Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,784
- 11,801
Mhhhh ya kweli hayo?Ooh yees
Mhhhh ya kweli hayo?Ooh yees
Mhhhh ya kweli hayo?
Soon tunaanzisha... Muone kwanza yani skupendi wewe basiKumbe nawe unalichukia li Nyani Ngabu.
Mngeanzisha chama chenu kabisa....Chama Cha Wanaolichukia Li Nyani Ngabu [CCWLNN].
Sijui hata mko wangapi ila nahisi mwaweza kuwa wengi.
Manake uko wewe, yule kakako, na kale ka nanihino, yule naniliu, na wengineo.
Soon tunaanzisha... Muone kwanza yani skupendi wewe basi
Price range?
Akaulizie kwa masonara huko,mfuko wake utaamua.
Mimi mara ya mwisho kuulizia gold ilikuwa 1 gram= 75,000/ Tshs mwaka jana.
Sitaki unambieNikwambie siri....
Gram moja ya dhahabu ni kati ya 100000 hadi 120000, na hiyo cutting ya kidani cha diamond au tanzanite ni ujazo wake anataka uweje au aandikiwe majina kwenye pete zake , ni yeye tuAkaulizie kwa masonara huko,mfuko wake utaamua.
Mimi mara ya mwisho kuulizia gold ilikuwa 1 gram= 75,000/ Tshs mwaka jana.
Sitaki unambie
We ni taahira huyo mtu hajawah kuoa ndo anataka kuoa atajuaje pete za ndoa? Mpuuz sana angalia utoto wako pa kuujibu sio JfDuh maskini kuna wanaume hawajui hata Pete ya ndoa uko ndani siijui itakuwaje
Nyooo nani akupendeNakwambia.....nyie wote mnaonichukia mnanipenda.
Nyooo nani akupende
Mkuu nakushauri achana na mawazo ya Nyani Ngabu utapotea hiyo ring anayokushauri nzuri iko hadi dollar 7000 around million 15 sasa kwa unavoonekana kamati yako haizidi tsh milioni 3 kwa harusi nzima nakushauri uchukue gold wedding ring na ukishindwa tafuta caption zake.
Nilishakueleza humu wengi wetu ni wanafunzi na tumepanga chumba kimoja mjini au tunafanya kazi na mshahara wetu ni dollar 500 kwa mwezi hasa exposed advises kama hizo unatupotezea muda wetu , au slogan ya jf kila mmoja ana degree, au tunavyoandika sisi ni wafanyabiashara, au tunavojiandikisha leo foleni wewe unajua sote tuko njema? Nyani Ngabu nakusalimia tu mkuu.Hahahaaa haya bana....nadhani nimetoa ushauri kulingana na prism yangu.
Hivi naanzaje kumchukia kaka yangu jamaniNawe ni mwanachama wa CCWLNN?
Hivi naanzaje kumchukia kaka yangu jamani
Na mimi je?Hii ushaipata bila hata kuomba!