Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Kuna kipind niliweza kuacha, kwa miez 6 hivi.
Ila nikashindwa na kurudia bia tena, ila sio kama hapo awali.
Sasahiv nakunywa ila mara moja kwa wiki, Ijumaa au jumamosi. Na sion kama zinashida.

Nilijaribu kutafakari sana kipind kile nakunywa sana, kipind ambacho sikunywa na kipindi hiki nachokunywa kwa wastani. Pia kutafakar na wanywaji wengine.

Nimegundua kuwa 1. wengi hunywa bia kama kipoteza muda (kufuata kampan za bia ni kama zile vilinge vya wanywa kahawa, wacheza Draft, waangalia mpira nk) , 2. au weng hunywa kama kiburudisho (starehe). 3. Na wengine ni kipoteza mawazo (stress) hii ndio mbaya zaid.

Ila ile sababu inayokufanya unywe bia hata uliposema hunywi ndio hasa unatakiwa kuanzia kuifanyia kazi.

Kama ni kampan, iteme mdogo mdogo,
Kama ni starehe tafut starehe nyingine
Kama ni stress fanya mazoez au kuwa busy kuipotezea.

Mm ilikuwa kampan kupoteza muda na starehe.

Niliacha kampan na nilitafuta hobby nyingne na nikaweza.

Kila la kheri, inawezekana ila anza kidogo kidogo.
Nakushukuru mkuu
 
I tin ningekuwa karibu nawe huenda ungeacha, nina uwezo wa kudeal nawe vzr mpk ukaacha kabisa. Namshukru Mungu wengi wa marafk zangu nilikuwa nawakuta na tabia mbaya ikiwemo ya ulevi but kupitia mm wananishukuru sana. But nilipata shida sana kudeal na mvuta ugoro, aiseeee, alijitahid mwez mzm hajaweka mdomoni ck moja tunarud chuo akanambia "bwana nashukuru sana kwa kunipa training ya vitendo ila mm mwanafunzi wako nimezidiwa naomba unisamehe" bc akarudia kamchezo but tukiwa mwaka wa mwisho Mungu n mwema alimwokoa na yeye.
But kwa kuwa upo mbl nam nakupa mwongozo tu. Soma bibilia mkuu, watu wa huruka yako huwa wapo mbal na hiki kitabu, ila I swear, ukikiweka karibu bc utaacha rahs sana, na katika maombi yako jiweke deep yan hadi uhis kulia ukijutia hilo swala. Mkuu nakuapia ukienda ck mbili utakuwa sawa na Mungu atakusaidia.
 
Jifunze na fahamu madhara ya pombe kwenye mwili wako. Itakusadia kujenga sababu za kwanini uache pombe.

 
Dawa yake siku atakapokunywa akaangusha gari watu wakavunja duka ataacha siku hiyohiyo kuna mifano mingi tu ya aina hiyo hakuna dawa zaidi, viginevyo ni maombi tu mpigieni maombi ya nguvu
Kuna kunywa kistaarabu na ulevi Mbwa Sasa hivi ni vitu viwili tofauti...........

Kuna wanao kunywa for recreational perpose na Kuna wanao shindana na pombe (ukishindana na pombe unataka kuzima)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom