Think2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 2,836
- 5,350
Waja naomba mnishauri kuhusu huyu singo maza
Kuna singo maza nimepiga sound akajaa kwenye mfumo ni kibinti kina 23 tu
Afu kananiambia nikaoe nikaweke ndani
Shida anamtoto miaka 2 tu afu bado wanawasiliana na baba wa mtoto nikikaoa kataniletea shida maana nikarembo kafundi cherehani afu kana mzigo wa haja na mimi sio mtu wa kukaa sana wahuni hawatanigongea kweli?
Kuna singo maza nimepiga sound akajaa kwenye mfumo ni kibinti kina 23 tu
Afu kananiambia nikaoe nikaweke ndani
Shida anamtoto miaka 2 tu afu bado wanawasiliana na baba wa mtoto nikikaoa kataniletea shida maana nikarembo kafundi cherehani afu kana mzigo wa haja na mimi sio mtu wa kukaa sana wahuni hawatanigongea kweli?