanyooke pale wajaribu wanawake Wizara ya ujenzi na uchukuzi, TRA na Bandari, utaona nafuu kubwa itakavyopatikana. Wanaume wana ujasiri wa kijinga kabisa.

Wizara ka ya ujenzi waka watu kama Stella manyanya na wenzake wa aina hiyo. Hutajutia kuwapa nafasi hizo.
Basi wapewe nchi mzima wizara zote na mashirika yote

USSR
 
Umeandika vema sana @ Mleta Mada.

Mwanamke akiwa competent and hardworking integrity huwa ni obviously atakuwa nayo yakutosha by nature.

Ladies huwa ni makini sana provided wawe wenye Sifa na uwezo wa kuamua kwa usahihi, uwezo wa kuona mbali (vision), mwenyewe misimamo sahihi na thabiti (firm), n.k.
 
TRA na Bandari ndiyo roho za uchumi, wanaume ni wezi sana.
Kama unataka mambo yanyooke pale wajaribu wanawake Wizara ya ujenzi na uchukuzi, TRA na Bandari, utaona nafuu kubwa itakavyopatikana. Wanaume wana ujasiri wa kijinga kabisa.

Wizara ka ya ujenzi waka watu kama Stella manyanya na wenzake wa aina hiyo. Hutajutia kuwapa nafasi hizo.
Umeandika upuuzi mtupu.
TRA au Bandari na jinsia za watu wapi na wapi?
Hivi unajua pale TRA na bandari kuna makamishna wangapi wa jinsia ya kike na upigaji upo kama kawaida.
Hivi huyo Engineer Stella Manyanya unajua alivyo na upeo duni na utendaji wa kiwango cha chini mnoo mara zote alipopewa vyeo?

Samia mwenyewe ni jinsia ya kike lakini uwezo wake kiutendaji kwenye serikali ni chini ya 20%, sasa sijui hao atakaowateua kijinsia watakuwa na uwezo gani?
 
Kuthibitisha kuwa wanawake ni waaminifu na makini katika kazi angalieni idadi ya wafungwa na mahabusu walioko gerezani wanaume ndio wako wengi sana zaidi ya maradufu

Imagine
 
Wanawake ni wezi kama wanaume tu, inategemeana na maadili ya muhusika!! Kwani SIMBAULANGA wa enzi za NBC alikuwa mwanaume? Na wengine Wengi tu!! Nenda pale Kisutu uone wanawake wanaopanda kizimbani kwa ubadhilifu!


Fuatilia takwimu uone kama usemacho ni kweli.

Pamoja na kusemekana kuwa idadi ya wanawake kuwa kubwa kuliko wanaume lakini wanawake wafungwa na mahabusu ni wachache sana ukilinganisha na wafungwa wanaume na mahabusu off which ilipaswa kuwa kinyume chake!
 
Kuthibitisha kuwa wanawake ni waaminifu na makini katika kazi angalieni idadi ya wafungwa na mahabusu walioko gerezani wanaume ndio wako wengi sana zaidi ya maradufu

Imagine
Very low but sounding
 
Mfano mwingine ni umakini hata kwenye kuendesha magari barabarani, takwimu zinaonesha wanaume wanaoongoza kwa kutokuwa makini waendeshapo magari barabarani.

Wanaendesha hovyo hovyo tu bila kujali.
 
Wanawake wanaweza kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja na yote yakafanikiwa kwa wakati kuliko Mwanaume.

Jamii imechelewa sana sababu ya wanaume kujiweka mbele ili hali uwezo wa kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja ni wazito na wasahaulifu wa mambo!
 
Utaratibu wa kupatikana hao CEOs wa taasisi za Umma ubadilishwe kwanza ,

Nafasi zitangazwe kwa uwazi wenye Sifa waombe.

Hiyo itaibua wengi ambao uwezo wa kazi wanao lakini hawana connections za kujuana na wasaidizi wa Rais kama wengine wanavyofanya sasa.

Utaratibu wa sasa hautendi haki hata kidogo .

Hautoi fursa sawa kwa kila mtz mwenye Sifa kuweza kuomba na kupata nafasi ya kutumikia Umma wa waTZ.
 
Umeandika upuuzi mtupu.
TRA au Bandari na jinsia za watu wapi na wapi?
Hivi unajua pale TRA na bandari kuna makamishna wangapi wa jinsia ya kike na upigaji upo kama kawaida.
Hivi huyo Engineer Stella Manyanya unajua alivyo na upeo duni na utendaji wa kiwango cha chini mnoo mara zote alipopewa vyeo?

Samia mwenyewe ni jinsia ya kike lakini uwezo wake kiutendaji kwenye serikali ni chini ya 20%, sasa sijui hao atakaowateua kijinsia watakuwa na uwezo gani?

168F0C72-731B-4303-A7A8-54D2DDBB6E33.jpeg
 
TRA na Bandari ndiyo roho za uchumi, wanaume ni wezi sana.
Kama unataka mambo yanyooke pale wajaribu wanawake Wizara ya ujenzi na uchukuzi, TRA na Bandari, utaona nafuu kubwa itakavyopatikana. Wanaume wana ujasiri wa kijinga kabisa.

Wizara ka ya ujenzi waka watu kama Stella manyanya na wenzake wa aina hiyo. Hutajutia kuwapa nafasi hizo.
Ni wapi umeona pameendelea kwa sababu pana mwanamke
 
TRA na Bandari ndiyo roho za uchumi, wanaume ni wezi sana.
Kama unataka mambo yanyooke pale wajaribu wanawake Wizara ya ujenzi na uchukuzi, TRA na Bandari, utaona nafuu kubwa itakavyopatikana. Wanaume wana ujasiri wa kijinga kabisa.

Wizara ka ya ujenzi waka watu kama Stella manyanya na wenzake wa aina hiyo. Hutajutia kuwapa nafasi hizo.
ILa kweli aisee ni wazo zuri maana ni waaminifu na wasio na tamaa kama wanaume.
 
Basi wapewe nchi mzima wizara zote na mashirika yote

USSR
Kuna wakati viongozi na watendaji wote tulikuwa wanaume tu, lakini nchi ilikwama hadi Leo, Kazi yetu ni kutafuta sifa tu hata kijinga tu zilizougharimu uchumi na uhai wa watu wetu kwa maelfu.
 
Umeandika upuuzi mtupu.
TRA au Bandari na jinsia za watu wapi na wapi?
Hivi unajua pale TRA na bandari kuna makamishna wangapi wa jinsia ya kike na upigaji upo kama kawaida.
Hivi huyo Engineer Stella Manyanya unajua alivyo na upeo duni na utendaji wa kiwango cha chini mnoo mara zote alipopewa vyeo?

Samia mwenyewe ni jinsia ya kike lakini uwezo wake kiutendaji kwenye serikali ni chini ya 20%, sasa sijui hao atakaowateua kijinsia watakuwa na uwezo gani?
Mkurugenzi mkuu TRA haiawahi kuwa mwanamke
 
Back
Top Bottom