Hizi comment zimeshiba sana Zina maarifa sanaa..Udom sio chuo Kama unahitaji kukutana na watu makini Soma Jordan ,Tumain na kidogo ifm vyuo vya serikali kuna masikini wengi sana so ningumu kubadilishana mawazo .
Mkuu tufafanulie Kwa faida ya wengi hapo kwenye neno GARI na HELA NZURIJF kuna ushauri wa maana na usio wa maana,,,huu wangu utajua ww ni wa maana aua laah!
KAMA UNA GARI NA HELA NZURI KIDOGO MASTERS YAKO SOMEA UDOM UNIVERSITY
chief UDOM kuna pisi kali mnooo halfu zinajitunza sanaMkuu tufafanulie Kwa faida ya wengi hapo kwenye neno GARI na HELA NZURI
Natanguliza shukrani
morogoroJordan University ipo wapi?
Nimekuelewa mkuuchief UDOM kuna pisi kali mnooo halfu zinajitunza sana
bado unatanguliza shukrani.Nimekuelewa mkuu
😊😊bado unatanguliza shukrani.
Nimekuelewa mkuu
Umemfafanulia vizuri sana kazi kwake sasaNenda Jordan, chuo hiki ni chuo ambacho watu wengi hawajui tu lakini ukweli ni kwamba, ni moja ya vyuo vinavyotoa elimu bora nchini. Hawana mbambamba kama vyuo vingine, kwanza madarasa yana watu wachache wmbao walimu wana uwezo wa kuyamudu.
Wewe fuatilia tu wanafunzi wachache tu waliosoma kwenye hicho chuo, huwezi walinganisha na waliosoma UDOM, mfano UDOM, UDSM, MZUMBE, SUA madarasa yao yanafurika watu hadi kusoma kwao kunakuwa taabu wanamaliza wakiwa na elimu nusu nusu.
Ukienda Jordan uwe umejiandaa kusoma kwa sababu hakuna vipindi vinavyopotea bure.
Mimi siku zote naamini madarasa yenye watu wachache na walimu mahiri ndiyo msingi wa utoaji elimu bora.
Kujinasibu kwa jina la chuo au ubora wa ulichokipata?Jordan nacho ni chuo,
Kama unaplan kuwa mediocre personal kwa life lako lote then soma hivo vyuo otherwise,
Soma chuo ambacho kitakuwa na utaendelea kujinasibu na hiyo degree yako
NashukuruUdom mambo mengi utachelewa kuchukua masters yako nenda Jordan ukajizolee bila stress ndugu bachelor usome kwa stress udom na masters pia hapana udom pagumu nenda private
HahahahaUhitimu Kwa miez 18 nenda Jordan na kuhitimu Kwa miez 36 nenda vyuo vya wanonko aka umma. Tutakupiga rula mpaka uchakae
Uhitimu Kwa miez 18 nenda Jordan na kuhitimu Kwa miez 36 nenda vyuo vya wanonko aka umma. Tutakupiga rula mpaka uchakae
Hii ni kweli , yalitukuta pale udom.Ni
Lisoma udom, nimesikia tetesi kuwa udom eti unapewa supervisor 02 ambao kila mmoja anakushauri tofauti.