Ushauri please

Ushauri please

Hiyo kauli ya kumuacha huwezi mapaka yeye aamue amekujaza upepo mkuu hakuna nguvu inayoishinda nguvu ya MUNGU mzee baba, najua hapo umetetereka mpaka, ila nirahisi sana kama anataka mpambane kiroho, lakini shida ni watoto tu hapo ndiyo uzito ulipo
 
We umejuaje kama mshirikina???

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwa nikikuta dawa mbalimbali nyumbani nikimuuliza anajibu ili wasituchezee usiku, navilevile amekuwa ananiambia nisijibweteke nianze kutembea kwawataalamu kuhusiana namambo ya utafutaji anasema watu wanarogana sana. Kingine kuna mwanamke nilishawahigi kuwa nae kipindi chanyuma na kwabahati mbaya/nzuri nilimpatia ujauzito nayeye akajua ikawa mtiti na mimba ikawa imeharibika katika mazingira yautata ndio yeye sasa kaniambia alifanya ile mimba ya mwanamke mwenzake kuharibika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo kauli ya kumuacha huwezi mapaka yeye aamue amekujaza upepo mkuu hakuna nguvu inayoishinda nguvu ya MUNGU mzee baba, najua hapo umetetereka mpaka, ila nirahisi sana kama anataka mpambane kiroho, lakini shida ni watoto tu hapo ndiyo uzito ulipo
Mkuu kwaushirikina nipo tayari kumuacha ila yeye ndio hana mda wakuachana namimi. Kingine naogopa kwao watanionaje mpaka anazaa mtoto wapili inamaana nilikuwa siyajui hayo? Ndicho ninachohofia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuwa nikikuta dawa mbalimbali nyumbani nikimuuliza anajibu ili wasituchezee usiku, navilevile amekuwa ananiambia nisijibweteke nianze kutembea kwawataalamu kuhusiana namambo ya utafutaji anasema watu wanarogana sana. Kingine kuna mwanamke nilishawahigi kuwa nae kipindi chanyuma na kwabahati mbaya/nzuri nilimpatia ujauzito nayeye akajua ikawa mtiti na mimba ikawa imeharibika katika mazingira yautata ndio yeye sasa kaniambia alifanya ile mimba ya mwanamke mwenzake kuharibika

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh hatari sana mzee pole pia kama unaweza ukamuacha muache aende hila watoto wawili kuachana ni ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwaushirikina nipo tayari kumuacha ila yeye ndio hana mda wakuachana namimi. Kingine naogopa kwao watanionaje mpaka anazaa mtoto wapili inamaana nilikuwa siyajui hayo? Ndicho ninachohofia

Sent using Jamii Forums mobile app
Unahofia kuwa kwao watakushangaa kwamba ulikua hujui kama mwenzako ni mchawi? Ahhhh mkuu unaniangusha sasa yani wewe hofu yako ni hiyo tu badilika mzee nahisi hata unavyowaza atakua amaeshakuchezea sana, kwanza watakushangaaje wakati mama yake ndiyo mtaalamu, yani wewe wanakupulizia madawa sana hata usijijue kabisa ni vizuri sasa wajue umejua imetokea umejua ndiyo wajue sasa dawa zao hazifanyi kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom