flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,407
- Thread starter
- #41
Nijichunguzaje sasa mkuuukabla hujafikiria kumuacha, angalia kwanza ameshakutengeneza vipi? jichunguze kwanza!
Jamii nzima itanionaje sijui tu yaaniUnahofia kuwa kwao watakushangaa kwamba ulikua hujui kama mwenzako ni mchawi? Ahhhh mkuu unaniangusha sasa yani wewe hofu yako ni hiyo tu badilika mzee nahisi hata unavyowaza atakua amaeshakuchezea sana, kwanza watakushangaaje wakati mama yake ndiyo mtaalamu, yani wewe wanakupulizia madawa sana hata usijijue kabisa ni vizuri sasa wajue umejua imetokea umejua ndiyo wajue sasa dawa zao hazifanyi kazi![]()
Yaani mkuu kuna baadhi ya tabia zinavumilika nizakawaida ila sio ushirikina
Nikweli mkuuuesoma ushauri wa Mshana Jr ? waweza kukurupuka kuondoka isije kuwa tatizo kubwa kwako.....
Jamani mimi ndio sielewi au hivi mchawi namshirikina inamaana hawana tofauti?Asikutishe huyo piga chini, ukikomaa nae wanao wote watakuwa wachawi kama mama yao!! Pia mda si mrefu utaanza kuwakoswa wanao mmoja baada ya mwingine maana ataombwa kafara na wenzake, mchawi dawa yake uwe jasiri, ikijifanya kuwa mwoga ndio kwanza anatumia huo udhaifu wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
mchawi ni yule anaewanga ktk nyumba za watu.Jamani mimi ndio sielewi au hivi mchawi namshirikina inamaana hawana tofauti?
Sent using Jamii Forums mobile app
*** youMkuu kwaushirikina nipo tayari kumuacha ila yeye ndio hana mda wakuachana namimi. Kingine naogopa kwao watanionaje mpaka anazaa mtoto wapili inamaana nilikuwa siyajui hayo? Ndicho ninachohofia
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh aisseeHapo ni kumuomba tu Mungu akusaidie kwa akili zako na nguvu zako mwenyewe hutaiweza hiyo vita.
Duh we acha tu ndugu yangu nakingine dini tofauti ila tulikubaliana akija kukaa kwangu tutaanza kusali katika dini yangu kwa maana hiyo alikubali kubadili dini ila kafika kwangu naona kama nikimwambia habari hizo anazipotezea kiaina hata tukianza kula mimi naposali yeye anasema kishasali yaani mimi nasali yeye alishaanza kulaMchukue mkeo muhamie maeneo ya waliostaarabika,pia jaribu kumshauri muwe mnaenda kwenye maombi.Nadhani ataanza kubadilika taratibu na kuendana na wakati.
Kinachomsumbua ni mazingira aliyokulia pamoja na uduni wa wazazi wake hadi kuingia katika hiyo imani,njia ya kumbadilisha ni kuhamia maeneo ya wastaarabu,mtafutie chuo cha kujiendeleza n.k atabadilika tu.Duh we acha tu ndugu yangu nakingine dini tofauti ila tulikubaliana akija kukaa kwangu tutaanza kusali katika dini yangu kwa maana hiyo alikubali kubadili dini ila kafika kwangu naona kama nikimwambia habari hizo anazipotezea kiaina hata tukianza kula mimi naposali yeye anasema kishasali yaani mimi nasali yeye alishaanza kula
Sent using Jamii Forums mobile app