Ushauri: Njia ya kuacha kuwafanya wanawake kinyume na maumbile

Kiukweli nahitaji kama kuna dawa au njia ya kuacha huu mchezo maana umenikaa akilini sana nikiwa faragha na demu lazima nitest na kidole akikaa kimya najua huyu tayari lazima niombe.

Nimekua na sound za kulilia huu mchezo balaa hata hizi technic cjui nilizipata wapi huwa nalia mpaka napewa.

Juzi kuamkia jana nilipata demu nikalia akanipa nilijisikia vibaya sana baada ya kamaliza ule mchezo kwan aliharibu hali ya hewa kwa kuchafua shuka Lodge. nilirudi nyumban usiku lakini ile kitu iliiniumiza sana akili.

Kiukweli nina mke na namheshim sana na mwaka wa tatu huu wa ndoa sijawahi hata kumgusa kwa kidole wala kuomba kabisa ila nikipata hawa maharamia wa nje shetani hunishika nikakuta nishaomba gem aisee.

Nipo mbele yenu kama kuna njia ya kuacha au dawa yoyote niipate niache huu uharamia wa kufumua chemba jaman..

Naomba kama huna ushauri upite tu sitaki matusi jamani.
Wakija kumfanyio hvyo mkeo utajisikiaje? Kama ukijisikia uchungu basi hakuna namna ni wewe kuamua kuwa sasa na acha, pia achanan na hayo mawazo ya kijinga
 
shoga analiwa mm nakula mkuu only
Mbona huonekani kama unataka kuacha hiki kitendo . Hofu ya Mungu ni kila kitu katika maisha ya mwanadamu ,Unalo litenda sasa ni laana ambayo itakuja kuwala WANAO WAJUKUU ZAKO NA VITUKUU VYAKO , kwasabau ni vizazi vinne,hii kitu itatafuna wanao wataliwa viboga kwasababu yako ,Tubu kwa Mungu wako
Anza upya , hebu ona unachokifanya si kitendo sahihi , Muonee huruma mkeo anajiproud ana mume mzuri anayejiheshimu kumbe sirini wewe ni mchafu , Kuwa baba mwema na kuwa baba ambaye unataka wanao wa kiume waje kuwa hapo baadae , Acha huo uchafu
 
kipo sehem gani mkuu hicho kitengo nawahi fasta maana nishaadhirika nikisikia harufu ya MA....... v inasimama
Je umeumbwa kwa hasara ? Mungu anajitukuza kwa kipi toka kwako ?
Kataa kuwa mtumwa wa dhambi kataa kuwa mtumwa wa ibilisi kataa kumfurahisha shetani jitoe katika mnyororo huo wanaume wengi wanaona kufir..a ni sifa siku hizi .Omba nafsi yako iwe hai maana hutahitaji kumuona mtaalamu yeyote nafsi yako itakuhukumu na kukusuta . MFIKIRIE MKEO , WANAO ,
Imagine kuta nne zinafunguliwa unapokuwa unafanya mambo yako ya sirini je utakuwa na uwezo na nguvu ya kuwatizama usoni pasipo kuwa na soni?
Acha hayo mambo ikimbie dhambi
 
mtenda hutendwa.nina uhakika mke wako nae anachepuka huko pia hufumuliwa kyemba chake.kaaeni chini mjadiliane muache huo ufirauni
 
Umewasemea wengi mkuu ni wanaume wengi wenye mchezo huu hili ni lakulijadil kwa umakin bila kumlaumu mtu
 
Me binafsi mawazo hayo huwa yananijia sana na nikiona mwanamke Aliyefungasha huwa nachanganyikiwa lkn huwa najizuia sana.
 
Chukua haja yako kubwa kwenye kasha la kiberiti kisha sharubu usinyoe uwe unanusa kila baada ya nusu saa utapona hako kaugonjwa mkuu
 
Nitajie majina ya wote uliowahalamia kama yupo Dada angu nakuhakikishia kwa jina la Yesu hako kamchezo utaacha... Usisahau kunipa na namba ya mkeo
 
Nitajie majina ya wote uliowahalamia kama yupo Dada angu nakuhakikishia kwa jina la Yesu hako kamchezo utaacha... Usisahau kunipa na namba ya mkeo
Kijana yan unataka ujue kama dada yako kafumuliwa rinda ili iweje?
 
Back
Top Bottom