flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,343
Nina mwanamke ambaye tumedumu nae kwenye mahusiano takribani miaka 5 nasasa tunamtoto mmoja na anamimba ingine nandio nimeanza kuishi nae hivi karibuni mwaka huu huu January. Sasa nimegundua nimshirikina mbwa yaani nishiriki mbwa naposema nimshirikina jamani mnielewe kuwa nimshirikina balaaa nimegundua baada yakuanza kuishi nae. Katika makuzi yangu sikuwahi kuwaza hayo mambo kabisa nawala sijawahi kuomba nipate mwanamke mwenye imani hizo.
NB: nimejaribu mara kadhaa kumkanya ila yeye ndio amekuwa akinishangaa mimi, yaani ananiona kama mshamba flani hivi. Yaani nimeona uwezekano wayeye kubadili mwenendo naona hawezi kubadilika kabisa.
Sasa jamani huyu mwanamke namuachaje natayari mda sio mrefu atakuwa nawatoto wawili namimi? Naameshaniambia kumuacha haiwezekani labda yeye ndio aamue. Naombeni ushauri jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
NB: nimejaribu mara kadhaa kumkanya ila yeye ndio amekuwa akinishangaa mimi, yaani ananiona kama mshamba flani hivi. Yaani nimeona uwezekano wayeye kubadili mwenendo naona hawezi kubadilika kabisa.
Sasa jamani huyu mwanamke namuachaje natayari mda sio mrefu atakuwa nawatoto wawili namimi? Naameshaniambia kumuacha haiwezekani labda yeye ndio aamue. Naombeni ushauri jamani
Sent using Jamii Forums mobile app