Ushauri nimuoe huyu singo maza

Ushauri nimuoe huyu singo maza

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,836
Reaction score
5,350
Waja naomba mnishauri kuhusu huyu singo maza

Kuna singo maza nimepiga sound akajaa kwenye mfumo ni kibinti kina 23 tu
Afu kananiambia nikaoe nikaweke ndani

Shida anamtoto miaka 2 tu afu bado wanawasiliana na baba wa mtoto nikikaoa kataniletea shida maana nikarembo kafundi cherehani afu kana mzigo wa haja na mimi sio mtu wa kukaa sana wahuni hawatanigongea kweli?
 
Waja naomba mnishauri kuhusu huyu singo maza
Kuna singo maza nimepiga sound akajaa kwenye mfumo ni kibinti kina 23 tu
Afu kananiambia nikaoe nikaweke ndani
Shida anamtoto miaka 2 tu afu bado wanawasiliana na baba wa mtoto nikikaoa kataniletea shida maana nikarembo kafundi cherehani afu kana mzigo wa haja na mimi sio mtu wa kukaa sana wahuni hawatanigongea kweli?
Muoe
Wahuni hawatamgonga ila watakugonga wewe
 
1000051173.jpg

Oa mkuu JAPO hii ni CHAI , unatafta comment
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom