madhabahu nyeusi
Senior Member
- Nov 17, 2016
- 139
- 55
VP zile za kimasai za shanga hazfai
Pete ya ndoa na maisha ya ndani ya ndoa vinahusiana vp!?Duh maskini kuna wanaume hawajui hata Pete ya ndoa uko ndani siijui itakuwaje
My wiiNi kweli au naota????
Duuh aise
Duuh aise
Nothing brotherWhat's the dealio....?
My NzagambaWhat's the dealio....?
Niko vereee Nzagamba wanguWhat up Muree?
You good?
Niko vereee Nzagamba wangu
Nambie kitu kizuri
One Million?Andaa kuanzia 1m na kuendelea
Naona uvivu... Njoo unibebeUkija kazini ntakutekenya..
Naona uvivu... Njoo unibebe
Usifanye mambo kuwa magumu, nenda kariakoo kanunue English gold ya buku 3, ndoa kitandani, siyo Pete ya ghali.
Ntakulipa choklet na kukunong'oneza sikio la kuliaUtanilipa?
Hii kwa hawa wetu wa manzese si balaa!Princess cut mara nyingi budget yake huwa ni kubwa [relatively speaking].
Ukiwa na muda wa ku shop around unaweza ukabahatisha bei yenye nafuu kulingana na uwezo wako.
Ila kwa uzoefu wangu, ukitaka kum 'wow' mdada basi mnunulie princess cut diamond ring.
Lakini kwanza ni lazima huyo mdada awe na exposure na ufahamu wa princess cut ni nini.
Kibongo bongo sidhani kama wengi hata wanajua hicho ni kitu gani achilia mbali uthamani wake.
Ningeweza ku suggest atafute round brilliant cut lakini....
Kwanza hata hawajui princess cut ni nini.Hii kwa hawa wetu wa manzese si balaa!